application

  1. Muda wa kufanya application

    Naombe kujua, kwa kozi za ufundi I mean technical college. Muda wa application mwisho tarehe ngapi..? Na je ukichaguliwa ukichaguliwa kozi ngazi ya certificate unaweza kufuta na ku apply kozi nyingine level ya diploma??
  2. Je, kuna option ya waliotoka foundation kwenye system ya application ya UDOM?

    Kabla sijaenda kusoma Foundation mwaka 2022, nilienda kuwauliza UDOM kwny maonesho ya Vyuo vikuu, wakanambia wanapokea, na kuna mtu alinambia kwenye system yao ya kuomba udahili ipo sehemu ya anayetokea foundation. Lakini baada ya kumaliza nimeenda kwenye maonesho ya vyuo vikuu. UDOM wakanambia...
  3. A

    DOKEZO TCU tunaomba msaada, Chuo cha St. Joseph kinatoza ada na direct costs kwanza ndipo uweze ku-confirm udahili wako

    Leo tarehe 25.08.2023 TCU wametoa majina ya wanafunzi wa kidato cha sita waliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali. Kama inavyojulikana, kuna ambao hupata "multiple selections", yani mwanafunzi mmoja anadahiliwa na vyuo zaidi ya kimoja kwa kozi tofauti au kwa kozi ileile. Hii ni stage ambayo...
  4. Application za mkopo HESLB

    Naomba kufahamishwa kama kuna mtu ameweza kukamilisha ujazaji wa taarifa za maombi ya mkopo elimu ya juu. Takribani wiki sasa Najaribu kumuombea kijana wangu lakini kipengele cha demographic inaload tu, taarifa hazihifadhiwi. Kama umeweza umefanyaje? Msaada tafadhari.
  5. R

    Msaada please-UDOM application: Matokeo ya form six hayapatikani

    Najaza maombi ya chuo UDOM, matokea ya form six system inaniambia Failed to fetch your details. Please try again Msaasa please
  6. Android application kwa ajili ya kurekodi mauzo yako (Stock manager & sales register)

    Habari, nakuja tena kukutaarifu kua, application ya Stock manager & sales register imefanyiwa marekebisho ya muonekano wake, na kuwa wa mvuto zaidi. (linki ya application kwenye playstore) Lengu kuu la hii application ni kumsaidia mfanya biashara mdogo kuwa na uwezo wa kurekori, na kupata...
  7. R

    SoC03 Jinsi application ya simu inavyoweza kutatua tatizo la ajira nchini

    JINSI APPLICATION YA SIMU INAVYOWEZA KUTATUA TATIZO LA AJIRA - CAREER APPLICATION Utangulizi Upatikanaji wa ajira umekuwa ni changamoto kubwa kwa mataifa mengi duniani ikiwemo Tanzania. Hii ni kutokana na ongezeko kubwa la watu hususani vijana ambao huhitimu masomo yao huku nafasi za ajira...
  8. Application Gani Inaweza Kukusaidia Kuangalia Salio Line Ikiwa Kwenye Modemu

    Kichwa hapo juu chaeleza, naomba anayefahamu app yenye uwezo wa kuangalia Salio line ikiwa kwenye modemu.
  9. Nimeigeuza Website yangu kuwa Application

    Nimefanikiwa kuibadilisha website yangu kuwa Mobile App inayofanya kazi kwenye Android & ios devices. Nimetumia Flutter kulifanikisha hili. Hii ni project niliyofanya mwanzo wa mwaka huu kwa kutumia framework ya next.js. πŸ‘‡ πŸ”— Home πŸ‘ˆ πŸ‘ˆ πŸ‘ˆ πŸ‘ˆ WEBSITE Na hii ndio App yake niliyoitengeneza kwa...
  10. Elezea changamoto za mikopo inayotolewa kupitia Application za simu

    Wanajamvi zipo changamoto nyingi kuhusiana na mikopo inayotolewa kupitia Application za simu kama Umoja Loan, Premium, Branch na wengineo ikiwemo mteja kubambikiziwa riba kubwa sana zaidi ya asilimia 15% na tishio kwa mteja anayeshindwa kulipa kwa wakati, elezea jinsi ulivyodhalilishwa na mikopo...
  11. REF: Application for Physics and Chemistry teaching position at your school

    Dear Headmaster, REF: Application for Physics and Chemistry teaching position at your school. I am writing to express my strong interest in the physics and chemistry teaching position at your esteemed school. As a highly qualified and dedicated teacher, I am confident that my skills and...
  12. Karibu Bright and Genius Editors upate huduma bora

    BRIGHT AND GENIUS EDITORS Karibu Bright and Genius Editors tunatoa huduma zifuatazo: 1. Huduma ya kuhariri (kuedit) ripoti mbalimbali, propozo, vitabu, notes na barua mbalimbali. 2. Kuandika barua za kujitoa kwenye mifumo ya vyuo (Deregistration letters) 3. Kuandika barua za kuomba kazi. 4...
  13. Mliopata ajira kupitia PSRS, status za application zenu zilikuwaje kabla ya kupata kazi na sasa hivi zikoje?

    Ndugu zetu ambao mmeshaanza kulamba asali, ebu mtujuze je status zenu za application katika account ya PSRS zilikuwaje na sasahivi zikoje? Najua huwenda kila mtu aliandikiwa tofauti, basi usisite kutuambie ulichoandikiwa. NB: Kama bado hujaanza kulamba asali, usiwe na haraka kukoment, subiri...
  14. R

    Mawakili kuweni sincere na wateja wenu, kuweni wakweli, kweli hii application kwa wakili wa Court of appeal unaweza kuikubali kuiendesha

    Wanasheria kuweni na huruma, you should not be driven by money! Mshauri mteja na ikibidi kataa kuichukua kesi kuwa hii completely huwezi kushinda. Someni muone walivyo shyster lawyers hawa mawakili wetu
  15. S

    Naomba msaada kwa wenye kujua kozi gan nzuri kati ya Tourism managent an markerting, BAGES au IT application and management

    Tafadhali msaada kwa wenye kujua...halafu ni ipi kwa hapo ipo marketing
  16. Accountant – Support Application at Ministry of Finance and Planning

    September, 2022 Job Description POST ACCOUNTANT – SUPPORT APPLICATION – 1 POST EMPLOYER Ministry of Finance and Planning(MOF) APPLICATION TIMELINE: 2022-09-25 2022-10-08 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To support preparation and submission of quality financial reports by all GF...
  17. Nahitaji mjuzi wa kutengeneza application

    Ndugu Wanajamvi Naitaji Kuengenezewa App ya Music itakayolink na Website Yangu. Watu wawe Wana Download
  18. D

    Best open source application logo designing

    asee wanajamvi sina mengi naomba kuuliza open source app nzuri ya kutengeneza logo, ambayo sio nzito sana kwa midrange pc kwenu studio wakuu....
  19. Application yenye uwezo wa kununua vifurushi vya mitandao yote ya simu Tanzania

    Natafuta App moja yenye uwezo wa kununua vifurushi vyote vya mitandao ya simu, yaani nikitaka kununua kifurushi cha Tigo, Airtel, Vodacom, Halotel, TTCL, niweze kuvipata ndani ya App moja yenye package ya vyote. Natanguliza shukrani, kama unaifahamu nijulishe tafadhali.
  20. Application and Eligibility Information - Mandela Washington Fellowship

    Apply now to be a part of the next generation of African leaders! The Mandela Washington Fellowship will bring up to 700 young leaders to the United States in the summer of 2023 for a comprehensive executive-style program that is designed to build skills and empower Fellows to lead in their...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…