Sohan asali (Persian: سوهان عسلی, romanized: sohān-e asali; from asal "honey") is a kind of Iranian cuisine pastry or candy (sohan). It is made of honey, sugar, saffron, almond or other nuts and cooking oil.
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: EDGAR MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
TAHADHARI: Hadithi hii ya #ASALI_HAITIWI_KIDOLE inayo somwa na mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, ni hadithi yenye kisa chenye ubunifu kwa hasilimia mia moja, sehemu, mitaa na majina...
Vifuniko vya asali (chupi) kwa wanawake sio kwaajiri ya kujistiri tu sehemu zenu za siri bali pia zina mchango mkubwa sana katika kuamsha hisia za kungonoka kwa mwanaume.
Kwa kulitambua hilo ndio maana watengenezaji wa nguo za ndani za kike wamekua na aina mbalimbali za chupi kama bikini...
FURSA YA ASALI KWA MTAJI WA CHINI YA 200K .
Kwa kutumia laki na 70 (170,000) utapata yafatayo:-
1#. Pure Asali lita 20.
2#. Free Delivery to Magufuli stand kwa walio Dar.
3#. Free packaging kwenye chupa za lita moja moja.
Lita moja ni Tsh 8500, unaweza kuuza hata kwa elf 12 kwa lita na...
Shalom,
Ninawajibu wa kuwapa taarifa, kuwasanua, na kuwakumbusha kuhusu umuhimu wa kuyaenzi mapenzi katika namna yenye ubora, tija, yenye kuacha Alama ama Legacy katika mapenzi.
Unapoingia kwenye mapenzi hakikisha unafahamu nyenzo muhimu zenye kuacha Alama ama Legacy kwenye Mapenzi...
Ebu tupitie vugu vugu la kuelekea uchafuzi mwaka 2025.
Rais wa sasa huyu mtoeni na hana sifa za umri na kikatiba, wajibu wake kiumri, kichama na kikatiba yeye anapaswa kwenda kulea wajukuu huo ndio umri sahihi wa miaka 65 mwakani.
Pia genge lolote linalotaka kujisahaulisha mtazamo wao...
Wakati tunashangaa wabunge kupata mshahara mkubwa.
Mnabidi kujua pia mbunge anahesabika Kama diwani katika Eneo lake mfano katika municipal yake anayotokea.
Hivyo Asali imeshafika kwa waheshimiwa madiwani kwahiyo Mbunge ananufaika pia na marupu rupu ya udiwani.
Manjano na asali imekuwa tiba iliyokuwa ikinisaidia sana katika makuzi yangu endapo nilikuwa nasumbuliwa na kikohozi.
Unachanganya manjano kwenye asali, pia siku zingine unakamulia maji maji ya Tangawizi bila kuweka na machicha yake kwa sababu inaweza kusabibisha karahaa kwenye koo.
Mara...
Si lazima sana watu wote kuhangaika na matumizi ya sukari. Kwanza sukari si nzuri ki afya. wataalamu wengi wameilaani sana.
Mimi nashauri badala ya kulia lia tuje na mbadala. Serikali haizalishi sukari siyo kazi yake hiyo. kama watu mnaona sukari ni ghari basi tumieni tu asali hiyo ni njema zaidi.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza maandamano ya amani Januari 24 mwaka huu mkoani Dar es Salaam kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni ya wadau kuhusu masuala ya uchaguzi.
Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024...
asali
bungeni
ccm
chadema
heche
ikulu
john
john heche
kulamba asali
kupinga
maandamano
mafisadi
makamanda
matamko
mbowe
sabaya
sheria
sheria za uchaguzi
uchaguzi
Tar 24 mwezi huu ataandamana kupinga dhuluma za CCM
Ila alipotolewa jela kwa makosa ya kufadhili ugaidi alisahau habari za kuandamana.
Aliitwa ikulu akala chakula na juizi za ceres
Leo hii amesema ataandamana .Kisa tu hajapewe juisi za ikulu na anadai kuna dhuluma
Habari za muda huu wana JF. Natamani sana kufahamu ni jinsi gani naweza kujua ile rangi ya ndani, rangi ya asali bila ya kuichungulia.
Ni viashiria gani au ni sehemu gani ya mwili iliyo public ambayo naweza kuangalia ili niweze kujua rangi ya kule ndani.
Natamani sana asali nyeupe ila dada...
Habari za wakati huu;
Ni matumaini yangu kwamba mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa letu hili tukufu la Tanzania. Kwa wale ambao wanaifahamu Siasa sidhani kama hili la Paul Makonda kuwa Mwenezi wa Chama ni Jipya na la kushangaza kwao. Actually, kama wakisoma alama za nyakati...
ASALI MUBASHARA-Jumatatu 16/10/2023
Karibuni ndugu zangu wapendwa kwa adhimisho la misa Takatifu asubuhi hii.
Bwana Yesu anasikitishwa na kizazi kisichokuwa na imani; kila wakati kinatafuta ishara. Hakioneshi kuridhika na ishara zilizopo. Bwana Yesu anasema kwamba hakitapewa ishara zaidi ya...
Habari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia...
Naipenda sana asali, hasa asali mbichi. Ni tamu, na ina faida za kiafya. Je! Kuna ubaya endapo nitatumia kiasi kikubwa cha asli mbichi?
Nimejiwekea utaratibu wa kutumia asali mbichi mara kwa mara. Mwanzoni nilikuwa nikitumia Kwa siku chache mfululizo, kisha naacha kipindi kirefu kipite bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.