Wasalaam!
Nani anaelewa kuhusu Ajira za SERIKALI ya AWAMU YA SITA?
Kuna madaktari wetu wapo mtaani miaka 4 sasa.
Kuna walimu wetu waliosomeshwa kwa pesa za wananchi, kwa mkataba wa kurudisha pesa hizo baada ya Ajira, lakini wapo mtaani miaka 4 na zaidi.
Kuna wataalamu wetu WA kilimo wapo...