bajeti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sam Gidori

    NASA kumpeleka mwanamke, mtu mweusi kwa mara ya kwanza mwezini kwa bajeti ya shilingi trilioni 55

    Baada ya kutangaza hapa awali kuwa itampeleka mwanamke mwezini kwa mara ya kwanza, Shirika la Marekani la Anga za Juu (NASA) sasa limesema kuwa itampeleka mwezini mtu mweusi katika Mpango wake wa Artemis. NASA imetoa pia ombi la bajeti yake itakayowezesha kumpeleka mwanadamu mwezini kwa mara ya...
  2. N

    Mpango na Bajeti ya Mwaka 2021/2022 kufumuliwa na Awamu ya Sita

    Inadaiwa mojawapo ya jambo kubwa lililokuwa linapita bila hata kujadiliwa katika bajeti hii na hata Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi walishajulishwa na wakanyamaza kimya ni kutokuwa na nyongeza ya mishahara. Vyama vya wafanyakazi kwa kupitia TUCTA walishakuwa kimya kama wamenyeshewa mvua kwa...
  3. N

    Je, Mpango Kazi na Bajeti ya 2021/2022 itafumuliwa tokana na ujio wa awamu ya sita?

    Inadaiwa mojawapo ya jambo kubwa lililokuwa linapita bila hata kujadiliwa katika bajeti hii na hata Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi walishajulishwa na wakanyamaza kimya ni kutokuwa na nyongeza ya mishahara. Vyama vya wafanyakazi kwa kupitia TUCTA walishakuwa kimya kama wamenyeshewa mvua kwa...
  4. T

    Bajeti Kuu ya Serikali 2021/22 ni kipimo cha uongozi wa Rais Samia

    Macho na masikio ya wananchi yapo Dodoma kwenye Bunge la Bajeti kufuatilia ikiwa bajeti hii itakuwa mkombozi kwa wananchi ama la. Ikumbukwe bajeti nyingi za awamu ya tano zilijielekeza kwenye utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo mathalani ununuzi wa ndege, ujenzi wa SGR, Stieglers...
  5. Analogia Malenga

    Ratiba ya Mkutano wa Bunge la bajeti unaoanza Machi 30

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, litafanya mkutano wa Bajeti kuanzia Machi 30 hadi Juni 30. Katika Siku ya Kwanza ya Mkutano, Bunge litatambua Mchango wa Rais wa Tano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na kuenzi maisha yake. Pia wameazimia kumpongeza Rais wa Sita wa Tanzania, Samia...
  6. Mlolongo

    Kwa bajeti ya 300,000 - 350,000 naweza kupata flat screen inchi 32?

    Mfukoni nina 300,000/=. Nikijipiga sana, naweza ongeza ikafika 350,000/=. Nahitaji flat screen inchi 32, naombeni msaada wa vitu viwili: 1. kwa bajeti hiyo nitapata TV ya inchi 32? 2. kama nitapata nichukue brand gani? Kama kuna anaeweza kunielekeza na duka kabisa nikaenda nikachukua itakua poa.
  7. C

    Naomba kujuzwa pIkipiki nzuri kwa bajeti ya 3.2 Mil hadi 3.5mil

    Habari wanajukwaa naomba kufaham pikipiki nzuri mpya kwa matumizi binafsi ya kwenda ofisini na mizunguko ya kawaida weekend. Hasa pkpk za kijapan ambazo nadhani ni durable bajeti yangu ni 3.2-3.5 million. Karibuni kwa mani yenu.
  8. K

    Mbunge wangu wa Kibamba, changamkia fursa ya mheshimiwa Rais haraka iwezekanavyo kabla ya bajeti

    Leo Mh. Rais wakati akizindua stand ya mabasi ya mbezi luis amepokea maombi murua kutoka kwa mwakilishi wa wananchi ambaye ni mbunge, nitapenda kuongelea ombi moja kati ya mengi aliyoyaomba kwa maana yote yamepata majibu safi sana. Ombi lenyewe ni barabara za jimbo la Kibamba. Nakupongeza sana...
  9. J

    Yuko wapi Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango?

    Nauliza tu maana mara ya mwisho nilimuona luningani akiwasimamisha kazi baadhi ya watoza ushuru wa TRA. Jana nimemuona Mwigulu Nchemba akitumikia majukumu ya Waziri wa Fedha pale bungeni ndio nikajiuliza huyu Waziri nyeti kabisa yu wapi hadi Dkt. Mwigulu anatamalaki bungeni kwa niaba yake...
  10. Miss Zomboko

    Bajeti ya Serikali na mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2021/22: Serikali inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya Sh. trilioni 36.26

    SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2021/22 inatarajiwa kukusanya na kutumia Sh. trilioni 36.26, sawa na ongezeko la asilimia 4.0 ya bajeti ya mwaka 2020/21 ya Sh. trilioni 34.88. Maeneo ya kipaumbele mwaka huu ni kuchochea uchumi shindani na shirikishi, kuimarisha uwezo wa uzalishaji...
  11. Richmoto Kushmoto

    Naweza pata simu dukani kwa bajeti ya 200k?

    Iwe samsung, Tecno, Sony, Nokia kwa hizi brand yenye camera wauzaji mnicheki humu 0620314884
  12. C

    Naweza kupata simu gani kwa bajeti ya Tsh. 190,000/=

    Naweza pata simu gani hapo Kwa bajeti hiyo?
  13. C

    Niandae bajeti ya Shilingi ngapi ili niweze pata PC yenye specifications hizi

    PC ninayohitaji ni HP EliteBook 850 Nataka nijitahidi nichukue mpya Ram 4 HDD 500 icore 5 au kuendelea Iwe Touch screen Iwe na Webcam Processor speed iwe 2.5-2.9 GHz Iwe na port kuanzia 3 za USB Je hapo niandae Shilingi ngapi maana mpaka sasa nimefikisha laki3 lakini malengo yapo ya...
  14. Stroke

    Kuelekea Birthday yangu this weekend, nahitaji mchango wenu was mawazo kwa bajeti yangu.

    Happy New year ndugu zangu, Mwaka ndio umeanza kwa kasi namna hii na wengine ndio kama hivi weekend hii tunasheherekea birthday 🎂 zetu. Bajeti yangu ni elfu 30 tu nataka mawazo yenu nifanye nini ili angalau hiyo 30 ifanye siku yangu iwe ya kukumbukwa na iliyojaa furaha tele. Natanguliza shukrani.
  15. B

    Natafuta kiwanja maeneo ya Kibugumo Kigamboni, Bajet 2.5M

    Habari Wana jukwaa Natafuta kiwanja BAJETI 2.5M, maeneo ya kibugumo Kigamboni,
  16. C

    Kwa Bajeti ya 300K naweza pata PC yenye Specification zipi?

    Wakuu bajeti yangu hiyo hapo 300K Naweza pata PC yenye specifications zipi? Ahsanteni.
  17. D

    Njia rahisi ya kuandaa bajeti yako

    50/30/20 Hii Ndio Njia Rahisi Zaidi ya Kupanga Bajeti Yako. Njia hii ilianzishwa na Seneta mmoja Marekani jina lake anaitwa Elizabeth Warren. Elizabeth Warren alisema kwamba unapopanga Bajeti yako igawe katika Makundi 3 Makuu. 1) Kundi La Kwanza Ni 50% Kundi la kwanza ni la kuweka kwenye...
  18. C

    Urgent: Natafuta nyumba ya kupanga, Bajeti 200,000 (Kinyerezi, Kimara, mbezi Africana ingependeza zaidi)

    Wakuu kwema? Wakuu natafuta nyumba ya kupanga, mkataba nakokaa umeisha. Hali ya uchumi imeyumba hivyo nimeona sitaweza kulipa pesa nayolipa hapa, hivyo natafuta nyumba ya nusu bei ya hapa. Iwe na vyumba viwili vya kulala, jiko, sebule, dinning room, choo, bafu, umeme wa kujitegemea, maji na...
Back
Top Bottom