Pole na majukumu Ndugu Waziri, nina machache ya kukushauri juu ya suala la ajira za walimu;
Rejea enzi za Ummy Mwalimu, alichukua wahitimu wa 2012, 2013, 2014, na 2015 akapeleka wote primary hakukuwa na shida.
~ Chukua wahitimu wote wa 2015 peleka primary ili upunguze kelele.