Baada ya ufahamu wa siasa za kitanzania kwa muda mrefu, sasa nadhani baada ya kupata uzoefu wa taaluma yako kivitendo kupitia nyadhifa zako tano za kisiasa ndani ya muda mfupi, yaani 1) Kilanja wa tume ya kuchunguza mali za CCM, (2). Katibu mkuu wa CCM, (3) Mh, Balozi (4) Katibu Mkuu Kiongozi na...