betting

Gambling (also known as betting) is the wagering of money or something of value (referred to as "the stakes") on an event with an uncertain outcome, with the primary intent of winning money or material goods. Gambling thus requires three elements to be present: consideration (an amount wagered), risk (chance), and a prize. The outcome of the wager is often immediate, such as a single roll of dice, a spin of a roulette wheel, or a horse crossing the finish line, but longer time frames are also common, allowing wagers on the outcome of a future sports contest or even an entire sports season.
The term "gaming" in this context typically refers to instances in which the activity has been specifically permitted by law. The two words are not mutually exclusive; i.e., a "gaming" company offers (legal) "gambling" activities to the public and may be regulated by one of many gaming control boards, for example, the Nevada Gaming Control Board. However, this distinction is not universally observed in the English-speaking world. For instance, in the United Kingdom, the regulator of gambling activities is called the Gambling Commission (not the Gaming Commission). The word gaming is used more frequently since the rise of computer and video games to describe activities that do not necessarily involve wagering, especially online gaming, with the new usage still not having displaced the old usage as the primary definition in common dictionaries. "Gaming" has also been used to circumvent laws against "gambling". The media and others have used one term or the other to frame conversations around the subjects, resulting in a shift of perceptions among their audiences. Gambling is also a major international commercial activity, with the legal gambling market totaling an estimated $335 billion in 2009. In other forms, gambling can be conducted with materials which have a value, but are not real money. For example, players of marbles games might wager marbles, and likewise games of Pogs or Magic: The Gathering can be played with the collectible game pieces (respectively, small discs and trading cards) as stakes, resulting in a meta-game regarding the value of a player's collection of pieces.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Kipi heri, Network marketing au Betting?

    Leta huyu na yule wajisajili upate pesa au weka 500(yaani mia tano) kwenye betting sites kama Sokabet au 10bet uomoke na 50k?
  2. Binadamu Mtakatifu

    Support community ya kupambana na addiction kama kujichua, pombe , bangi , kupata marafiki, betting na others NJOO UNIPE MAWAZO YAKO KAMA SIO KUJIUNG

    Katika pitapita zangu nimekutana na tovuti ya nofap hii imenipa hamasa sana ukiangalia ukanda mzima huu wa afrika mashariki hakuna tovuti hii kwa jamii yetu Nimeona niianzishe na teyari nilikua nayo nyingine so nikufuta old post na kuanza upya Ningependa nipate mtazamo wako hii ni kama forum...
  3. Logikos

    Chelsea na Manunuzi ya Ki-Kamari (Betting)

    Sina Mengi ya Kusema hii Article ya Gab Marcoti paints a Better Picture:- Trying to make sense of Chelsea's transfer spree: big gambles, but big rewards too? The dust has settled, and the numbers are in. Since June 10, when the summer transfer window opened, Chelsea has spent more than €600...
  4. Logikos

    Betting - Money Saved is Money Earned

    Kuendelea kubaki na pesa uliyonayo ni muhimu kama vile kutafuta nyingine..., na wikiendi hii ya FA CUP ninawashauri wadau wakae likizo..., Sababu historically FA Cup huwa ina Upsets nyingi sana Timu ndogo kukamia; kubwa kuzembea..., Timu kubwa kuweka kikosi cha ajabu au ndogo kupaki basi n.k...
  5. L

    Hivi kampuni za kubeti wanatumia teknolojia gani ili wasifilisike?

    Hawa jamaa Kuna uchawi wanatumia au namna yoyote ya ndumba ?mbona hawafilisiki jamani?
  6. L

    Namna ya kujiunga na uwakala wa Betting (Betting Point)

    Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza. Naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie namna naweza kuwa wakala wa betting (Betting Point). Nataka uwakala sabab nina kibanda changu cha kuonesha mpira kimechanganya sana, nikapata wazo la kuwa wakala (Agent) kabisa wa betting. Nitashukuru kwa msaada kutoka...
  7. Superbug

    Mashine na biashara za betting zinauzwaje?

    Naomba kujua yafuatayo juu ya mashine na biashara za kubetisha mpira. 1. Mashine zinauzwaje. 2. Zinapatikanaje/wapi? 3. Mtaji wake kiasi gani? 4. Risk zake ni zipi? 5. Faida yake inapatikanaje? Nk
  8. G

    Mjadala: Forex na betting kipi kigumu?

    Wakuu, Nawakaribisha kujadili hili. Kati ya forex trading na betting kipi kirahisi au kipi waweza sema unaweza jivunia. Binafsi kutabiri outcome ktk forex ni rahisi kuliko kwa betting. Risk ya betting ni 100pecnt ya mtaji wako or stake, ila forex unaweza limit kiasi kadhaa. Betting ina...
  9. Expensive life

    Wazee wenzangu wa kuweka mizigo (betting) hembu njoeni tuzijadili hizi point alizopewa Yanga sc dhidi ya Geita Gold leo hii.

    Mazee hapa kuna kamtego nini nikitia kamilioni nikimpa yanga si nitanemeka, alafu kama kuna kitu kinaniambia acha ujinga 😂😂
  10. Lupweko

    Hawa mashabiki wangeweka mzigo (betting) wangevuna hela

    Hao watatu walisema Simba itashida 3-0. Huyo mmoja naye akasema Jenerali Moses Phiri atafunga goli. Yote hayo yametokea
  11. BARD AI

    Waliotaka kuiba kwenye ofisi za Betting Dar wafariki dunia

    Vijana wawili waliodaiwa kuvamia ofisi ya michezo ya kubahatisha (Premier bet) eneo la Mwenge ITV na kutaka kupora fedha wamefariki kutokana na kipigo walichokipata kutoka kwa wananchi. Septemba 27, 2022, saa 3:30 asubuhi vijana hao walifika katika ofisi hiyo kama wateja wanaohitaji huduma na...
  12. Planet FSD

    Msaada wazee wa mikeka: kulink VISA card na online betting companies

    Wakuu msaada, nimekuwa nahangaika kulink card yangu ya VISA Debit kutoka Equity Bank. Nilipowauliza wakasema ni BOT wamezuia online transactions kutoka/kwenda kwenye online gambling sites na forex. Nilipewa pia jibu hilo hilo nilipowapigia BancABC. Kwa wale wanaofanya online betting kupitia...
  13. Planet FSD

    Msaada: Napata shida kulink VISA card na online betting companies

    Wakuu msaada, nimekuwa nahangaika kulink card yangu ya VISA Debit kutoka Equity Bank. Nilipowauliza wakasema ni BOT wamezuia online transactions kutoka/kwenda kwenye online gambling sites na forex. Nilipewa pia jibu hilo hilo nilipowapigia BancABC. Kwa wale wanaofanya online betting kupitia...
  14. Pigabet

    Withdrawal service outage resolved

    Dear Pigabet Customers, We regret the inconvenience that had been caused to you during our upgrades for the past week. However, we would like to inform you that withdrawals through Tigo, Vodacom and Airtel mobile operators are back. Pigabet wants to assure each one of you that your funds are...
  15. M

    SoC02 Vijana wamepokeaje michezo ya kubahatisha (betting) ?

    Mkeka au Mikeka "ni kauli zinazotamkwa kutoka kwa vijana wengi kwenye kila kona ya nchi yetu haswa vijana wa kiume ukilinganisha na wale vijana wa kike ,kwa hakika vijana ni miongoni mwa nyenzo muhimu inayotegemewa na kila taifa kwa ajili kusukuma maendeleo ya taifa husika , kwa hiyo basi...
  16. N

    Kuongezeka kwa kampuni za betting Tanzania, nini maoni yako?

    Miaka ya hivi karibuni kuanzia 2015 Hadi sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la kampuni za michezo ya kubeti kuja kuwekeza Tanzania. Je nikutokana na kuimarika kwa huduma za internet, au upatikanaji mzuri wa njia za malipo ya simu? Je kutokana na uwekezaji wanaokuja nao mathalani kila kampuni...
  17. K

    SoC02 Betting ni njia sahihi ya kujikwamua kiuchumi?

    Kizazi cha sasa hasa kwa vijana (wasichana kwa wavulana) asilimia kubwa wamekuwa wakijikita katika michezo ya kubahatisha (betting) kama njia ya kujipatia kipato ya haraka, Picha: Watanzania wakiwa katika moja ya kampuni la michezo ya kubahatisha (Benjamin Fernandez 2017) Lakini swali la...
  18. Juice world

    Nilipata milioni 50 kwenye betting zimepotea zote

    Hivi wadau betting inauchawi au maana nilipata million 50 nikaanza Kila siku kuitumia nimekuja kushtuka Nina milioni 1 sasa hivi aisee ni msala sijui majini nishaurini maana Mimi kazi yangu ni betting kusema ukweli Mimi nakuaga na bahati ila sasa matumizi yangu ni ovyo wanawake ndio wangu bia...
  19. Protector

    Serikali kupunguza kodi kwenye betting haioni inaendelea kuharibu vijana ambao wapo addicted na kubet

    Leo waziri wa fedha amependekeza kupunguza kodi kwenye pesa anayoshinda mtu aliyebeti kutoka 15% mpaka 10%. Kwangu naona hii ni kama kuendelea kuharibu vijana maana watahamasika kutokana na kuona wakishinda watakatwa pesa kidogo. Bora ingeongezwa ili iwavunje moyo watu wanaobet labda...
  20. AbuuMaryam

    Betting ni biashara inayolipa, mpaka radio zimeamua kuachana na malengo ya msingi zimehamia huku. TCRA mpo kimya tu

    Radios na TVs ila Radios sana sana, yaani ukifungua tu unakutana na tangazo la kamari. Kama zamani ilikuwa matangazo ya waganga wa kienyeji. Sasa hivi Radio zimeamua zichezeshe zenyewe michezo hii. Hii biashara inaonekana kulipa sana. Sijui tunatengeneza kizazi cha aina gani? Ukifungua hapa ni...
Back
Top Bottom