biashara

  1. Waufukweni

    Mchungaji anayesakwa na FBI kwa biashara ya ngono kwa watoto akamatwa

    Mchungaji wa Ufilipino, Apollo Quiboloy mwenye ushawishi mkubwa na aliyekuwa akisakwa nchini Ufilipino na Marekani kwa tuhuma za biashara ya ngono kwa watoto na usafirishaji haramu wa binadamu amekamatwa Ufilipino. Apollo ambaye kanisa lake la Kingdom of Jesus Christ (KOJC) linadaiwa kuwa na...
  2. ngara23

    Ukiwa na mtaji mdogo usifanye biashara ya kusubiri mteja, Fanya biashara ya kutafuta mteja

    Watu wengi wanafirisika biashara Kwa kufuata mkumbo wa kufungua maduka, bar, vibanda n.k Yaani mtu una million 2 au 3 unachukua mzigo wa kuweka dukani? Ndugu utalia sana aisee, Vijana wanatoka vyuo wanapewa mtaji na wazazi wanakimbilia kufungua boutiques, sijui bar, n.k na mtaji umepewa...
  3. P

    Sio siri tena! Tumia mbinu hizi tatu kuua ushindani unaokabili biashara yako

    Kuna njia kuu tatu tu za kuua ushindani kwenye biashara yako Moja kuwa bidhaa ya bei nafuu kuliko zote sokoni .... Mpaka sasa sijui ni mbinu gani bora ya kupambana na bei sokoni Mtu akikushinda kwenye bei ni majanga ... Pili, Ni kuwa na uwezo wa kufikisha bidhaa au huduma kwa wateja ndani ya...
  4. aBuwash

    NI MITAA GANI DAR HAINA MAJINA MAKUBWA LAKINI INA POPULATION KUBWA YA WATU NA BIASHARA ZINAFANYIKA SANA?

    Hello wana jf Natumai wote mko poa sana Naulizia gani hivi hapa dar haina majina makubwa sana kama vile tandika, mbagala, kariakoo nk. Lakini ina watu wengii na biashara zinafanyika kwa maana zinauzika Nilikuwa mbagala na store yangu ya mchele ila kwa sasa nimenyoosha mikono ushindani...
  5. A

    Plot4Sale Kiwanja cha biashara Tegeta kibo compex

    Kiwanja caha biashara kipo opposite na New kibo complex Tegeta kina ukubwa wa 1260 square meters Kinafaa kwa matumizi ya biashara kama petro station, apartment, Maduka n.k Kianuzwa 850M Mazungumzo yapo. Kwa mawasiliano zaidi unaweza piga namba 0674630975 Ama 0714 796 778 Karibuni sana
  6. ERICKY_TZ255

    Msaada: Biashara ndogo 10 ninazoweza kuanzisha kwa mtaji wa laki tano

    Naombeni mnisaidie biashara ndogo 10 ninazoweza kuanza na mtaji wa kama laki 5 na unayorudisha hela.🤝🙏🏻
  7. P

    Salamu kutoka Marekani: Ndulele/Ndulandula/Tulatula ni biashara nzuri

    Mbali na uwepo wa supermarkets(Stores) nyingi huku Marekani, pia yako masoko ya wakulima au wanaita Farmers Market, at least kwa hapa nilipo sijui majimbo mengine kama kuna farmers markets. Masoko yako mengi ambayo hufanyika mara moja kwa wiki. Lakini kwa kuwa yako tofauti unaweza ukainjoi tu...
  8. Gemini AI

    Jinsi VPN Ilivyoniwezesha Kupata Fursa za Biashara kwenye Nchi Zilizozuia Baadhi ya Mitandao

    Mwaka 2023 ulikuwa mwaka ambao ulijaa changamoto na fursa kwa upande wangu. Nikiwa nimeamua kupanua biashara zangu, nilijikuta nikiingia China kwa mara ya kwanza. China ni taifa lenye nguvu kubwa kiuchumi, na kwa kila mjasiriamali mwenye ndoto ya kupanuka kimataifa, hili lilikuwa eneo muhimu...
  9. A

    Pamoja na kushusha bei wananipita wanaenda kwingine, najiuliza nakosea wapi?

    Wakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa. Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh ngapi unamwambia bei anakigeuza geuza wee anakitathmini halafu anasema anarudi ndo imeisha hiyo...
  10. Bullshit

    Vimbwanga katika Biashara

    Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu. Hii hatari sana.
  11. KING ASSENGA

    MSAADA: Biashara zinanivuruga naona nachanganyikiwa. Nifanyeje kujitoa katika hali hii?

    Habari ndugu, naomba niwashirikishe kidogo yanayonisibu; Nina biashara 5; 1. Magodoro 2. Electronics 3. Mchele 4. Duka la rejareja 5. Vinywaji vya jumla. Kinacho niumiza wakuu chakwanza ni location mbovu haswa kwa biashara ya; 1. Mchele 2. Electronics 3. Magodoro Jambo la pili ni mtaji...
  12. Influenza

    Polisi: Wafanyabiashara wawili waliodaiwa kupotea Songea, waliuawa na Mganga wa Kienyeji na kuzikwa

    Jeshi la Polisi limeleza kuwa Wafanyabiashara Raymond Hyera maarufu Ray (25) na Riziki Mohamed (30) wa Songea, Ruvuma waliokuwa wamepotea walienda kwa Mganga kupata dawa ya kuwezesha biashara zao kufanya vema zaidi ambapo walinyweshwa maji yaliyowafanya walegee na kupoteza maisha na kisha Mganga...
  13. Waufukweni

    Biashara kubwa zinazomilikiwa na Cristiano Ronaldo

    Cristiano Ronaldo sio tu gwiji wa soka bali pia ni mfanyabiashara aliye na aina mbalimbali za biashara zinazoendeleza ushawishi wake zaidi ya uwanjani. Chapa yake ya CR7 inajumuisha nguo, viatu, manukato, na biashara zingine kubwa. Kupitia biashara hizi, Ronaldo anahakikisha urithi wake...
  14. Kaunara

    Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

    Habari wadau! Naenda kwenye hoja moja kwa moja kwenye hoja. Ki ukweli utakatishaji fedha ni biashara ambayo ipo kwa siri sana. Usione mtu anajipost na rundo la hela na hana kazi yeyote akasema yeye ni free mason ukaamini we ni mjinga hata serikali ina ujinga flani. Kuna watu wana hela Dunian...
  15. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Kufanya biashara kunahitaji muongozo, lakini pia taarifa sahihi kutoka kwa watu sahihi inaweza kufanya tofauti kubwa. Tunatoa ushauri kwa wafanyabiashara wanaotaka mitaji mikubwa ya biashara na wenye historia au uzoefu wa biashara na asset kwa ajili ya dhamana. Wasiliana nasi kwa email...
  16. Mhina Martin

    Ushauri: Biashara ya car wash

    Wazoefu wa hii biashara naomba ufafanuzi; Niandae bajeti ya Tsh ngapi kwa ajili ya hii biashara mchanganuo wa bei ya machine na Vitu vingine vinavyohitajika. Location nzuri iweje Mambo gani ya msingi nizingatie Ili nipate location nzuri Gharama za uoshaji zikoje kwa sasa. Changamoto ya hii...
  17. Its Pancho

    Undani wa biashara ya utumwa je ni waarabu au wazungu ndiyo chanzo? Soma hapa

    I salute you kinsmen.! Naona kumekuwa na mjadala wa vuta nikuvute kwa pande mbili hasa kwenye muelekeo wa kidini zaidi . Mwelekeo huu ukihusu zaidi waarabu na wazungu na kujikuta tukikaa makundi ya ukristo na uislamu.! Hii haifai wakuu lazima tuwe neutral na tujadili ukweli sio kuruka ruka na...
  18. Valencia_UPV

    Dada zetu na biashara Arabuni

    1. Kundi la Dada zetu (diaspora pori) wanapambana huko Arabuni. 2. Nilikua Dubai, Ile kuingia Tinder nakutana na mbongo ila nikajikausha kama sitoki Bongo. 3. Hela ngumu Sana aisee. Wacha wapambane. NB: wengi Wanakwenda na viza za miezi mitatu ikiisha anakwenda Qatar au Oman kuzuga masaa tu...
  19. deshanny

    Computer4Sale Nauza Dell Xps 13 9365, core i7 7th Gen

    Dell Xps 13 9365 Convertible laptop Super Slim x360 13'3 inches sceeen Touch screen 7th generation Intel i7processor Ram 8 gb Ssd 256 gb Backlight keyboard Fully hd screen FHS, IPS Fingerprint Reader Face Id Camera x web camera Security Lock Slot Speaker Microphone 0689226818
  20. M

    Nahitaji mtu wa kuanzisha biashara ya kuagiza magari nje ya inchi

    Kama ujumbe unavyojieleza natafuta mtu mwenye wazo la biashara ya kuagiza magari mtandaon
Back
Top Bottom