biden

Joseph Robinette Biden Jr. ( BY-dən; born November 20, 1942) is an American politician and the 46th president-elect of the United States. After defeating incumbent Donald Trump in the 2020 United States presidential election, he will be inaugurated as the 46th president in January 2021. A member of the Democratic Party, Biden previously served as the 47th vice president from 2009 to 2017 and United States Senator for Delaware from 1973 to 2009.
Raised in Scranton, Pennsylvania, and New Castle County, Delaware, Biden studied at the University of Delaware before earning his law degree from Syracuse University in 1968. He was elected a New Castle County Councillor in 1970, and became the sixth-youngest senator in American history when he was elected to the U.S. Senate from Delaware in 1972, at the age of 29. Biden was a longtime member of the Senate Foreign Relations Committee, and eventually its chairman. He opposed the Gulf War in 1991, but supported expanding the NATO alliance into Eastern Europe and its intervention in the Yugoslav Wars of the 1990s. He supported the resolution authorizing the Iraq War in 2002, but opposed the surge of U.S. troops in 2007. He also chaired the Senate Judiciary Committee from 1987 to 1995, dealing with drug policy, crime prevention, and civil liberties issues; he led the effort to pass the Violent Crime Control and Law Enforcement Act and the Violence Against Women Act, and oversaw six U.S. Supreme Court confirmation hearings, including the contentious hearings for Robert Bork and Clarence Thomas. He ran unsuccessfully for the Democratic presidential nomination in 1988 and again in 2008.
Biden was reelected to the Senate six times, and was the fourth-most senior senator when he resigned to serve as Barack Obama's vice president after they won the 2008 presidential election; Obama and Biden were reelected in 2012. As vice president, Biden oversaw infrastructure spending in 2009 to counteract the Great Recession. His negotiations with congressional Republicans helped pass legislation including the 2010 Tax Relief Act, which resolved a taxation deadlock; the Budget Control Act of 2011, which resolved a debt ceiling crisis; and the American Taxpayer Relief Act of 2012, which addressed the impending "fiscal cliff". He also led efforts to pass the United States–Russia New START treaty, supported military intervention in Libya, and helped formulate U.S. policy toward Iraq through the withdrawal of U.S. troops in 2011. Following the Sandy Hook Elementary School shooting he led the Gun Violence Task Force. In January 2017, Obama awarded Biden the Presidential Medal of Freedom with distinction.
In April 2019, Biden announced his candidacy in the 2020 presidential election, and he reached the delegate threshold needed to secure the Democratic nomination in June 2020. On August 11, he announced U.S. Senator Kamala Harris of California as his running mate. Biden won the 2020 presidential election of November 3 against President Trump. Thus, he is only the second non-incumbent vice president to become President-elect of the United States, and the first since Richard Nixon in 1968.

View More On Wikipedia.org
  1. HERY HERNHO

    Biden: Urusi haitashinda Ukraine

    Rais wa Marekani, Joe Biden amesema Urusi haiwezi kushinda vita dhidi ya Ukraine. Matamshi hayo ameyatoa mjini Warsaw, Poland ikiwa ni saa kadhaa baada ya Rais wa Urusi Vladimir Putin kusema Urusi itaendeleza mashambulizi yake ambayo yanakaribia kutimiza mwaka sasa. Rais Biden akionekana wazi...
  2. BARD AI

    Jill Biden, mke wa Rais wa Marekani kutua Namibia na Kenya leo

    Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu ya #WhiteHouse, ziara hiyo inayoanza leo Februari 22, 2023 inalenga kuimarisha uhusiano kati ya #Afrika na #Marekani, kuangalia hali ya Usalama wa Chakula na Uwezeshaji wa Wanawake. Hii itakuwa ziara ya 6 kwa #JillBiden kufika Afrika ambapo ziara 5 alikuja wakati...
  3. HERY HERNHO

    Joe Biden amesema Ukraine 'imesimama huru'

    Biden amesema Mataifa ya Magharibi hayana njama ya kuishambulia Urusi kama Putin alivyosema leo," Biden alisema. "Mamilioni ya raia wa Urusi wanataka tu kuishi kwa amani na majirani zao sio adui." Pia Biden amesema Nitarudia usiku wa leo niliyosema mwaka jana mahali pale pale. Dikteta aliye na...
  4. HIMARS

    Rais Joe Biden azuru Kyiv, Ukraine Februari 20, 2023

    Rais wa Marekani, Joe Biden atembelea Kyiv baada ya safari ya masaa 9 kwa treni kutoka Poland ambapo amewasili asubuhi ya leo US president Joe Biden is on a surprise visit to Kyiv, where he's meeting with President Zelensky ahead of the one-year mark of Putin’s full-scale invasion of Ukraine...
  5. JanguKamaJangu

    Marekani: Nyaraka nyingine 6 za siri zakutwa nyumbani kwa Rais Joe Biden

    Wachunguzi wa Idara ya Haki ya Marekani (DoJ) wamesema wamezipata nyaraka hizo wakati wa upekuzi wa saa 13 katika nyumba iliyopo Delaware. Baadhi ya nyaraka hizo ni za wakati Biden akiwa Seneta, nyingine akiwa Makamu wa Rais chini ya Barack Obama, ambapo Wakili wa Biden, Bob Bauer amesema...
  6. JanguKamaJangu

    Mexico: Wiki moja kabla ya ziara ya Rais Biden, mtoto wa El Chapo akamatwa Mexico

    Ukamatwaji huo wa Ovidio Guzman-Lopez ambao pia umetajwa kuihusisha Marekani kumesababisha machafuko maeneo tofauti kwenye Jimbo la #Sinaloa kutoka kwa makundi ya kihalifu na kusababisha kifo kwa maafisa watatu. Ovidio ‘The Mouse’, ndiye anaendesha biashara za dawa za kulevya na uhalifu...
  7. C

    Nilipokosa kupiga nae Picha mlinicheka Mitandaoni, mbona Jana nimepiga nae White House na hamnipongezi?

    Mkijua Kudhihaki mjue pia na Kupongeza. Na hakuishia tu Kupiga Picha nami bali hata ile Dola Milioni 55 tuliyohaidiwa Ngozi Ngumu (Bara la Afrika) kwa anavyoipenda Tanzania Nusu yake tutapewa Sisi na Mimi kwakuwa nimeshawajua mlivyo Wanafiki wala sizileti Kwenu (siwapi) na naziweka Kibindoni ili...
  8. BARD AI

    Ahadi mpya za Rais Joe Biden kwa Marais 49 wa Afrika

    Rais Joe Biden amewaomba Marais wa Afrika ushirikiano wa muda mrefu na unaokita mizizi katika utawala bora huku pamoja na kuzipenyeza biashara za Marekanikuendelea kuingiza mabilioni ya dola kwenye uwekezaji wa teknolojia kwa bara ambalo China imekuwa mdau namba moja kwa sasa. Akihutubia katika...
  9. N

    Hivi kombora lililopiga Poland ingeshutumiwa Venezuela au Iran Biden angekuwa mpole hivi?!!!!

    Taarifa hizi za Urusi kupiga kombora Poland nilitegemea ziibue panic si ya kawaida kwa NATO wote (wale halisi wa kule na hawa wetu waliopo nanjilinji, mailimoja, kwa mfipa n.k) kwa jinsi walivyokuwa wanamtafuta kwa kitendo chake cha kuvamia Ukraine. Ni wakati gani tena bora wa kumfumua mtu...
  10. M

    How Joe Biden and the Democratic Party defied midterm history

    Democrats have retained the Senate – doing no worse than holding steady at 50 seats and potentially gaining one – and look likely to keep any net losses in the House in the single digits. Midterms are supposed to be the time for the opposition party to shine. That should especially be the case...
  11. JanguKamaJangu

    Rais Joe Biden: Inawezekana ni kweli Urusi haijaishambulia Poland, uchunguzi unafanyika

    Baada ya kombora kutua katika Kijiji kimoja Nchini #Poland na kuua watu wawili kisha kudaiwa Urusi ndio imehusika, Rais wa Marekani, Joe Biden amesema kuna uwezekano kombora hilo halikutokea Urusi. Amesema: "Siwezi kusema wazi moja kwa moja kuhusu ushiriki wa Urusi hadi uchunguzi ukamilike.”...
  12. BARD AI

    Trump kuwania tena Urais 2024, atamba kumuondoa Ikulu Joe Biden

    Rais huyo aliyeshindwa Uchaguzi Mkuu wa 2020 ametangaza kuutaka tena Urais licha ya uchunguzi mwingi unaoendelea dhidi yake kuhusu Matumizi Mabaya ya Madaraka na Ukwepaji Kodi "Ili kuifanya Marekani iwe Kuu na Utukufu tena, leo ninatangaza kugombea Urais. Kuanzia sasa hadi siku ya uchaguzi...
  13. NetMaster

    KISASI: Trump apendekezwa kuwa spika wa bunge la Marekani,

    Hadi sasa ramani inakoelekea ni wazi kabisa Republicans wanaweza kumpendekeza kipenzi chao Mheshimiwa Trump achukue kiti cha uspika ambacho kwa sasa kipi kwa bibie Pelosi anaesubiri kung'oka. Trump kuwa spika inaweza kuwa ni mwiba mkali sana kwa uongozi wa Biden, Trump kuwa spika ni fursa kwake...
  14. NetMaster

    Chama alichomo Trump kinaenda kuchukua House au senate ama vyote, Trump anaweza kupewa uspika wa Pelosi, Biden anaenda kuonja joto la impeachment

    Usiende google kucheki matokeo 😂😂 wala cnn , huko hakuna taarifa credible maana ni left wing main strem media, ni haohao walioaminisha umma mpaka dakika ya mwisho 2016 kwamba Trump kashindwa,,, Ukweli ni kwamba kwa sasa hali inavyoelekea Republicans wanaenda kuchukua moja ya mihimili ama miwili...
  15. kavulata

    Dunia imegeuka, ni heri ya Trump kuliko Biden.

    Dunia Iko sehemu mbaya ya uhaba wa nishati, chakula, kupanda kwa maisha na kukaribia vita vya nukilia kutokana na vita na vikwazo dhidi ya Russia. Wakati Trump alikuwa anaamini kwenye dialogue Biden anaamini kwenye mtutu wa bunduki. Trump alifanya mazungumzo mengi na watu anaotofautiana nao la...
  16. Shujaa Mwendazake

    NATO wanavurugwa, Macron amuomba Papa kuwaweka Mezani Putin na Biden

    Wakati NATO wenzake wanataka vita iendelee, Rais wa Ufaransa anaonekana kutoamini kuwa wana uwezo wa kumaliza vita. Amemuomba Papa awaite warussi na USA wakae mezani kuyamaliza. Urusi n USA ndo walianzisha vita na ndiyo watamaliza. Siyo EU. Urusi siyo Zimbabwe Macron says he urged Pope to...
  17. M

    Uchaguzi wa Novemba Marekani: Biden aahidi kuruhusu utoaji wa mimba kwenye kampeni yake

    Inaonekana Biden anajua wamarekani wanapenda uovu wa utoaji mimba hata akashawishika kuwa atavutia wapiga kura kwa kuwaahidi kuruhusu tena utoaji mimba, kitu ambacho mahakama ya juu ya marekani ilishakizuia na kurudisha maamuzi yawe yanafanywa na serikali ya majimbo. Majimbo mengi hasa...
  18. BARD AI

    Biden atoa msamaha kwa waliokamatwa na Bangi

    Rais Joe Biden amewasamehe Wamarekani wote ambao wamepatikana na hatia katika ngazi ya kitaifa ya kumiliki kiasi kidogo cha bangi. Maafisa wanakadiria takriban watu 6,500 walio na hatia ya kupatikana na bangi watafaidika na msamaha huo. Kwa sasa hakuna mtu aliyefungwa kupitia shirikisho kwa...
  19. BARD AI

    Rais Biden aagiza kuachiwa mapipa milioni 10 ya mafuta baada OPEC kutangaza kupunguza uzalishaji

    Biden amesema uamuzi huo haujatazama mbali na hivyo atalishawishi Bunge la Congress lijaribu kudhibiti ushawishi wa kundi linaloongozwa na Nchi Zinazozalisha Mafuta kutoka Mashariki ya Kati ikiwemo Saudi Arabia. OPEC na washirika wake wanaojulikana kama OPEC+, wamekubaliana kupunguza uzalishaji...
  20. Escrowseal1

    Ni ukweli kiasi gani kwamba ukiigusa Kenya umemgusa Biden na EU

    Katika mahojiano VOA Swahili amesikika mkenya mmoja akidai kuwa ukiichokoza Kenya umemchokoza Biden na Europe kwa ujumla ni baada ya kijana wa Museveni kuandika kwenye Twitter utani wa kuivamia Kenya. Naombeni ufafanuzi wa madai haya ya mkenya bandugu .
Back
Top Bottom