biden

Joseph Robinette Biden Jr. ( BY-dən; born November 20, 1942) is an American politician and the 46th president-elect of the United States. After defeating incumbent Donald Trump in the 2020 United States presidential election, he will be inaugurated as the 46th president in January 2021. A member of the Democratic Party, Biden previously served as the 47th vice president from 2009 to 2017 and United States Senator for Delaware from 1973 to 2009.
Raised in Scranton, Pennsylvania, and New Castle County, Delaware, Biden studied at the University of Delaware before earning his law degree from Syracuse University in 1968. He was elected a New Castle County Councillor in 1970, and became the sixth-youngest senator in American history when he was elected to the U.S. Senate from Delaware in 1972, at the age of 29. Biden was a longtime member of the Senate Foreign Relations Committee, and eventually its chairman. He opposed the Gulf War in 1991, but supported expanding the NATO alliance into Eastern Europe and its intervention in the Yugoslav Wars of the 1990s. He supported the resolution authorizing the Iraq War in 2002, but opposed the surge of U.S. troops in 2007. He also chaired the Senate Judiciary Committee from 1987 to 1995, dealing with drug policy, crime prevention, and civil liberties issues; he led the effort to pass the Violent Crime Control and Law Enforcement Act and the Violence Against Women Act, and oversaw six U.S. Supreme Court confirmation hearings, including the contentious hearings for Robert Bork and Clarence Thomas. He ran unsuccessfully for the Democratic presidential nomination in 1988 and again in 2008.
Biden was reelected to the Senate six times, and was the fourth-most senior senator when he resigned to serve as Barack Obama's vice president after they won the 2008 presidential election; Obama and Biden were reelected in 2012. As vice president, Biden oversaw infrastructure spending in 2009 to counteract the Great Recession. His negotiations with congressional Republicans helped pass legislation including the 2010 Tax Relief Act, which resolved a taxation deadlock; the Budget Control Act of 2011, which resolved a debt ceiling crisis; and the American Taxpayer Relief Act of 2012, which addressed the impending "fiscal cliff". He also led efforts to pass the United States–Russia New START treaty, supported military intervention in Libya, and helped formulate U.S. policy toward Iraq through the withdrawal of U.S. troops in 2011. Following the Sandy Hook Elementary School shooting he led the Gun Violence Task Force. In January 2017, Obama awarded Biden the Presidential Medal of Freedom with distinction.
In April 2019, Biden announced his candidacy in the 2020 presidential election, and he reached the delegate threshold needed to secure the Democratic nomination in June 2020. On August 11, he announced U.S. Senator Kamala Harris of California as his running mate. Biden won the 2020 presidential election of November 3 against President Trump. Thus, he is only the second non-incumbent vice president to become President-elect of the United States, and the first since Richard Nixon in 1968.

View More On Wikipedia.org
  1. Webabu

    Rais Biden ndiyo kalikoroga kabisa. Asema watakuwa pamoja na Israel kwa kila hali. Na Israel sio waliopiga hospitali ya Gaza

    Raisi Biden haonekani kuwa tofauti na mtangulizi wake raisi Trump.Wote hawachagui lipi la kusema na wakati wa kuyasema maneno yao. Japo taarifa za kukataliwa kutua katika baadhi ya nchi za kiarabu alizopanga kuzitembelea anazo na bado alipotua Israel maelezo yake hayakuwa ya kutuliza hasira...
  2. Mhaya

    Joe Biden kwenda Israel kesho

    Rais wa Marekani Joe Biden anatarajiwa kutembelea Israel kesho Jumatano katika kile kilichoripotiwa kuwa ni kuthibitisha kujitolea kwa Marekani kwa usalama wa Israel, hatua hiyo inakuja huku Israel ikipewa wito wa kufungua njia kuruhusu misaada kuingia Gaza. Kwa mujibu wa majasusi nilionao...
  3. K

    Msikilize Rais Joe Biden kuhusu mpango wa Israel 1986

    Wengi tunatazama mgogoro wa Palestine na Israel katika sura ya kidini,ila ukweli ni kua kinavhogombaniwa hapo ni ardhi na pia maslahi ya nchi kama Marekani na wabia wake kwenye kulinda maslahi yao mashariki ya Kati. Ukienda kidini, wakrsito wengi wanasapoti Israel wakifikiri ndio mzizi na...
  4. B

    Mkwara tu, Biden abadili gia angani, Mbona wanapigika?

    Iran amekuwa wazi ya Israeli ni uovu usiokubalika na wao kama nchi hawatakuwa watazamaji. Israel kaamuriwa na baba yake, hakuna kuivamia Gaza isije kuwa taabu Bure! Aachie maji na mafuta haraka kwenda Gaza. Kisha wote wajipange upya. Yasije yakawa makubwa, maana madogo yana nafuu. Kwamba...
  5. Webabu

    Elsisi wa Misri ampa za kichwa Blinken, imebidi arudi alikoanzia

    Safari ya Antony Blinken mataifa ya kiarabu baada ya kuanza kuomboleza na Israel imegeuka dhidi ya matarajio yake. Alipofika kwa Rais wa Misri ambaye huenda ndiye wanayemtegemea nambari moja, Rais huyo alimwambia wazi wazi akizingatia kile alichokisema Blinken alipokuwa na kiongozi wa Israel...
  6. Kingsmann

    Rais Biden amehojiwa kuhusiana na faili za siri zilizopatikana nyumbani kwake na ofisini

    Rais Joe Biden kwa muda wa siku mbili zilizopita alishiriki katika mahojiano ya hiari na wakili maalum Robert Hur kama sehemu ya uchunguzi wake wa nyaraka za siri, Ikulu ya White House ilitangaza Jumatatu. "Rais amehojiwa kama sehemu ya uchunguzi unaoongozwa na Wakili Maalum Robert Hur,"...
  7. Webabu

    Mbwa wa Biden aondoshwa ikulu kwa kung'ata ovyo mpaka walinzi wake

    Jibwa hili linalojulikana kama Commander ameshang'ata wafanyakazi wa ikulu karibia mara 15 Kabla ya Commander, Biden alikuwa na mbwa mwengine aliyeitwa Champ ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka 13. Mkasa uliopelekea commander kuondoshwa ni pale mnamp septemba 25 mnyama huyo aliyemng'ata...
  8. JanguKamaJangu

    Rais Biden asema Trump ni tishio kwa Demokrasia

    Rais wa Marekani, Joe Biden, amezidisha mashambulizi yake dhidi ya rais wa zamani Donald Trump, Alhamisi, katika hotuba kali ambayo amewahi kutoa hadi sasa, kwamba rais huyo wa zamani na mgombea anaeongoza katika chama cha Republikan, ni kitishio kwa desturi na taasisi za kidemokrasia za nchi...
  9. comte

    Ugumu wa maisha unawafanya wa Marekani wasimuelewe Biden na Bidenomics yake

    Sembe imepanda bei Mafuta yamepanda bei Bei ya pango iko juu ---- WASHINGTON − Linda Muñoz is scared about the economy. She dipped into her emergency savings this year. And she doesn't believe President Joe Biden feels her pain. The retired teacher from Channelview, Texas, worries about paying...
  10. T

    Kijana aliyetushia uhai wa Rais Biden auawa

    Moja ya story nimeipenda ktk kupitapita mtandao I ni hii ya kijana mmoja huko Marekani kuuwawa na FBI baada ya kutisha Uhai wa Rais Biden. Je ingekuwa kwetu Tz tungesema mengi Rais dictator na hana ubinadam ila huko Demokrasia inapozaliwa jamaa wamemlaza down bila hata kutaka kujua why alikuwa...
  11. HERY HERNHO

    Rais wa Marekani, Joe Biden ajikwaa na kuanguka katika hafla ya Colorado

    Rais wa Marekani Joe Biden amejikwaa na kuanguka alipokuwa akikabidhi cheti cha diploma katika sherehe ya kuhitimu kwa Chuo cha Jeshi la Wanahewa la Marekani huko Colorado. Biden, ambaye ndiye Rais mkongwe zaidi wa taifa hilo anayehudumu akiwa na umri wa miaka 80, alisaidiwa kusimama na...
  12. Kinyungu

    Rais wa Marekani Joe Biden aanguka jukwaani

    Leo Rais Biden wa USA ameanguka jukwaani wakati akisalimiana na Wahitimu wa chuo cha kijeshi cha Anga huko Colorado, chanzo cha kuanguka hakijulikani kama amejikwaa au ni umri mkubwa kiasi kwamba anapoteza balance. Mara baada ya kuanguka maafisa wa usalama wamemsaidia kuinuka fasta na kumpeleka...
  13. Jidu La Mabambasi

    Biden, USA, you are unfair!

    Its a shame that a country as sane as the USA, could force other countries into supporting queer lecherous human behavior. And not only that, but that men can marry men, women can also marry women, and that that is the new human rights standard for human beings, as per the uSA. That is totally...
  14. Suley2019

    Biden atishia kuweka vikwazo kwa Uganda baada ya kupitisha sheria ya kupinga ushoga

    Rais wa Marekani, Joe Biden ameilaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo huku akitoa wito wa sheria hiyo kufutwa mara moja. Sheria hiyo mpya itawalazimu Watu wanaoshirki kwenye...
  15. jastertz

    Hoja ya umri inaweza kuwa kikwazo kwa kampeni ya Joe Biden?

    Msemo unasema, muda haumngoji mtu, na kwa Joe Biden mwenye umri wa miaka 80, hilo linaweza kuwa tatizo. Je, rais wa Marekani anaweza kuwashawishi wapiga kura kwamba umri wake si hoja? Bw Biden alitangaza Jumanne kwamba anataka kuhudumu kwa miaka mingine minne katika Ikulu ya White House...
  16. Hismastersvoice

    Rais Joe Biden wa Marekani ni kizazi cha Ireland

    Kama alivyokuwa Obama kizazi cha Kenya ndivyo alivyo Biden kizazi cha Ireland na Rishi kizazi cha India. Rais Joe Biden ataitembelea Ireland na kuzuru maeneo ya kizazi chake. === US President Joe Biden will return to his roots in County Mayo on Friday on the final day of his visit to Ireland...
  17. Huihui2

    Agenda ya Ushoga: Katika Wateule wa Joe Biden 1,500 kuna mashoga 210 sawa na 14%

    Tusishangae kwa nini hoja ya ushoga au upinde 🌈 imepamba moto duniani kwa miaka hii miwili toka Joe Biden achuguliwe kuwa Rais wa USA. Kwa makusudi mazima alichagua mashoga maarufu kushika nafasi nyeti 210 kati ya 1,500 anazoruhusiwa kuteua anayemtaka.
  18. T

    Safari ya Rais Biden na Jinsi CIA walivyoandaa safari ya kijasusi Nchi Ukraine

    Mwezi wa pili wa mwaka 2023 ni mwezi ambao utaingia kwenye historia za Dunia ambapo idara nyeti ya usalama wa Taifa ikisaidiana na Pentagon walifanikisha safari nyeti ya Rais wa Taifa la Marekani na kuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wa viwango vya China au Urusi ila wao ni WA viwango vya juu...
  19. Ndengaso

    Wamarekani Wamemtemea Nyongo Rais Biden

    Kupitia Ukurasa wa Instagram, Ikulu ya Marekani ilipost picha ya Rais wa Marekani akiwa pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Ukraine, baada ya kufanya ziara ya kushtukiza na iliyokuwa ya siri kubwa mpaka kufika, picha hii ilifuatiwa na maneno kwamba Ukraine bado ipo Imara na hakuna wakuizuia Marekani...
  20. HERY HERNHO

    Biden akutana na viongozi wa NATO wa Mashariki mwa Ulaya

    Rais wa Marekani Joe Biden amekutana na viongozi wa nchi za upande wa mashariki mwa Ulaya, ambao ni wanachama wa jumuiya ya Kujihami ya NATO. Kwenye mkutano huo wa Jumatano huko Warsaw Poland, Biden alikariri kujitolea kwa nchi yake kuhakikisha usalama wa washirika wake wa mashariki mwa Ulaya...
Back
Top Bottom