bidhaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. John Haramba

    Rais Samia: Vita ya Urusi, Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei

    Rais Samia Suluhu Hassan ameelezea kupanda kwa bei ya mafuta kwa kiasi inasababishwa na mgogoro unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine. “Mabadiliko ya kupanda kwa bei ya mafuta kiasi kidogo yamesababishwa na vita ya Ukraine na Urusi, yanapanda bei mno. Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote...
  2. L

    Vitu vinavyoathiri uwepo wa bidhaa sokoni

    VITU VINAVYO ATHIRI SUPPLY 1. SUBSIDIES and TAXES Subsidies ni ruzuku ambazo hutolewa katika uzalishaji wa bidhaa flani, Taxes ni kodi. Bidhaa ikipewa ruzuku za kutosha na ikaondolewa au kupunguziwa kodi katika uzalishaji wa hio bidhaa basi itazalishwa kwa wingi na kuongeza supply la io...
  3. L

    Jifunze jinsi ya kupanga bei kulingana na aina ya bidhaa unayouza

    PRICE ELASTICITY OF DEMAND Hapa tunaongelea jinsi gani ambavyo bei ya bidhaa inaweza athiri uhitaji wa hio bidhaa (demand). Inaeleza jinsi tabia ya mteja inavyobadilka kulingana na bei ya bidhaa. Kwenye sheria ya demand inasema kwamba bei inavyoongezeka basi ni lazima demand ya kitu ipungue...
  4. L

    Duh! Kila nikihakiki bidhaa kutumia Hakiki ap ya TRA inaniambia verification failed

    Nimejaribu kuhakiki bidhaa kwa kutumia ap ya Hakiki Stamp ya TRA nimekuta kila bidhaa feki. Unachotakiwa kufanya scan bar code au QR code iliyopo kwenye bidhaa.Ap inawasha camera ya simu, hakikisha QR code au bar code inakuwa kwenye target ya camera, bila ya kutingishika, kama huwezi ingiza...
  5. L

    Bidhaa zinazoendana katika soko

    MONOPOLISTIC COMPETITION Hili ni aina ya soko ambalo ni muuunganiko wa monopoly na perfect competition. Lina uhalisia zaidi kuzidi perfect competition. Sifa za monopolistic competition: 1.Bidhaa zinafanana sema zina unatofauti katika ladha, ubora, package nk Mfano: Pepsi na coca, zote ni...
  6. L

    Kupanua mauzo ya bidhaa kwa China kunaifanya Afrika kuwa kanda ya kuvutia katika ukuaji wa uchumi na biashara duniani

    Kulingana na takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Idara ya Forodha ya China, mwaka 2021 kiwango cha biashara kati ya China na Afrika kiliongezeka kwa 35% ikilinganishwa na mwaka uliotangulia, na kufikia dola za Kimarekani bilioni 254.3, kiasi ambacho kimezidi kile cha kabla ya kutokea kwa janga...
  7. L

    Uuzaji wa bidhaa za photovoltaic za China nje ya nchi wapanda kwa asilimia 60 mwaka 2021

    China imeshuhudia uuzaji mwingi wa bidhaa zake za photovoltaic (PV) nje ya nchi mwaka jana wakati dunia inaongeza juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Kwa mujibu wa Wizara ya Viwanda na TEHAMA, mwaka 2021 uuzaji nje wa bidhaa za PV za China ulipita dola za kimarekani bilioni 28.4...
  8. 24 Hours

    Nataka ninunue bidhaa online lakini sina kitambulisho chochote, inawezekana?

    Habari, Nataka kuagiza bidhaa online kwenye site kubwa kama amazon, ebay, aliexpress n.k lakini sina kitambulisho chochote kile, ila nina namba ya simu tu ambayo ni ya mtu. Sitaki yeyote aniagizie wala sitaki kutumia sanduku la posta la mtu mwingine. nachotaka nikiagiza bidhaa inifikie pasipo...
  9. L

    Kupunguza gharama za uzalishaji, kuongeza bidhaa na faida

    ECONOMIES OF SCALE Hiki ni kitendo cha kupungua kwa gharama ya uzalishaji (Average cost) kadri ya uzalishaji wa bidhaa unavyoongezeka. Njia ambazo zitamsaidia mfanyabiashara kupata economies of scale ni kama zifuatazo: 1. Kununua mahitaji yanayohitajika katika uzalishaji kwa bei ya jumla...
  10. H

    Biashara ya kubadilishana bidhaa/kuuza bidhaa vijijini

    Kwema wadau kuna jambo nimefikiria nikaona niwashirikishe wadau je kwa mikoa ya simiyu shinyanga au mwanza kuna uwezekano wa kubadilishana bidhaa vijijini kwa mikoa tajwa hapo juu. Mfano nikaenda na dagaa nikarudi na kuku au nikaenda na sabuni na vyombo vya ndani nikarudi na mahindi. Je barter...
  11. L

    Faida katika biashara, gharama za uzalishaji, idadi ya bidhaa

    AVERAGE COST Kama tunavyofahamu neno average ni wastani, na cost ni gharama. Hivyo Average cost ni kuchukua jumla ya gharama zote fixed na variable cost (total cost) alafu ugawe kwa idadi ya vitu ulivyovizalisha (output). Mfano: Muuza mihogo ya kukaanga ametumia gharama ya 50,000 na...
  12. Akili zangu hazipo sawa

    Nahitaji mwekezaji tunaeweza fanya biashara pamoja kwenye idea yangu ya bidhaa 6 awepo Dar es Salaam

    Kama kichwa kinavosema wakuu Nahitaji mtu anaweza akawekeza Kwenye hili wazo la biashara.WAZO LENYEWE LIPO HIVI👇👇👇👇👇👇👇 Lengo kubwa nikuwasaidia wauza migahawa kuendesha biashara zao hata kama hawana mtaji na lakini pia kutanua biashara zao.Ipo hivi mama ntilie anavoamka asubuhi atataka kununua...
  13. J

    Serikali yaagiza mamlaka husika kuwachukulia hatua wafanyabiashara waliopandisha bei za vifaa vya ujenzi na bidhaa nyingine muhimu

    Waziri wa viwanda na biashara Dr Kijaji amezitaka mamlaka zinazohusika kuwachukulia hatua wafanyabiashara waliopandisha bei za Soda, Cement, Nondo na bidhaa nyingine kinyume cha utaratibu. Dr Kijaji amesema uchunguzi umeonyesha kuwa wakati bidhaa hizo zinapandishiwa bei gharama za uzalishaji...
  14. Suley2019

    Mason Greenwood aondolewa kwenye bidhaa za FIFA

    Mchezaji wa soka wa Manchester United Mason Greenwood ameongzewa mda zaidi wa kushikiliwa kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono na kutoa vitisho vya kuua. Mchezaji huyo mwenye miaka 20 alikamatwa kwa tuhuma za ubakaji na shambulio siku ya jumapili. Polisi wa Greater Manchester Police (GMP)...
  15. kavulata

    Bidhaa zipi hazihitaji kutoa na kudai risiti?

    Je kuuza kipande kimoja Cha sabuni nitoe risiti na mnunuI adai risiti?
  16. Crocodiletooth

    Kutokana na machinga kuuza bidhaa zinazolingana na za madukani, TRA watatenganishaje?

    Kutokana na machinga kuuza bidhaa zenye ukubwa pengine na hadhi inayofanana na bidhaa za maduka yanayotoa risiti ambayo ndiyo kampeni ijayo, TRA watatofautishaje? Bidhaa hizi? (Ipo haja ya kutengeneza machinga receipts) #kwa ukweli machinga wanavuruga mfumo wa ukusanyaji kodi.
  17. sky soldier

    Mchimbo Dubai: Tujuzane namna ya kufika, maisha yalivyo, machimbo ya bidhaa na kuufikisha mzigo Bongo.

    Dubai ni mji wa kiv=biashara ambao watu kibao wanaenda kufata mizigo yao na kuiuza hapa bongo. Naamini kuna wazoefu humu wengu wanaofata mizigo huko Dubenga, tunaombeni ushirikiano. Binafsi nimecheki videos mitandaoni za wahindi wengi na wapakistani wakippategemea sana Dubai kwenye kujumua...
  18. Wilhelm Johnny

    Msaada wa bidhaa Kariakoo

    Wakuu nipo Dodoma huku ni fundi simu, changamoto ya Dodoma hawana vifaa vingi huwa napata changamoto baadhi ya bidhaa wateja wakihitaji kama hapa kuna battery ya sony xperia xz nilikuwa nahitaji Dodoma nzima nimekosa kwa hapa mjini. Nilikuwa naomba mawasiliano ya duka dsm ambalo nitakuwa...
  19. M

    Baadhi ya bidhaa za machinga zifuatiliwe kwa umakini

    Wadau Habari, Niende moja kwa moja kwenye mada, juzi nikiwa kwenye mizunguko ya kutafuta shilingi jijini Dar (coz nowadays siishi Dar) nikapita mtaa mmoja wenye machinga wengi usiku kama saa moja na kidogo hivi. Nikaona jamaa anatangaza, “sabuni sabuni huku jero huku mia saba” sasa...
  20. D

    Tanzania ndiyo inchi pekee bidhaa zake hupanda bei ghafla lakini kushushwa bei huwa ni kipengele

    Wale tuliozaliwa miaka ya 70 tulikuwa tunaambiwa tukiwa wadogo kwamba " Akili ya Profesa (PhD) inauwezo wa kuona jambo na kulichakata kwa miaka 45 ijayo" Nimekua na hiyo Imani hadi miaka ya elfu 2000 ndipo nilipokuja kugundua kwamba kwa Tanzania hiyo kitu haipo! Nilianza kupata wasiwasi huo...
Back
Top Bottom