clouds

In meteorology, a cloud is an aerosol consisting of a visible mass of minute liquid droplets, frozen crystals, or other particles suspended in the atmosphere of a planetary body or similar space. Water or various other chemicals may compose the droplets and crystals. On Earth, clouds are formed as a result of saturation of the air when it is cooled to its dew point, or when it gains sufficient moisture (usually in the form of water vapor) from an adjacent source to raise the dew point to the ambient temperature.
They are seen in the Earth's homosphere, which includes the troposphere, stratosphere, and mesosphere. Nephology is the science of clouds, which is undertaken in the cloud physics branch of meteorology. There are two methods of naming clouds in their respective layers of the homosphere, Latin and common.
Genus types in the troposphere, the atmospheric layer closest to Earth's surface, have Latin names due to the universal adoption of Luke Howard's nomenclature that was formally proposed in 1802. It became the basis of a modern international system that divides clouds into five physical forms which can be further divided or classified into altitude levels to derive ten basic genera. The main representative cloud types for each of these forms are stratus, cirrus, stratocumulus, cumulus, and cumulonimbus. Low-level clouds do not have any altitude-related prefixes. However mid-level stratiform and stratocumuliform types are given the prefix alto- while high-level varients of these same two forms carry the prefix cirro-. Genus types with sufficient vertical extent to occupy more than one level are classified formally as low- or mid-level depending on the altitude at which initially forms. They are also more informally characterized as multi-level or vertical, which also do not carry any altitude related prefixes. Most of the ten genera derived by this method of classification can be subdivided into species and further subdivided into varieties. Very low stratiform clouds that extend down to the Earth's surface are given the common names fog and mist, but have no Latin names.
In the stratosphere and mesosphere, clouds have common names for their main types. They may have the appearance of stratiform veils or sheets, cirriform wisps, or stratocumuliform bands or ripples. They are seen infrequently, mostly in the polar regions of Earth. Clouds have been observed in the atmospheres of other planets and moons in the Solar System and beyond. However, due to their different temperature characteristics, they are often composed of other substances such as methane, ammonia, and sulfuric acid, as well as water.
Tropospheric clouds can have a direct effect on climate change on Earth. They may reflect incoming rays from the sun which can contribute to a cooling effect where and when these clouds occur, or trap longer wave radiation that reflects back up from the Earth's surface which can cause a warming effect. The altitude, form, and thickness of the clouds are the main factors that affect the local heating or cooling of Earth and the atmosphere. Clouds that form above the troposphere are too scarce and too thin to have any influence on climate change.
The tabular overview that follows is very broad in scope. It draws from several methods of cloud classification, both formal and informal, used in different levels of the Earth's homosphere by a number of cited authorities. Despite some differences in methodologies and terminologies, the classification schemes seen in this article can be harmonized by using an informal cross-classification of physical forms and altitude levels to derive the 10 tropospheric genera, the fog and mist that forms at surface level, and several additional major types above the troposphere. The cumulus genus includes four species that indicate vertical size and structure which can affect both forms and levels. This table should not be seen as a strict or singular classification, but as an illustration of how various major cloud types are related to each other and defined through a full range of altitude levels from Earth's surface to the "edge of space".

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Clouds FM mbona haipo hewani...

    Naomba kuuliza kuna tatizo lililosababisha kukatika matangazo ya Clouds FM au kuna mabadiliko ya Mitabendi?
  2. REJESHO HURU

    Wakurugenzi mliopo Clouds FM muda huu kuongelea mtaala mpya wa elimu aacheni danganya umma

    Kuondoa utata clouds wambieni walimu kutoka mikoa tofauti tofauti wapige sm wawambieni lini na wapi walimu walipewa mafunzo ya hii mitaala mipya, zaidi nao wanasikia na kuona kama wazazi. Pili halmashauri gani imepokea vitabu vya kujifunza na kujifunzia vya hiyo mtaala mpya. Waache siasa...
  3. S

    Makonda ni muovu. Kama siyo muovu kwanini hajaenda Mahakamani kuwashitaki Lissu, Haji Manara, Clouds Media na Serikali ya Marekani?

    Makonda hata ajifarague na kujibaraguza vipi mbele ya watanzania, yeye ni jambazi, mtekaji, mporaji na muuaji. Niliowataja hapo juu walitoa shutuma za uhalifu wa Makonda hadharani kabisa. Cloudsmedia walirusha kwa masaa 3 kwenye TV, shutuma za uvamizi wa Makonda kwenye jengo lao la matangazo...
  4. Erythrocyte

    Mnyika kutoa somo la Katiba Mpya kupitia clouds Media

    Taarifa yake hii hapa . Ikumbukwe kwamba Clouds media ndio kile chombo cha habari kilichovamiwa kwa silaha za kivita na yule jamaa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM , jina lake limenitoka kidogo , mnaweza kunikumbusha .
  5. R

    Clouds wananufaika vipi na mgogoro wa chama cha walimu? Naona wamekusanya chawa studio, TUCTA iliuawa kwa njia kama hizi

    Kuna watu wapo kwenye siasa wanataka kuwaweka ndugu zao waongoze chama cha walimu Tanzania. Kuna watu wapo kwenye mfumo wa CCM wanataka kukimiliki chama cha walimu Tanzania Kufanikisha malengo yao wamewachukua Makada wa CCM na kuwapeleka studio kutimiza malengo yao. Tuliona namna Serikali...
  6. Erythrocyte

    Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Sugu, kusikika Clouds TV 23/11/2023

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara, Mwekezaji wa Kimataifa, Bilionea Joseph Mbilinyi, asubuhi ya 23/11 /23, atakuwepo kwenye Clouds TV kwa mahojiano Maalum. Usibadili Channel kwa Mawe Matakatifu.
  7. dyuteromaikota

    Kwa sasa kipindi cha mahojiano cha kusikiliza ni Power Breakfast cha Clouds FM

    Angalau wanajitahidi kuhoji vitu vyenye maslahi na nchi. Leo wamembananisha sana yule afsa wa NIDA mpaka nimefurahi. pia wamehoji vizuri lile swala la fine ya 75b. Hawa ndo wanastahili teuzi kama kweli mamlaka za uteuzi ziko makini. Achana na takataka zingine kazi kujikomba komba tu ili...
  8. GENTAMYCINE

    Tulienda 'Kuchakura' Mchanga kama 'Kuku' katika 'Majaba' ili tupate Zawadi za 'Mchogo Pesa' ya Clouds FM leo Kinesi Ubungo tujuane tafadhali

    Bado GENTAMYCINE naendelea kuzitibu Kucha zangu kwani nimezitesa katika Kuchakura Zawadi za Mchogo Pesa katika Majaba na nimeishia Kukosa na kuambulia Mchubuko mikononi kwani Michanga ilikuwa Mibichi na Imeshindiliwa Kunakotukuka. Ila Clouds FM na hii Bahati Nasibu yenu ya Mchogo Pesa leo...
  9. GENTAMYCINE

    TCRA mmebariki huu Upuuzi wa Viongozi wa Timu za Ndondo Cup Kusifia kufanya Ushirikina Mubashara Redioni Clouds FM?

    "Hela tuliyopata tumeenda kununua Mayai Viza, Kuku Mweusi na Udi na kumpelekea Mganga wetu wa Kienyeji na kwa jinsi tunavyoenda Kuwaroga Watatukoma" Shabiki wa Timu Moja inayoshiriki Michuano iliyosifiwa na inayosapotiwa na Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ya Ndondo Cup' kwa Mikoa...
  10. F

    Miss Lolo wa Clouds TV na ujumbe wa "Your boyfriend Loves me"

    Nipo hapa natazama the spark ya Clouds Tv kinachorushwa kila siku za wiki saa 11 jioni hadi 12. Namwona Miss Lolo ambaye ni Mtangazaji wa kipindi amevaa blausi ya kijani mpauko kimeabdikwa "Your boyfriend Loves me". Maana yake Rafiki yako wa kiume ananipenda. Watangazaji wa Tv huwa...
  11. Beberu

    Anayeijua Clouds City vyema njoo hapa

    Wakuu, kila mtu apambane na hali yake , Kuna hivi. Viwanja wanatangaza clouds FM kwenye mji wameuita clouds city, SQM 1 wanauza 8,000/- Ina maana kiwanja cha sqm 800 ni 6.4M, Viwanja hivi vipo sehemu inaitwa tundwi Songani, wanakupa ofa ya kulipa kwa miezi 33, Sasa shida yangu kuja...
  12. Bujibuji Simba Nyamaume

    ''Mikataba Imeisha'' ya Clouds Tv ni program ya kidhalilishaji inayokiuka haki ya usiri mfanyakazi anapomaliza muda wake

    Clouds Media Group wamiliki wa Clouds TV, wameanza kupunguza wafanyakazi kwa namna ya kidhalikishaji na ukiukaji mkubwa wa haki ya Usiri na faragha. Tumeona watangazaji kadhaa wakianikwa mitandaoni kwamba mikataba yao imeisha na wameachwa. Tunaomba uongozi wa Clouds Media kuacha mara moja...
  13. GENTAMYCINE

    Kwa Mazungumzo ayafanyayo sasa Msemaji wa Yanga SC Clouds FM kumbe 'Skudu' kasajiliwa kwa Burudani na siyo kusaidia timu

    "Tumewaletea wana Yanga SC Mchezaji ambaye hatakama hatofunga Goli ila atahakikisha Mashabiki Wote Uwanjani wanaburudika kwa Maufundi yake ya Kuchezea Mpira" amesema Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe aliye Studioni sasa Spoti Extra ya Clouds FM. Haji Manara (Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC) hakukosea...
  14. BARD AI

    Clouds FM imeshakuwa Radio ya Kubet, vipindi vyote ni "Tuma Buku, Cheza na Buku, Buku Mchongo,"

    Ni aibu kwa level ya Radio kama Clouds kuwa na matangazo yanayohamasisha watu kubet kila dakika. Ubunifu wa kupata mapato umeisha wamebaki kutegemea Buku Buku za wasikilizaji. Clouds imekua radio ya ajabu sana kwasasa. Kama hali imekuwa ngumu wauze hisa tu ili wapate mwekezaji mwingine. Mbona...
  15. NDUKI

    CLOUDS FM | Before & After...!

    SALAAM...! Natumai muwazima kabisa. Well...! Clouds FM (CMG) ni Radio iliyoleta mapinduzi katika huu muziki wa kizazi kipya na hata miziki mingine, tangu ilivyosemwa kuwa muziki wa Bongo Flavor ni uhuni watu waliukataa. Ila niseme tu, ujio wa radio hii uliwaaminisha WENGI sana kuwa huu muziki...
  16. Huihui2

    Live Clouds TV: Ujinga wa Watanzania kwa Pastor Eubert Angel

    Kinachoendelea Clouds TV kutoka Leaders club ni aibu tupu. Pastor Mzimbabwe anayeishi London anawaburuza kama kawaida yao. Nawakunbusha kidogo utapeli wake wa zamani hapa. Kama alivyo prophet Alfa Lukaku, mzaire , nani ya Johannesburg. Alifanya muujiza wa kumfufua mtu. Aliyejifanya kafa...
  17. BARD AI

    B Dozen (B12) arejea Clouds Media Group

    Ni vibe la hela yote, ni shangwe za volume yote, ni cheers za glasi zote kwa Mashabiki, Wafuasi na Wa-Cloudsnia wote ndani na nje ya Tanzania leo baada ya Mfalme wa show za mchana Mtangazaji Hamisi Mandi maarufu kama B Dozen, B12, B Twangala kutangaza kurejea rasmi Clouds Media Group baada ya...
  18. Mr Why

    IPP Media na Clouds Media uzeni kampuni zenu kwa wawekezaji vijana, bado mpo kizee sana

    Ipp Media na Clouds Media uzeni kampuni zenu kwa wawekezaji vijana wafumue na kuunda upya vituo vyenye muonekano wa kushawishi vijana kutazama channel zenu kwasababu mpo kizee sana channel zenu zimekaa kizee ndio maana vijana wamewakimbia na kwenda Wasafi Media ninyi mmeabaki na wazee na vijana...
  19. SAYVILLE

    Clouds Media acheni uhuni, mahojiano yenu na Feisal Salum siyo professional!

    Baada ya kuangalia mahojiano ambayo Feisal Salum amefanya na Clouds Media, nimeshangazwa sana na kitendo chao cha kuachia mambo ya "off-air" yaruke hewani tena kwa muda mrefu. Kuna video ambayo imekuwa inasambaa ambayo inasikika Feisal akizungumza na Wakili wake pamoja na watangazaji wa Clouds...
  20. N

    Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

    Tukisema huyu dogo anapotezwa na washauri wake, hasikii. Kaenda clouds kuongea shits kumbe kuna watu wamempanga namna ya kuongea. Kuna kundi la watu liko nyuma yake linampoteza bila yeye kujua? Hivi huyu hana management? Elimu Elimu Elimu, mzee Lowassa apewe maua yake.
Back
Top Bottom