computer

  1. M

    Computer4Sale Computer, Laptop na Printer ndogo sokoni

    Printer ni HP Laptop ni samsung Computer ni ONDA Bidhaa zote zilikuwa zinatumika ofisini Bei laki 7 fixed for all Location Dar es salaam Communication 0625825641
  2. M

    INAUZWA Computer na printer vinauzwa, vipo Dar es Salaam

    Bidhaa zote zipo ktk hali nzuri ZIlikuwa zinatumika ofisini Bei ni laki 7 tu Kwa mhitaji tuwasiliane kwa namba 0625825641 Karibuni sana
  3. Pendekeza kitu gani nijifunze ili nipate hela

    Wakuu naombeni mnitajie maarifa ambayo kama nikiamua ku deal nayo nikayapa muda wa kutosha kujifunza katika mtandao basi nitapiga hela maana nasikia Kuna watu wanasema pesa ipo tu hewani ni wewe tu kuidownload yaani kuivuta ndo maana tunaona vijana wanakunywa tu bia na kushinda bar. Halafu...
  4. Msaada naomba kufahamu desktop computer ya kawaida sana kwa kazi za video editing

    Salam ndugu zanguni. Naomba kufahamu ni desktop computer yenye sifa zipi inauwezo wa kufanya kazi za kuzalisha na kuhariri picha za video, naomba kusaidiwa hili kwa wataalamu wa humu jukwaani wanaofanya kazi hizi na wasiofanya. Inatakiwa iwe ya gharama za chini kabisa kuliko zote,Nataka kujua...
  5. Ushauri kuhusu Biashara ya Kuuza Computer: Laptop/dektop used

    Habari wakuu. Ni wapi zinapatikana Computer used nzuri kwa bei ya jumla? Nitapata kwa Tshs. Ngapi kwa pc 1 kutokana na specifications za computer husika? Yaani bei ya kila pc na specifications zake. Kwa wanaofahamu ma Supplier wa China na Dubai watujuze pia. Kwa mzigo wa kutoka nje gharama...
  6. Basic Computer Application

    Hellow wanajamii?Habari,Ninatafuta kazi ya kufundisha soma la Basic Computer Application katika vitu vifuatavyo. 1.Introduction to Computer 2.Microsoft Word 3.Microsoft Excel 4.Microsoft Publisher 5.Microsoft Powerpoint 6.Microsoft Excel 7.Internet and email Pia nafundisha na basics of...
  7. PC yangu inagoma kuleft click

    Habari za sasa hivi wakuu. Msaada PC yangu inagoma kuleft click. Kwaiyo nikahamua kutumia external mouse nayo imeanza kumisbehave inaji double click sometimes msaada jamani nashindwa kufanya kazi
  8. A

    Nafundisha computer Applications & Maintanance,Web Design,Bitcoin/Altacoins/tokens/cryptocurrency knowledge kwa ujumla

    Habari wana JF, Naitwa SAM. Nafundisha Computer Applications ( Computer Basics,Maintanance,Excel,Word,Power point,Publisher,Internet & Emails) & Computer Maintanance(Repair, Windows Installation, assemble and disassemble), kutengeneza website kwa kutumia wordpress au wix, hata kama hujui...
  9. Ni computer (system) gani inayochukua siku nne kufanya mabadiliko? Kwanini waziri mwenye dhamana asiwajibishwe?

    Kuna watu wanaleta utetezi kua mitandao ambaayo haijabadilisha vifurishi ni kutokana na suala la programing, pia kwenye gazete wanasema inaeeza kuchukua siku zaidi ya nne, mpaka leo hii bado mitandao hiyo haijabadilisha vifurushi. 1. Je, ni kweli wataalamu wa serikali wanaamini kua system...
  10. Computer and google map experts

    Kuna mtu nimempipia simu ikapokelewa lakin hakuongea nikakata simu,baada ya kukata simu ikaingia text inayoonesha. Connected,A,EXPW:ON,[URL="http://maps.google.com/maps?q=-3.379723,36.669060&t=m Nikahisi kuna mtu ametumia google map kufanya tracking ni njia ipi atakayoitumia...
  11. I m a computer Engineer but I can't even hack a facebook account

    Nimeanza kwa umombo kwa title hapo juu. Nina degree ya uhandisi katika hii fani pendwa.... Nilikuwa mtu wa Mungu Sana wakati napiga security. Sasa katika eneo la ku compromise Akaunti za watu niliona natenda Dhambi. Nawaza sana watu wanaodukuana. Mimi sinauwezo wa kuhack hata Akaunti ya...
  12. Tupeane maaarifa je inawezekana kutumia program za computer kwenye smartphones?

    Nmechek youtube nkaona kuna kitu kinaitwa exagear kwamba unaweza run program za computer kama virtual dj au fl studio ukaweza tumia kweny smartphone ila kwang inagoma je kun mjuzi humu anisaidie.
  13. Game tano kali kama computer ina uwezo mdogo sanaaaaaaaaaaa

    Hizi game zinakubali hata kama computer yako ina RAM chini ya mb 200 1. Half life 2 2. NFS Underground 2 3. Far Cry 4. Doom 3 5. Zuma's Revenge
  14. Je, kuna software ya kufuta mafaili yaliyojirudiarudia ktk computer kwa pamoja?

    Computer imejaa lakini nimegundua vitu vipo mara mbili mbili au zaidi. Yaani faili hilohilo lipo locations tofauti tofauti. Je, naweza kuserch na kufuta at once libaki file moja tu.
  15. Msaada wa compyuta dell

    Wakuu me so mjuzi wala, mzoefu wa computer na kutumia natumiaga kucheki movie, Na game, sasa kuna jamaa anauza computer aina ya Dell, lakini nilivo icheki ndani inatumia Window 7 XP, afu aiwezi kusoma CD Za DVD, Na mlango wake Ni mfumo, wa zamani hata kubadirisha uweke unao weza kusoma, DVD...
  16. Fix: Your Computer Appears to be Correctly Configured, but the Device or Resource (DNS server) is not Responding

    This error message is the one which appears after running a network troubleshooter on any version of Windows from Windows 7 and it indicates that there is a problem regarding your DNS server which is causing further Internet connection problems. Your computer appears to be correctly...
  17. Courses za Computer kwa CBG graduate

    Naomba kufahamishwa kozi za Computer including computer science na cyber security kwa CBG student A' level
  18. G

    Fundi Computer Dar es Salaam

    Nahitaji Fundi Computer wa Kushirikiana nae kazi,, kama wewe ni fundi computer na upo dar tafadhani njoo P.M tuyajenge.
  19. Ushauri Unahitajika: NACTE March 2021 Intake. Je UCC (University Computer Center Dares salaam) inatosha?

    Wakuu naomba ushauri: KIjana anafikiria kuanza masomo ya Diploma IT jijini Dar mwezi march/april 2021 lakini vyuo vyenye March intake ni vichache. Najua UCC wana dahili intake hiyo. Swali je ajitupe UCC au afikirie kusubiri September intake ambayo ina vyuo vingi? Kwa lugha nyingine je UCC ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…