dalili

Dalili is a Persian surname. Notable people with the surname include:

Raz Dalili (born 1959), peace educator in Afghanistan
Raz Mohammed Dalili (born 1959), Governor of Paktia Province in Afghanistan

View More On Wikipedia.org
  1. FRANCIS DA DON

    Tulitangazwa bure Burj Khalifa...

    Ikifika mwezi wa 7 , kuna ‘mbuzi’ wawili au watatu watatolewa kafara, hii ni kwa decoding binafsi ya mtiririko wa matukio takriban matano hadi kumi niliyoya -observe, na inanipelekea kuamini hivyo. 1.) Haya majibu yanayotolewa na serikali kupitia Gerson Msigwa , Kassim Majaliwa na Hamza Johari...
  2. THE BIG SHOW

    Kuna kila dalili CHADEMA na Sukuma Gang wameunda umoja wa siri dhidi ya Serikali. Umoja wenu uwe na hoja za msingi zenye mashiko

    Friends and Enemies, Ngoma ambayo mwenyekiti wa kudumu wa chadema Freeman Mbowe aliianzisha wiki kadhaa zilizopita ndiyo kiini hasa Cha taharuki ya tunachokiona kinaendelea Kwa sasa. Either nichukue nafas yangu kumpongeza Waziri Mkuu Majaliwa kwa kufanya clarifications za kina kuwa hakuna...
  3. Tlaatlaah

    Mawaziri wa Ulinzi NATO kutofautiana njia za kijeshi dhidi Ya Russia, ni Dalili ya Ushindi Kwa Russia?

    Ladies and Gentlemens, Mawaziri wa Ulinzi Jumuiya ya kujihami NATO Jana wameshindwa kuafikiana na kua na msimamo wa pamoja juu ya hatua muafaka za kijeshi zinazokusidiwa kuchukuliwa dhidi Rassia yenye nguvu Zaidi. Je, kuna wanachama ndani ya Jumuiya ya NATO ni waoga au ni Marafiki wa Russia...
  4. The Burning Spear

    Kuna Kila Dalili Sukari Kuchakachuliwa

    Mi kama mtumiaji mzuri wa sukari wa siku nyingi kuna Kila dalili Sukari ya Siku hizi imepunguziwa ladha. Matokeo Yake ili ikolee unahitaji kutumia sukari nyingi kitu kinachopelekea gharama za matumizi ya Sukari kuongezeka. Sukari inayopatikana Kwa wingi ni kilombero, huu unaweza ni mkakati...
  5. D

    Hizi hapa dalili chache kwamba DP world na mengine si madili mazuri

    Hizi hapa Dalili za kwamba DP world na mengine ni madili haramu 1. Hakuna ufafanuzi wowote unaojibu hoja kwanini Magufuli aliikataa DP world baada ya kifo chake sasa inapokelewa 2. Enzi za Magufuli aliwahi kusema, wazee wastaafu waache viherehere vya kuishauri ikulu je waliacha? 3. DP world...
  6. Hyrax

    Dalili 7 zinazokujulisha kuwa Mwanamke ana hamu na tendo la ngono

    1. Anapenda kujishika nywele, kidevu, mikono, shingo na mashavu kila wakati 2. Anapenda kulamba au kung'ata lips mara kwa mara 3. Anapenda kupost picha au video zenye msisimko wa kingono mara kwa mara 4. Anapenda kupiga stori na kucheka cheka na akikaa sehemu anapenda kubana miguu 5. Ngozi yake...
  7. Ibun Sirin

    Duniani kuna mambo mengi hatuyaoni ila dalili hizi ni ushahidi kuwa yapo

    Huwezi kuona kwa macho vidudu vingi tu kama vya malaria, typhoid, amoeba, nk mpaka vipimo! lakini dalili za malaria na typhoid zipo na unaweza kuzigundua tu na kisha ukajiridhisha kwa vipimo na kuanza tiba. Mikosi na nuksi dalili zake ni: -Kuchukiwa na watu wengi bila sababu -Kupanga kazi na...
  8. BARD AI

    Dalili nne zinazoonesha mtoto wako anaweza kuwa katika shida

    Dalili 4 zinazoonesha Mtoto anakabiliwa na Matatizo Kuchukia Shule au kufanya vibaya Darasani Kujitenga na Familia/Wenzake Kuwa na Tabia zisizo Njema ghafla Kupenda Ugomvi na kuonea wenzake Malezi ya Mtoto yanahitaji umakini mkubwa na ukaribu ili kuweza kubaini mabadiliko yoyote yasiyo ya...
  9. B

    Mlipuko huu utaondoka na wengi. Nilibanwa na Kifua kwa siku 2. Dalili na Tiba

    Asalam ndugu wanajamii. Hapa ni kijijini, tuongee kama wanakijiji kahawani tusije Angamia. Wakati wa hizi taarifa mbali mbali za kubanwa vifua kwa maradhi ambayo taarifa rasmi ya serikali imeyaweka katika tahadhari ya chini na yasiyo hatari kwa afya ya jamii, huku uraiani hali si njema...
  10. J

    MJADALA: Jamii ina Uelewa Juu ya Ugonjwa wa Lupus?

    Je, unaufahamu Ugonjwa wa Lupus, Dalili na jinsi ya kushughulikia nao? Je, unafahamu 90% ya Wagonjwa wa Lupus Duniani ni Wanawake? Kumekuwa na Uzushi kuwa watu wenye Ugonjwa wa Lupus hawawezi kuishi muda mrefu. Mtu mwenye Ugonjwa wa Lupus anaweza kuishi umri mrefu kama watu wengine iwapo...
  11. ChizzoDrama

    Dalili za Diamond Platnumz kushuka kimuziki hizi hapa

    🚨🧵 Siyo kwa Ubaya wala Dharau kwa mashabiki wa Eneo fulani, point ya msingi hapa ni kuwa ,kuna Ukubwa fulani msanii akifikia (VENUE/ mahala anapo fanyia show) kuwa na standards fulani) Kama Ambavyo Msanii huwa Anachagua Aina ya wasanii wa kufanya nao COLLABO why not 👇 VENUE (mazingira...
  12. peno hasegawa

    Tetesi: Tanzania kuna kila dalili Kuna wimbi la COVID-19

    Nimepita pita baadhi ya mikoa ikiwemo Dar, Dodoma, Manyara kwenye Hospital nyingi mitingi ya oxygen ni mingi sana. Jamani kuna corona chukueni Tahadhali ya haraka sana.
  13. NetMaster

    Hadi sasa sijutii kuwepo tigo postpaid, sioni dalili yoyote ya kuhama labda tu voda supakasi waje na vifurushi vya ziada kwa bei nafuu

    Ni tangu nwezi wa saba nafaidi mema ya internet ya Tigo postpaid. sina haja ya kujibana ama mambo ya kuzima data, natwanga tu. Offcourse kulikuwa na kash kash za speed kushuka usiku ila nilikuja kutatua tatizo kwa kutafuta wifi router naitega sehem yenye network internet speed saf tu. GB 80...
  14. Bridger

    KWELI Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo

    Mdau wa JamiiForums analalamika kuwa alitumia dawa za kutibu Ugonjwa wa Malaria zinazoitwa EKELFIN ambazo baadaye zilimsababishia kupatwa na mchubuko sehemu za siri na midomoni. Anashangaa kwanini Serikali haitoi taarifa kwa watumiaji juu ya madhara ya dawa hizi kwa binadamu. Ni kweli kuwa...
  15. Program Manager

    Hii ni dalili gani kwenye kifaa hiki cha fridge?

    Wataalam, huu weusi kwenye kifaa hiki cha fridge ni dalili gani na inasababishwa na nini? Je, kuna madhara? Mwanzo nilipolinunua huu weusi haukuwepo kabisa.
  16. GENTAMYCINE

    Ni dalili gani za haraka za Kumjua anayeendesha Gari ni Dereva tu (si lake) na Mmiliki halisi wa Gari?

    Kuna Mtu nimepishana nae akiwa katika Harrier matata sana huku akiwa na Mikogo yote (kama ya Watani zangu Wakubwa Wahaya) cha Kushangaza baada ya Nusu Saa nimekutana nae Ubungo anapakia Magunia ya Pumba za Kuku huku akiwa Kavua Shati kutokana na Joto Kali la Dar es Salaam sasa (ambalo TMA...
  17. BARD AI

    Mzazi unapaswa kutambua dalili kama Mtoto wako ana Tatizo la Afya ya Akili

    Mtoto mwenye tatizo la #AfyaYaAkili anaweza kuwa na changamoto mbalimbali zinazomfanya awe na Tabia zisizo za kawaida au hali ya kutokuelewana na wengine katika jamii yake. Baadhi ya matatizo ya Afya ya Akili yanayoweza kuathiri Watoto ni pamoja na kuvurugika Kihisia kama vile kuongezeka kwa...
  18. mocoservices

    Ukiona Dalili hizi Kwenye Simu Yako, Jua Kuwa Uko "hacked"

    Habari mwanajamvi, najua umekuwa na siku ndefu sana ya kikazi maofisini au biasharani, ama mwingine unasoma uzi huu ukiwa kazini, piga kazi, kazi ni kipimo cha utu. Kabla sijaendelea mbali naomba nisema kwamba mimi ni fundi simu, kazi hii imefanya nijifunze mambo mengi kupitia changamoto za...
  19. Sildenafil Citrate

    Tatizo la Vidonda ya tumbo

    Vidonda vya tumbo ni michubuko inayotokea kwenye kuta za mfumo wa chakula, hasa kwenye sehemu ya tumbo au pia sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo. Ukubwa wa vidonda hivi hutofautiana, kuanzia millimita chache hadi sentimita kadhaa. Dalili za ugonjwa huu mara nyingi hutegemea umri pamoja na eneo...
  20. Mganguzi

    Rais Samia ni binadamu mwenye dalili zote za kutufikisha nchi ya ahadi. Mkimpuuza huyu itapita miaka 100 hajapatikana mwingine!

    Katika vitabu vitakatifu Abraham au Ibrahim alipewa ahadi na mungu ya kumbariki uzao mkubwa kama mchanga wa baharini kwa sharti Moja tu .akubali kuondoka katika nchi ya baba zake ukaldayo aende kuishi kwenye nchi mpya kabisa ya kanaani. Pamoja na ahadi nyingine kedekede kama atakuwa tajiri wa...
Back
Top Bottom