dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. The Sheriff

    Satelites za Starlink zikionekana angani kutokea Dar es Salaam, Oktoba 24, 2024

    Jana usiku, majira ya saa mbili hivi, nilikuwa mahali nikibadilishana mawazo na washkaji, lakini bila kutarajia, nilijikuta macho yangu yakielekea angani ambapo yaliona kitu kilichotafsiriwa kichwani mwangu kuwa cha ajabu. Kwanza, nilidhani ni msururu wa ndege zinazopita kwenye anga la...
  2. Yohimbe bark

    Narudi Dar es salaam

    Nimetoka Dar nikaenda hii mikoa kujitafuta mbeya, Mwanza, bukoba, Dodoma hakuna cha zaidi nilichopata ni kuchoma mtaji tuu, Kuna watu wanasema humu eti maisha yakiwa tight Dar nenda mikoani fursa kibao, hizo ni story tuu mikoani pagumu mzunguko wa pesa mgumu kabisa. Tukutane kitambaa cheupe...
  3. suck Kweyamba anatory

    Nahitaji kazi ya Udereva, nipo Dar es Salaam

    NAPATIKANA DAR es salaam , gongo la mboto. Kazi ya uendeshaji magari pia pikipiki nipo tayari. Asante
  4. ChoiceVariable

    Waziri Mchengerwa: Tirioni moja kutumika kuboresha Miundombunu Dar

    Serikali imesaini kuanza Ujenzi wa Barabara za Mitaa ya Jiji la Dar Zenye urefu wa km 250 Kwa zaidi ya Shilingi Trilioni 1.2. Pamoja na kwamba Jiji la Dar ndio kitovu Cha Uchumi wa Nchi ila upendeleo umezidi. Kwa jini la Dar peke yake Kuna miradi yenye zaidi ya km 600 kama Ifuatavyo. Pia soma...
  5. Hyrax

    Dawasa na mtambo wa Ruvu Juu ni mzimu unaowatesa wananchi wa Dar es salaam

    Hii dawa yenu inayochemka saivi yaani ipo siku kuna watu watainywa ikiwa ya moto kabisa.
  6. mdukuzi

    Wakoloni walitaka jiji la Dar es Salaam lijengeke kuelekea Pugu,ghafla likaelekea Bagamoyo na Morogoro

    Master plan ya wakoloni ilitaka mji au jiji la Dar es Salaam lijengeke kuelekea Pugu.majengo yaliyopo mtaa wa Nkrumah ,viwanda Pugu Road,na uwekezaji mwingine kwa njia hiyo ni ushahidi tosha. Baada ya Uhuru mji ukaelekea Bagamoyo Road na Morogoro Road. Kumbuka Pugu Road ina uwezo wa kufika...
  7. Boda boda msomi

    KERO Polisi wana matumizi makubwa na mabaya ya nguvu katika ukamataji wa bodaboda Dar es Salaam

    Mimi ni bodaboda ambaye kwa namna moja ama nyingine nimekutana na mikasa ya aina mbalimbali barabarani kama ajali, kuibiwa pamoja na kadhia ya kukamatwa na Askari wa Usalama barabarani kwa makosa mbalimbali ya barabarani. Ni kweli ninakiri mara kadhaa nimekuwa nikivunja sheria za barabarani...
  8. A

    Natafuta kazi, nimemaliza sheria Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

    Hello naitwa agnes nimemaliza sheria chuo kikuu cha dar es salaam natafuta kazi 0695703354
  9. N

    Coca-cola na KFC watambulisha 'food pass'

    Kampuni ya Coca-Cola Tanzania imezindua kampeni maalum inayowalenga wateja wa migahawa ya KFC jijini Dar es Salaam, ambapo wanapata fursa ya kujipatia zawadi mbalimbali lakini pia kushiriki Tamasha la Chakula la Coca-Cola linalotarajiwa kufanyika Novemba. Kampeni hii, iitwayo ‘Food Pass’...
  10. Pfizer

    Mradi wa Tsh 678.6 bilioni wa TPA kuleta mapinduzi ya upakuaji mafuta katika bandari ya Dar es salaam

    Dar es Salaam. Tanzania, kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), inatekeleza mradi wa Sh678.6 bilioni ambao utaboresha utaratibu wa upakuaji mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam. Ujenzi wa Tanks Farm (Matanki ya Mafuta), ambao umefikia asilimia saba, unatarajiwa kuboresha...
  11. uran

    Uhaba wa Mafuta ya Petrol na Diesel Dar es Salaam Mchana huu Oktoba 16

    Wakuu mjini hakuna mafuta kabisa. Inakuwaje? Uhaba wa gafla bin vuu.
  12. Q

    Makao Makuu ya CHADEMA, Mikocheni Dar es salaam

    Hongera Chadema kwa kufikia hatua hiyo wengine walijengewa na serikali.
  13. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Habari wakuu, Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu. Nipo hapa hapa Dar es Salaam...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    Siku ya kwanza napanda lori nilikuwa natoka Mwanjelwa Mbeya naelekea Dar es Salaam. Niliomba njia nzima, nikashuka Morogoro, chakufia nini?

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Dadeki! Haya Maisha bhana kûna mambo ukiyakumbuka unabaki kucheka tuu. Bhana! Bhana! Kûna Dili nilikuwa nafukuzia Mbeya. Sasa Dili lenyewe likabuma, Pesa ya Guest Ikawa imeisha, Pesa ya nauli haitoshi kwani nilikuwa nimebakiwa na elfu ishirini na Saba na nauli...
  15. TUKANA UONE

    Hili Jiji la Dar es salaam limekubadilisha tabia au ni tabia yako iliyokuwa imefichika wakati huna pesa?

    Wairaq na wambulu wote ni ndugu! Dada yako anaumwa huko mkoani wanakuomba mchango hutumi unabaki tu nitawatumia,lakini kila weekend uko Kitambaa cheupe na Malaya huku mezani ukiwaongezea pombe watu usiowajua Ili uonekane una Hela! Mama yako aliyekulea na kukusomesha baada ya baba yako...
  16. R

    Plots, Apartments for Sale

    Apartments for Sale Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa. Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool. Inauzwa $220,000 ( Dola laki mbili na ishirini) Ina mteja analipa kodi $1500 per month, Kama mtu anataka kuhamia mteja atapewa notice...
  17. R

    Naomba msaada wenu juu ya safari ya train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaam

    Habari wakuu naomba msaada wenu kuhusu safari za train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaa. Ni lini inatoka mbeya kwenda DSM. Zote zikiwemo express na ordinary. Mbeya linaondoka siku gani? Msaada please.
  18. ndege JOHN

    Mikoa mizuri ya kwenda kutoa stress Tanzania ukitokea Dar Es Salaam

    1. Singida 2. Iringa 3. Tanga 4. Arusha
  19. Rufiji dam

    Wakazi wa Dar es Salaam, ni wakati muafaka kuitokomeza CCM katika uchaguzi wa serikali ya mitaa kutokana na kero ya maji.

    Kutokana na hujuma inayofanywa na DAWASA katika suala zima la kupatikana kwa maji, ni vyema kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ni vyema kuikataa CCM kusimamia utawala wa mitaa yetu.
  20. steve_shemej

    Changamoto bandari ya Dar es Salaam

    Jamani ndugu zangu kunakitu hakipo sawa ndani ya bandari ya dar es salaam Kuna uchekeweshwaji mkubwa wa kutoa mizigo kwenye bandari ya dar es salaam iko hivii meli zinashusha mizigo lakini mizigo bandarini haitoki sijui tatizo nini Mfano mimi nina mizigo ya wateja tv zimeshuka tangu mwezi wa...
Back
Top Bottom