dini

  1. JORDAN GADI TWARINDWA

    Sifa na kazi za Mchungaji wa kanisa, huduma au taasisi ya dini

    Zab 23:1-7, Mithali 3:1-4, Zab 1:1-3, 1Kor 2;6-15, Kut 3:1-9 ========================= Mchungaji aliyeokoka anayeongoza kundi au waumini, ni lazima awe na sifa zifuatazo: i. Awe mfano kwa tabia na mwenendo. ii. Asitamani mali za anasa zitakazo mtoa nje ya kusudi alilopewa. iii. Aepuke fedha...
  2. 5 Nyingi

    Viongozi wa Yanga na Salamu za Dini moja

    Yanga ni timu ya Wananchi wa dini zote, hii si mara yakwanza kwa kiongozi wa Yanga kutumia salamu inayotumiwa zaidi na watu wa imani moja na kuacha ku balance. https://youtu.be/Lr62C4kTXW8?si=oL3v9IoGM2dFGwDl Hii ni kero iliyowahi kuripotiwa hapa jf ila mods wakafuta uzi as if wanatupangia...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kwa sasa shetani ndiyo Kiongozi Mkuu wa DINI zote

    Salaam. Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema. Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi...
  4. J

    Naomba Ufafanuzi kwanini Mwana wa Mfalme wa Saudia ameshika Kasi sana ktk kufanyia mafundisho mengi ya dini ya kiislam?

    Miaka ya hivi Karibuni aliripotiwa na Al Arabiya kuwa asilimia zaidi ya 90 ya Hadith za Mtume hazifai kuwa vyanzo dini ya kiislam; sasa hivi amesema hadithi zote kwa sababu ziliandikwa miaka takribani 280 baada ya Mtume Mohammad kufa, hazifai kuwa chanzo Cha Imani ya kiislam Kwa sasa amepiga...
  5. Arnold Kalikawe

    Mwanaume hutakiwi kufuata Dini ya mwanamke, Mwanamke ndio afuate yako

    Anguko kubwa la mwanaume ni kuamua kubadilisha dini na kumfuata mwanamke. Mwanaume hutakiwi kubadilisha dini na kumfuata mwanamke bali yeye anatakiwa kubadilisha dini na kukufuata wewe. Mwanamke anapoolewa na mwanaume, automatic huondoka katika jamii yake na kwenda katika jamii ya mwanaume...
  6. S

    Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

    Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo. Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa. Hata hivyo, cha kushangaza...
  7. Pdidy

    Hizi dini zimegeuka biashara ..Nilisikia redion andika nakataa...Tuma msg nkatuma kilichofwata yajayo yanafurahisha sanaa

    ACHA KABISA Hakuna bussiness isio na usumbufu kama hiii aiseeee ni usiku wa jana niliamua kukesha na maombi redion nikasikia mahubiri kadhaa baada ya hapo mtumishi akasema andika msg nakata........nkaandika nkatuma asbh nkakutana na msg Bw .......njoo...panda basi fika,,......uliza...
  8. Mhaya

    Kusema muislamu ndugu yake ni muislamu huo ni unafiki

    Nimeona kauli hiyo ya "Muislamu ndugu yake ni muislamu mwenzake" inatolewa huko Instagram kutoka kwa Bi Dada mmoja juu ya polisi kupiga marufuku ya maandamano Tanzania. Kiukweli uwezi kusema Kwamba Muislamu ndugu yake ni muislamu mwenzake. Mimi naona hii sentesi ilitungwa kutetea watu wajamii...
  9. B

    Hoja ya huyu jamaa kuhusu dini za weupe kwa waafrika inafikirisha sana

    Anasema " IF HEAVEN WAS REAL, WE COULDN'T HAVE TOLD AFRICANS ABOUT IT. WE WOULD BE GOING THERE SECRETLY" How does it make sense? Ngozi nyeupe ni wabinafsi na hawatupendi wa Afrika. Wasingeweza kutufahamisha kuhusu kitu kizuri kama Mbingu kama kweli kingekuwa cha ukweli.. Mifano hai...
  10. Beberu

    Changamoto ya Palestina, Ugaidi duniani, sio issue ya Dini ya kiislam, bali uroho wa madaraka

    Wakuu katika nchi, Kuna hii issue ya HAMAS, na ugaidi duniani kote kupitia kwa vikundi mbalimbali, Kwa juu inaonekana hii issue chanzo chake ni dini ya uislam na waislam wanapenda hizo mambo, Lakini deep down ukifuatilia utakuja jua kuwa chanzo cha vikundi vyote vya ugaidi ni uroho wa madaraka...
  11. DeMostAdmired

    Maisha na uhai hujitengeneza vyenyewe kulingana na mazingira (supernatural power ipo lakini dini ni ulaghai)

    Supernatural power ni nguvu ya asili ambayo ni matokeo ya ukamilifu wa mifumo na vitu vinavyounda mazingira. (Mazingira hai na mazingira mfu). Nakubaliana na uwepo wa Supernatural power lakini kwenye dini bado sijashawishika. Kila kiumbe hai hujitengeneza chenyewe automatically huku mchakato...
  12. MK254

    Magaidi wa Boko Haram wachinja wakulima wa mchele

    Suspected Boko Haram terrorists, on Sunday, attacked Zabarmari farmers while working on their rice fields in Mafa local government area of Borno State, killing over 15. Awali Casa, a rice farmer, who confirmed the attack on Monday to LEADERSHIP in Maiduguri, said there was palpable fear among...
  13. R

    Je, kuna dini inakataza kubeti? Kama ipo waumini wake watakubali kutibiwa kwa kodi za betting? Kwanini wasitumie kwa mapato ya madini?

    Tumeanzisha mfuko wa kuchangia bima ya afya chanzo cha mapato yake ni kubeti. Ni kweli kwamba wanaobeti wengi wana matatizo ya akili na hivyo kuwawekea kiasi cha fedha zao kwenye matibabu ya afya zao ni jambo jema. Ni kweli kwamba wanaobeti wengi ni jobless hivyo kupata fedha za kujitibu ni...
  14. Mhafidhina07

    Fikiria Dunia ingekuaje kama Dini na Sheria visingekuwepo

    Zipo nadharia tofauti zinazoelezea asili ya jamii (muingiliano) mpaka kufikia dola za hivi sasa na miongoni mwao ni creation theory from holy book na state of nature theory (social contract theory), ambapo kuna wanazuoni kama Thomas Hobbies, Jean Jack.., John Locke na wengineo. Ambapo kundi la...
  15. matunduizi

    Jambo la kwanza unalopaswa kujua unapomkubali Mungu: Mungu ni tajiri na shetani ni masikini

    Mungu alipumba binadamu wa kwanza alikuwa tajiri sana. Walipewa dunia nzima kama shamba. Na alimuwekea hazina ya dhahabu safi bustanini eden ya thamani ya matrillion mara trillion. Adam na eva walikuwa matrillionea. Umasikini uliingia kwa sababu ya dhambi. Hapakuwa na binadamu masikini kabla...
  16. Satirical Yet Awesome

    Hivi ushawahi kuchunguza jinsi hizi dini mbili zinavyofanana?

    Hapa nazungumzia Ukatoliki na Uislamu. 1st similarity -Wakatoliki hutumia rozari kwenye sala zao. -Waislamu nao wana kitu kinaitwa misbahah au prayer beads, na wao wanatumia kweny sala zao. 2nd Similarity -Wakatoliki wana quaresma, kipindi cha kufunga na kufanya toba. -Waislamu nao...
  17. T

    Kwanini Wazungu walileta dini Afrika?

    Historia ya standard five inaanza kwa kasi sana hapo tunaambiwa wakati wazungu wanataka ku colonize Africa walituma maagent watatu wakiwemo. EXPLORERS, MISSIONARIES NA TRADERS. Lengo la explorers kuja kupeleleza jinsi Africa ilivyo ili wakirudi wawape taarifa juu ya mambo waliyoona yanafaa...
  18. Mto Songwe

    Mpira umekuwa dini ya Watanzania umetufanya kuwa wapumbavu zaidi

    Mpira umekuwa ndio dini yetu rasmi Watanzania. Umetufanya na unazidi kutufanya kuwa wapumbavu kupindukia. Sisi ni kizazi kilichopotea kina tangatanga kama kuku aliye katwa kichwa. Uwepo wetu katika nchi yetu hauna maana dini hii iitwayo mpira inazidi kutuangamiza Watanzania kwa kutufanya...
  19. Mto Songwe

    Dini ni moja ya kitu cha "KIPUUZI" kupata kuletwa

    Kati ya mambo ya kipuuzi kupata kubuniwa au kuletwa na watu duniani. Dini ina ingia katika kundi hilo la vitu/mambo ya kipuuzi kuwepo duniani. Maafa yaliyoletwa na huu upuuzi uitwao dini hayana idadi, ujinga ulioletwa na huu upuuzi uitwao dini haulezeki. Dini ni kitu kinacho fanya mwenye...
  20. Mto Songwe

    Je, kuna wanawake wasio na dini?

    swali lenyewe hili hapa. Je, kuna wanawake wasio na dini? Kuna vitu nahitaji kujua vilivyopo baina ya mwanamke na mambo ya dini dini.
Back
Top Bottom