Donald Trump, katika kampeni zake za uchaguzi wa 2024, ameonyesha msimamo mkali zaidi kuhusu masuala ya LGBT kuliko alivyofanya katika kampeni zake za awali. Ingawa wakati wa kampeni zake za mwaka 2016 na urais wake wa awali alijaribu kuepuka kuonyesha upinzani wa wazi kwa haki za LGBT, hivi...
Miaka mingi nyuma kabla ya kugombea mara tatu mfululizo kuwania urais wa Marekani, Donald Trump (78) alikuwa bilionea mwenye mbwembwe nchini Marekani.
Maisha ya tajiri huyo wa majengo huko New York yalikuwa kwenye magazeti ya udaku na runinga katika miongo kadhaa kabla ya mbio zake...
Wadau hamjamboni nyote?
Rais Biden asema ameshatoa kibali trump apewe ulinzi sawa na Rais aliyeko madarakani
Soma Pia:
Marekani yasema Iran ndo ilitaka kumuua Trump
Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
October 11...
Maajabu (kama walivyokuwa wajinga) hayatakaa yaishe.
Ya kwamba mara ya mwisho Ilikuwa angalau mwaka huu.
Ya kuwa madai haya si kutokea Kwa vyanzo reja reja:
La kutia moyo ni kuwa vita vyote duniani vitasimama siku tu akishachaguliwa, tena akiwa hata hajaapishwa.
==============
Former...
Elon Musk ni tajiri namba one duniani na utajiri wake ndio kwanza unaanza kustawi. Sasa juzi ameonekana akimsapoti Trump kwenye kampeni zake huku akiruka na kushangilia hadi nguo zikamvuka na kuwa kivutio kikubwa kwenye kampeni hizo.
Najiuliza hivi Mo Dewji angefanya hivyo kwa CHADEMA wakati wa...
Shirika la habari la Marekani, CNN, limeripoti kuwa wakati waandishi wake wakiwa wanajaribu kupata mahojiano na mke wa rais wa zamani wa Marekani, Melania Trump, team ya Melania Trump ambao wanahusika na uchapishaji wa kitabu chake kipya ilijibu ilitaka kiasi cha dola 250,000, zaidi ya shilingi...
Mbio za kampeni za uchaguzi nchini Marekani zimeendelea kuwa sukari na hii ni baada ya maafisa takriban 700 wa usalama wa kitaifa na wanajeshi nchini humo kumuidhinisha na kumuunga mkono Kamala Harris kwenye mbio zake za Urais dhidi ya Donald Trump.
Kupitia barua yao ya pamoja, maafisa hao wa...
dhidi
donaldtrump
kamala
kamala harris
maafisa
maafisa usalama
marekani
mkono
mkuu
trumptrump vs kamala
uchaguzi
uchaguzi marekani 2024
uchaguzi mkuu
usalama
Mgombea Urais wa Marekani Rais mstaafu Donald Trump amekuwa consistent na hoja yake (pia hajaikanusha)aliyoitoa wakati wa mdahalo kwamba katika mji wa Springfield Ohio wananchi wanakula paka na mbwa.
Baadhi ya vyombo vya habari nchini marekani ambavyo mara nyingi Trump huviita kwa jina la fake...
Kwa sisi tunaofutilia siasa za dunia kwa maslahi mapana ya nchi yetu, macho yetu yanaangalia kwa umakini kampeni za urais zinazoendelea Marekani.
Siasa ina mambo mengi. Kuna michezo michafu pia hutendeka.
Vyama viwili vya Democrats na Republicans wanachuana vikali kwenye mbio za kusaka urais...
Ryan Wesley Routh: Picha na Reuters.
Shirika la upelelezi la FBI laendelea na uchunguzi wa jaribio la kumuua mgombea wa kiti cha uraisi wa Marekani bwana Donald Trump katika viwanja vya mchezo wa golf vya Trump internation Golf Course.
Mtu aliejaribu kumuua bwana Trump ametambuliwa kwa jina la...
Mtu mmoja aliyekuwa na silaha amesababisha maafisa wa usalama wa Donald Trump kupiga risasi
Hata hivo walinzi maalumu wa Trump walijibizana Kwa Risasi, haijafahamika mpaka Sasa ikiwa Wamemuua Mdunguaji huyo!!.
Soma Pia:
Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa...
Mgombea urais wa chama Republican huko USA, Donald Trump ametangaza rasmi kususia midahalo yoyote ya urais inayomkutanisha na Kamala Harris.
Uamuzi huu umekuja siku moja tu baada ya Trump kuhenyeshwa vibaya na mpinzani wake wa chama cha Democrat, mwanamama Kamala Harris kwenye mdahalo wa kwanza...
Mdahalo wa kwanza baina ya Donald Trump na Kamala Harris katika kinyang'anyiro cha urais wa USA umefanyika usiku wa kuamkia leo huko marekani, baadhi yetu tulifanikiwa kuufatilia kwa kina katika kujifunza nk.
Mbali na sera za wagombea kuna vitu vingi mnoo huangaliwa katika midahalo hiyo ili...
Kwenye mdahalo wa wagombea uchaguzi huko Marekani uliofanyika hapo jana,mgombea uraisi kupitia chama cha Democratic, Kamala Harris ameahidi kuendelea kuipa nguvu Israel kuendelea kujilinda dhidi ya maadui na jirani zake.
Katika mdahalo huo bi Kamalla pamoja na ahadi hiyo amejidai anataka vita...
Harris campaign wants a second debate
Harris’s campaign has almost immediately called for a second debate against Trump.
“Under the bright lights, the American people got to see the choice they will face this fall at the ballot box: between moving forward with Kamala Harris, or going backwards...
Mdahalo (debate) utaanza saa 10:00 alfajiri ( Saa za Afrika Mashariki) siku ya Jumatano na itaenda hadi around saa 12asubuhi..
Kwa watakaotaka kufuatilia, TVs zote za dunia CNN, BBC, FOX NEWS, ALJAZEERA, CBS, ABC, SABC, SKYNEWS nk nk zitarusha live mdahalo huo...
Iran ilikuwa dhaifu na imefilisika awamu ya Trump, Iran imekuwa tajiri na yenye jeuri ya pesa za kufadhili vikundi vya kigaidi awamu ya Biden.
Trump aliiwawekea vikwazo vikali mno Iran ili wasiuze mafuta, Mkakati huu uliwafanya Iran wawe wamenyongonyea kiuchumi, Hawakuwa na nguvu wa la jeuri...
Wakuu habarini za muda huu,
Kwenye raundi zangu mbili tatu huko mtandaoni, nilikutana na article kutoka CBS News ambayo inaelezea wakina nani walikuwa na marais wabovu zaidi kuwahi kutokea Marekani, tangu nchi hiyo kupata uhuru mwaka 1776.
Kulingana na CBS News, Rais mbovu na dhaifu kuwahi...
Habari zenu wanabodi,
Kwa namna siasa za marekani zinaendelea ni dhahiri shahiri kuwa Trump ana mengi sana ya kupoteza iwapo atashindwa kuingia pale White House mwaka kesho.
Siku ya Ijumaa, Jaji kutoka jimbo la New York alitangaza kuahirisha kutoa hukumu kwa Donald Trump.
Jaji Merchant...
Safari ya Donald Trump kuelekea White House bado ngumu
Bado Republican Walikosea kumsimamisha Trump. Alikutana tu na weak opponent Joe Biden.
Sasa anapambana na mtu mwenye misuli ya Kisiasa na Mwanasheria. Ni ngumu Sana Kutoboa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.