duka

  1. J

    Dkt. Kigwangalla afungua duka la maziwa Kunduchi Mtongani, asema sasa anajikita kwenye ufugaji

    Dkt. Kigwangalla ambaye ni waziri mstaafu wa Serikali ya awamu ya 5 amesema kwa sasa amejikita kwenye ufugaji kwa kuwa ujasiriamali unalipa kuliko kitu kingine chochote. Kigwangalla amesema kwa sasa anamiliki shamba kubwa la mifugo huko Mvomero mkoani Morogoro ambako anazalisha ng'ombe wa...
  2. Mwamuzi wa Tanzania

    Natamani wanaume wote tungeweka mgomo kwenye suala la kuhonga. Imefika wakati wadada wa mjini wamegeuza miili kuwa duka

    Siku moja wakati natoka lindo nikafika bar moja asubuhi nikapaki Suzuki yangu ili nipate supu. Mara mdada mmoja akaja kunisalimia na kujichekesha. Akaniuliza unanikumbuka nikasema yes. Nikamkaribisha supu akasema ameshiba. Wakati nainuka nikampa cha ten, akasema sasa tutawasiliana vipi...
  3. Chembu

    Sheria zipi za kufuata endapo ninahitaji kufungua duka la dawa za mifugo na vyakula vya mifugo?

    Habari za muda huu mwanajukwaa. Ninampango wa kufungua duka la dawa za mifugo pamoja na vyakula vyao. Sasa napata changamoto kuzijua sheria zinazonipasa kufuata. Ikiwa ni lesen na vyeti je ninapaswa kuwa na lesen ya aina gani? Na cheti cha aina gani? Na je ni lazima niwe nimesomea masuala ya...
  4. S

    Natafuta msichana wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta

    Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta ambapo vile vile dukani hapo inatolewa huduma za kiufundi. Vigezo Awe mkazi wa Arusha Mjini. Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta. Awe anajua vizuri spea za laptop na desktop na jinsi ya kubadilisha. Awe anajua kutoa kauli nzuri...
  5. Dr. Zaganza

    Naulizia Duka Wanalouza Materials ya kutengeneza cream au lotion

    Habari Wakuu, Niko Dar, naulizia Duka Wanalouza Materials ya kutengeneza cream au lotion. Piga 0713039875 kama walijua.
  6. O

    Vigezo vinavyohitajika ili kuanzisha Duka la Dawa

    Ndugu zangu, Nafikiria kufungua duka la Dawa.Naomba anayejua Vigezo na Vibali vinavyohitajika anifahamishe. Vilevile naomba kufahamishwa na Dawa za Msingi na zinazouzika haraka. Duka la Dawa ninalohitaji ni la Mtaji wa Milioni Kumi.
  7. CONTROLA

    Duka la nguo za watoto au Fundi mzuri wa Nguo za watoto wa kiume (official wear)

    Naomba kwa wale wafanyabiashara wa nguo au watembeaji kama mimi mnaoweza nisaidia kujua ni wapi naweza pata duka la nguo za watoto wa kiume hasa hasa SUTI au pigo zozote za ki ofisi na ki utu uzima uzima naomba mnisaidie location. Au kama yupo anaemjua fundi mshonaji anaeshona suti kali kali za...
  8. C

    Duka la urembo wakina dada

    Nimepata wazo la kufungua duka litakalouza vifaa vya urembo kwa wakina Dada (cosmetics) maeneo ya Mbezi ya kimara au Kibaha. Nimewaza kuweka perfume mbali mbali! Mafuta ya kupaka, lotion, sabuni za manukato, rangi za kucha. Je nahitaji kuwa na mtaji wa kiasi gani!? Kariakoo nitapata bidhaa kwa...
  9. D

    SOLD: Duka limeshauzwa, Asanteni kwa ushirikiano wenu

    Habari ndugu zangu, nauza duka langu lililopo Tandika double kibin sokoni, duka ni la vyakula na vitu mbali mbali mfano sukari, ngano, mafuta, sabuni na nk lenye mtaji wa sh 20,000,000. Biashara Ni nzuri Sana na ofisi ni nzuri ila mimi nahama makazi; nahamisha familia namfuata mume wangu...
  10. D

    INAUZWA Nauza Duka la jumla la Vyakula

    Babari ndugu zangu,nauza duka langu lililopo tandika dable kibin sokoni,duka Ni la vyakula na vitu mbali mbali mfano sukar,ngano,mafuta,sabuni na nk lenye mtaji wa sh 20,000,000. Biashara Ni nzuri Sana na ofisi Ni nzuri ila Mimi nahama makazi; nahamisha familia namfuata mume wangu. Hutojuta...
  11. marandu2010

    Biashara ya vipuri vya pikipiki: Ushauri, michango, mawazo

    Wakuu kwa mara nyingine tena: Pikipiki zimeenea sana sasa hasa katika jiji letu la Dar es salaam.Hii inanifanya nione biashara ya spea za pikipiki itakuwa inalipa sana? Sijajua upande mwingine wa shillingi. Hebu nipate mawazo yenu wakubwa. Mna maoni gani katika hili? Asanteni sana wakuu...
  12. Chakorii

    Biashara ipi inatoa faida ya haraka zaidi kati ya Genge duka na biashara ya chakula?

    Habari za mchana kila mmoja wetu. Poleni na majukumu. Naomba usaidizi wenu wakuu najua huku kuna watu wa namna tofauti,wafanyabiashara wakubwa,wadogo,wakati,waajiriwa na kuendelea. Kuna biashara mbili kati ya hizo 👆juu moja wapo naitamani kufanya lkni sina uzoefu nazo kwa upande faida na...
  13. M

    Duka gani Mwanza linauza playstation?

    nahitaji playstation kwaajili ya game mwanza zinapatikana wapi? au nisaidie mawasiliano yao
  14. Mkogoti

    Ukiwa unapita nje ya Duka la Dawa ukiona limeandikwa Duka la Dawa baridi huwa akili inafikiria nini?

    Habari Wakuu Heri ya jumapili! Mimi kwangu kwa akili yangu najua ni zipo kwenye friji 🤦😂😂 lakini nikiingia napewa za moto, najua kabisa lakini nafanya kusudi, Karibu tuichangamshe jumapili
  15. vipik2

    Natafuta duka la Toyota Spare kwa Dar

    Habarini wakuu na wale wazoefu mjini Dar, ni wapi nitapata spare parts za Toyota Noah, Corrola na RAV4 pia ningependa kujua wapi walipo mafundi wa kutengeneza Auto Transmission zinapokorofisha?
  16. P

    Biashara ya vifaa vya ushonaji...

    Wandugu salaam! Kwa wenye ufahamu mzuri kuhusu biashara ya vifaa vya ushonaji, naomba maelekezo hasa kama bado ina wahitaji kwenye jamii. Maana kuna mtu ananiambia nguo za mitumba na zile special zimeharibu hii biashara. Nawasilisha.
  17. M

    Nataka kuanza Biashara ya duka la rejareja msaada ushauri

    Hbr ndugu. Nimeshalipa frame sehemu ambayo imechangamka na haina maduka mengi ya mtindo huo. Naomba ushauri mtaji wangu si mkubwa sana ni vitu gani vya muhimu vinavyotoka sana ili nianze navyo? Lakini pia ushauri wowote unao ona utanifaa ili nijikongoje mdogo mdogo. NB Naomba ushauri pia juu...
  18. T

    Je, ni duka gani Kariakoo linauza friji nzuri za kisasa kwa bei nafuu?

    Sijawahi kununua friji, haya mambo ya corona sasa yananilazimisha. Naomba maelekezo, aina zipi za friji ni nzuri na naweza kupata mojawapo duka gani Kariakoo kwa bei nafuu? TZS ngapi?
  19. B

    Nataka kuanzisha duka la vyombo. Je, mtaji wa kuanzia unafaaa shilingi ngapi?

    Nataka kuanzisha duka la vyombo, nipo DSM, isue naitaji kujua wapi naweza kupata bidhaa hizo na mtaji wa kuanzia unafaa shilingi ngapi?
  20. C

    Naomba kufahamishwa utaratibu wa kuanzisha Duka la Mbolea na mbegu za mazao

    Salaam! Naomba kujulishwa aina ya vibali au leseni nitakavyohitajika kuwa navyo nikiwa nataka kuanzisha duka la kuuza mbolea hasa NPK, DAP na Urea. Pia, nitauza na mbegu za mazao mbalimbali ila sitaweka madawa ya mifugo. Asanteni.
Back
Top Bottom