duka

  1. Suley2019

    Kesi ya Sabaya: Shahidi aeleza Sabaya alikuwa na vijana zaidi ya 10 alipovamia duka

    Arusha. Shahidi wa tano wa Jamuhuri katika kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, Seleman Kassim Msuya (36) ameileza mahakama kuwa akiwa nje dukani kwake alimuona Sabaya akiongoza vijana wake kati ya 11 hadi 12 kuingia dukani kwa...
  2. GeoMex

    Kesi ya Sabaya: Shahidi asema Mwenye duka alilazimishwa aseme hatoi risiti

    Arusha. Shahidi wa tatu wa Jamhuri, Ramadhan Ayubu Rashid (26) ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, jinsi mwenye duka alivyolazimishwa aseme hatoi risiti na watu waliokuwa eneo hilo, huku akimtambua aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya. Shahidi huyo ambaye ni...
  3. Kidagaa kimemwozea

    SoC01 Jinsi ya kuanzisha duka mtandaoni

    Kwa mana rahisi tunaweza kufasili duka la mtandaoni kuwa ni jukwaa maalumu kwaajili ya kuuzia bidha au huduma mtandaoni. Mfano wa maduka ya mtandaoni ni Amazon, Ebay, Jumia market, na Kikuu .Bidhaa unazoweza kuzifungulia duka mtandao ni, vitabu, vifaa umeme, mavazi na kadhalika. Zipo faida...
  4. L

    Kuanzisha Duka la vifaa vya umeme na Plumbing

    Habari za Mchana wadau. Msaada wenu, nina milioni15 niko Dar es salaam nataka kuanzisha duka la kuuza vifaa vya umeme pamoja na plumbing naomba kujua vifaa gani vinatoka sana pamoja na changamoto za hii biashara.
  5. TheDreamer Thebeliever

    Majaribu ni mtaji. Kuna jamaa ana duka Kariakoo limeungua halafu ana nyumba pale Kimara na amepokea notisi ya kubomolewa

    Habari wadau..! Maisha yana majaribu sana ,jamaangu kakopa mkopo bank akafungua duka pale kariakoo na mzigo wote umeungua huku nyumba yake pale Kimara inangoja kubomolewa. Hakika majaribu ni mtaji, Mungu ampe tu wepesi mzee Massawe😂😂😂
  6. B

    Wapi napata duka la Viatu vya Mtumba Orginal?

    Habari wadau. Kwa Dar es Salaam wapi naweza kupata duka la viatu vya mtumba bei ya kati. Mimi sio mdosi. Bei zake range kuanzia 30K mpaka 80K. Mtumba OG kabisa. Naomba kuwasilisha.
  7. Jazajuan

    Naomba ushauri wa kufungua Duka la Chemical reagents

    Mke wangu ni mhitimu wa diploma ya maabara. Nataka kumfungulia duka la Kuuza Chemical reagents za hospital na viwandani. Naomba ushauri wenu taratibu za awali kabla sijafungua
  8. M

    Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Wana JF naombeni ushauri wenu zikiwemo changamoto zake. WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUELEWA BIASHARA HII MICHANGO YA WADAU KUHUSU BIASHARA HII
  9. Nyamwage

    Aache kazi aliyonayo ili akafungue duka la rejareja kwa Tsh. milioni 5...

    Habari za muda huu, kuna jamaa yangu ni masonry yaani fundi uashi. Amejikusanya kwa muda mrefu amefanikiwa kukusanya kiasi cha pesa shilingi 5m, amepanga kufungua biashara ya duka la rejareja ili aachane na hii kazi ya masonry uashi ili aweze kuisimamia biashara yake mwenyewe. Je, hii biashara...
  10. S

    Nifahamisheni duka zuri hapa Dar zinapouzwa Iphone 12

    Habari zenu, Nifahamisheni duka zuri hapa Dar zinapouzwa Iphone 12 nzuri na za uhakika (yasiwe maduka ya makanjanja nsije kupigwa feki). Natanguliza shukrani
  11. M

    Nataka kufungua biashara ya duka la bidhaa ndogo ndogo za nyumbani

    Habari wana JF, Samahani katika harakati za kujikwamua kimaisha nimepanga nifungue biashara ya duka la bidhaa za nyumbani kama vile viduka vyetu vya mtaani vya mangi. Kwa ambaye amewahi kufanya hii biashara anisaidie ushauri, natakiwa niwe na mtaji kama shilingi ngapi? Na gharama za leseni ya...
  12. stineriga

    Mfanyakazi wa kuuza duka la viatu, rasta anahitajika Dodoma

    Mfanyakazi wa kuuza duka la viatu, rasta na vitu vingine anahitajika. Majukumu: Atauza vitu vya dukani na kupiga mahesabu ya dukani ya kila siku na kuchukua maoni ya wateja na kupendekeza nini wateja wanahitaji. Kituo cha kazi/duka lilipo: Mkonze, Dodoma Jinsia: awe mwanamke /msichana Umri...
  13. Manton

    Msaada: Nahitaji kujua duka la kuuza na kununua lulu(akoya) kwa Dar es Salaam

    Salam kwenu, wakuu. Naomba kujua mahali ambapo naweza kuuza lulu aina ya "akoya" kwa Dar es salaam, duka lilipo, ili nipate kufika kufanya biashara. Naomba msaada wa anwani yao. Endapo kuna mtu anahitaji naye anaweza kununua.
  14. S

    Anahitajika mfanyakazi wa kuuza duka la vifaa vya TEHAMA Arusha Mjini

    Nafasi ya kazi kuuza duka la vifaa vya TEHAMA: Kituo cha kazi: Arusha mjini Mwisho wa kupokea maombi: 14 May 2021 Taarifa kuhusu kazi: Anahitajika mfanyakazi wa kuuza duka la vifaa vya TEHAMA (Computer networking accessories). Kazi za kufanya: • Kuuza vifaa vya data kwa wateja watakaofika...
  15. M

    Naombeni ushauri, mauzo yanapungua kwenye duka langu

    Jamani kwema leo nikuja kitofauti kabisa. Mimi ninapenda kufanya biashara, sijaajiriwa ila nimejiajri kupitia taaluma yangu(...) Lakini pia nina biashara ndogo ya duka lengo nikubusti maisha. Sasa imekuwa mwanzoni nikifungua biashara mpya huwa inalipa sana yaani utauza juu kweli lakini baada...
  16. TEAM 666

    Ni zipi mbinu za kudhibiti wizi kwenye duka la jumla?

    Hello JF, Moja kwa moja kwenye bandiko Mimi ni mmoja wa wamiliki wa Duka la Jumla kiukweli hi biashara inalipa sana hasa inalipa faida ya milion 1.5 kwa mwezi kabla ya kutoa malipo ya wafanyakazi na Kodi ya pango nabaki na 600k au 700k Kama faida, kwa Duka moja. Hivyo kutokana na biashara...
  17. B

    Natafuta duka linalouza vitabu vya risiti

    Wakuu Habari, Wapi naweza pata duka linalouza vile vitabu vikubwa vya kuandikia Risiti za mkono kwa hapa Dar?. Nataka kuanza biashara ndogo nahitaji hivi vitabu kwa ajili ya Risiti na kumbukumbu msaada anayejua upatikanaji.
  18. E

    Natafuta duka linalo uza simu iphone smart phone

    Natafuta duka linalo uza simu iphone smart phone. Dar es salaam. Simu nzuri original
  19. T

    Duka gani hapa Dar wanauza pete original

    Kuna mtoto wa mtu amejaa, anataka nimvishe pete, nimeona isiwe tabu ngoja nikate kiu yake. Naomba kujua maduka yanayouza pete original za madini kama almasi, dhahabu, shaba ama tanzanite kwa hapa Dar es Salaam. Bajeti yangu ni kuanzia laki 5 hadi 2M. Lakini pia naomba ushauri wa aina nzuri ya...
Back
Top Bottom