Jaribu kutafakari hapo ulipo, tangu umezaliwa, umepata akili, watu wangapi uliowaona wanapambania maisha ya dunia hii, wako wapo, yale waliyopambania yamewasaidia nini kwa maisha yao huko walikoenda?
Wanaweza kuwa wamekula bata, wamelala na wanawake wawatakao au wanaume wawatakao, wamejenga...