Nawasalimu wote mliopo humu ndani
Kitu chochote ambacho Mungu anakitumia kwa mazuri na satani naye anakitumia kwa ubaya..
Umewahi kujifunza pande kuu nne za dunia na majina yake ya Kaskazini, Kusini, Mashariki, na Magharibi?. bila shaka utaniambia ndio.
Sasa katika ulimwengu wa roho hizi pande...