Meli ya hospitali ya Jeshi la maji la China, "Peace Ark" inayotekeleza jukumu la “Operesheni ya Masikilizano mwaka 2024”, hivi karibuni ilihitimisha ziara yake ya urafiki na huduma za matibabu nchini Djibouti, na kuelekea kituo chake kijacho nchini Sri Lanka. Hii inamaanisha kumalizika kwa...