engine

  1. JituMirabaMinne

    Gari nyingi za Toyota za sasa ikishachemsha, fikiria kununua mswaki au engine complete nyingine

    Hizi engine za kisasa za toyota ambazo zimekuja na Aluminium block ni nzuri ikiwa haijawahi pata shida ya kuchemsha. Ila kama ikitokea ikachemsha halafu ukarekebisha bado matatizo ya kuchemsha yakaendelea, nakushauri achana kabisa na hiyo engine sababu vinginevyo hakuna rangi utaacha kuona...
  2. Crocodiletooth

    Ni engine gani naweza funga kwenye Nissan civilian nje ya engine yake? Original

    Naomba kujuzwa ni type gani ya engine inaweza kufit kwenye Nissan civilian. Kwa ku Forge alimradi gari ifanye kazi.
  3. T

    3RZ-FE engine VS 1KZ-TE

    Dear Wadau, Please kindly naomba ushauri hapa, the key inputs kwangu ni reliability and durability kwenye hizi engine kwenye Toyota Surf ya mwaka 1999. WHAT IS MOST DURABLE AND RELIABLE ENGINE BETWEEN 3RZ AND 1KZ? PLEASE NAOMBA MAONI NA UTAALAMU WENU WADAU.
  4. Ulongupanjala

    Nissan Caravan TD Engine

    Habari za jioni wandugu, Naomba kuuliza mwenye NIssan Caravan Td Engine ya kuuza iliyo kwenye hali nzuri,aje PM tuyajenge. Asanteni wote.
  5. Masokotz

    INAUZWA Mucar CDL20 obd 2 diagnostic tool for engine

    Asking Price 150,000
  6. M

    Nissan Xtrail taa ya check engine imewaka

    Hii ni Xtrail ya 2007/8. Taa ya check engine inawaka lakini gari inafanya kazi vizuri tu. Nimejaribu procedure za kui-reset lakini bado. Pia nilichomoa battery kwa sekunde chache lakini bado. Kuna jamaa yangu kaniambia yeye inawaka mwaka wa pili sasa na maisha yanaendelea kama kawaida. Kasema...
  7. Extrovert

    Tatizo la Engine rough idle

    Kausafiri kangu ka 1ZZ-FE nilikasusa baada ya kuona hali ya sheli imekuwa tete nikaamua niimarishe mwili kwa miezi kadhaa. Juzi niliamua kukiamsha kwa kukifanyia major service. Sasa kuna tabia ya ajabu imejitokeza japo ilikuwapo ila kwa sasa imezidi. Sikuzote nilifikiri huenda ni transmission...
  8. Anithape

    Engine na gearbox za scania 124

    Naombeni kujua bei ya engine and gearbox mtumba za scania 124. Kuna mtu anataka kuniuzia lakini naona anataja bei kubwa kuliko nilivyoelekezwa na fundi wangu.
  9. sky soldier

    Kwanini engine za Toyota zenye herufi zinazoishia FE zinadumu sana (roho ya paka)

    Magari ni kama rav 4 old model yenye engine 3S-fe na magari yenye engine za G Kavu pia engine zinaishia na FE, siri ni nini ??
  10. sky soldier

    Engine 3s ya rav 4 old model na G - Kavu zinafanana?

    Habari zenu wataalam wa magari, nilikuwa naomba mnipe mwanga kama hizi engine zinafanana,,, G kavu hizi hapa je zinaingiliana na 3s 1G-E 1G-EU 1G-FE 1G-GEU 1G-GE 1G-GTE 1G-GP/GPE
  11. JituMirabaMinne

    Ijue Afya ya Engine ya gari yako

    Afya ya engine ya Gari lako. Je, unajisikiaje ukinunua gari baada ya muda mfupi sana ikakulazimu ufanye overhaul ya engine? Ili tuseme engine ya gari ina afya[engine mechanical health], Inatakiwa iwe na uwezo wa kuzalisha Compression pressure inayotakiwa. Bila compression hakuna gari itawaka...
  12. Sizinga

    Nini tatizo la Taa za Check Engine, VSC na Trac Off kuwaka kwa pamoja

    Toyota Crown ya 2004 kila ulikitembea km 37-40 hizo taa zinawaka kwa pamoja ikianza na taa ya check engine halafu ndani ya sekunde chache zinawaka hizo zingine kwa pamoja. Ukizima gari na kuliwasha tena tatizo linapoteza, ukitembea tena km 37 taa zinawaka. Gari bado lina nguvu na kila kitu kipo...
  13. WENYELE

    Engine Oil imejaa juu ya Maximum limit

    Wakuu gari iliwekewa engine oil ikawa juu ya maximum leo. Gari ilikua na sign ya kuvujisha oil ndo maana ikawekewa nyingi lakini sasa inaonekana oil haipunguzi. Je, hii inaweza ilaleta madhara gani kwenye engine?
  14. JituMirabaMinne

    Tatizo la engine ya gari kuchemsha. Tafadhali pitia uzi huu, unaweza kupata chochote

    Uzi huu ni mrefu. Tafadhali soma wote. Huenda kuna kitu utajifunza. Risk Disclaimer⚠️⚠️⚠️⚠️ Usifungue mfuniko wa rejeta engine ikiwa imepata moto. Unless kama umeamua kujifanyia plastic surgery ya sura yako wewe mwenyewe. Tafadhali zingatia hili. Kwanza kabisa naomba niweke sababu za gari...
  15. Jamii Opportunities

    Engine room assistant - 4 post at TPA

    POST ENGINE ROOM ASSISTANT – 4 POST POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To work within the daily work schedule; ii.To maintain tug log book showing Main engines...
  16. JituMirabaMinne

    Tatizo la engine kumisi ukikanyaga accelerator kwenye baadhi ya gari za Toyota

    Hii kitu nimekutana nayo sana kwenye familia tatu za engine za toyota NZ engines[1NZ-FE, 2NZ-FE] AZ engines[1AZ, 2AZ] na ZZ engines [1ZZ sanasana] Sitotaja gari zinazotumia hizo engine sababu hata nikianza kuzitaja ni nyingi sitamaliza, lakini huenda zaidi ya 50% ya gari ndogo ambazo watu...
  17. X

    Google adsense, search engine optimization and seo trick for beginner in Tanzania

    Wadau nimeona mada nyingi zilianzishwa kwenye jukwaa hili zikihusisha google adsense ila wadau walioanzisha mada hizo hawakuongelea kwa upana kuhusu google adsense pamoja na dependencies zake: kwenye uzi huu naomba mdau kama una shauku ya kuijua vizuri google adsense basi kaa mkao wa kula...
  18. JituMirabaMinne

    Tatizo common kwenye engine za BMW

    Kuna tatizo moja common kwenye engine za BMW. Kama ukiomba ushauri kwa mtu ambaye amecome across na hizo gari wengi moja ya sababu ambayo atakupa kama sababu ya wewe kuacha kununua hilo gari ni hii… "Achana na hizo gari zinachemsha sana" Ni kweli kabisa gari za BMW zinachemsha, Ndio maana...
  19. KndNo1

    N/A Engine kupungua nguvu mikoani

    Kama ni mkazi wa jiji la Dar es Salaam.. Then gari yenye Natural Aspirated engine kwako ni sawa.. Ila kama unaishi nje ya Dar ni bora utafute gari yenye Turbo.. Ukiwa na Natural Aspirated hautoweza kupata power yote kama mtu wa Dar..! Dar ipo +0.00m kutoka usawa wa bahari.. Mikoa mingi ipo...
  20. JituMirabaMinne

    Mercedes-Benz M139 engine: Engine ya 4 cylinders yenye nguvu zaidi kuwahi kutengenezwa duniani.

    Kiukweli hapa Mercedes Benz walifanya kazi nzito. Na kweli wakaonesha umwamba wao kwamba wao ni akina nani. Hakuna engine ya 4 cylinder inayojaribu kuusogelea mziki wa hii engine hata kidogo tu. Hii engine ndiyo ambayo imefungwa kwenye Mercedes AMG A45 S. Hii engine ina 2.0L Twin Scroll...
Back
Top Bottom