engine

  1. JituMirabaMinne

    Je, CC za engine pekee ndio zinaamua ulaji wa mafuta wa gari?

    Kuna baadhi ya watu huyakataa magari kwa kuangalia Cc za engine(Engine capacity). Lakini huenda kuna watu wameacha magari mazuri kwa sababu ya kigezo hiki. Hebu tuangalie baadhi ya mambo mengine ambayo yanaweza kuchangia ulaji wa mafuta kwenye gari. 1. Aina ya gearbox iliyotumika Aina ya...
  2. Chizi Maarifa

    Nahitaji Gari ya Toyota yenye Engine Six Cylinder but ulaji Mzuri wa Mafuta

    Kuna gari ambazo nimekuwa nikitumia lakini kwa sasa nataka nibadilishe gari. Nahitaji gari ambayo ni ya Toyota iwe 6 Cylinder. CC zikianzia 2000+ ni sawa. Sijui kama kuna ambayo inaweza kuwa below that. Ila iwe gari stable barabarani na fuel consumption yake iwe economy. Gari ambayo naweza enda...
  3. Sizinga

    Engine Oil sahihi kwa Toyota Crown Royal Saloon

    Habari. Mwenye ujuzi na masuala ya Engine Oil sahihi kwa gari tajwa hapo juu yenye CC 2990 GRS 182 maana naona kama mafundi wetu ni changamoto hivi. Mwanzo niliweka Castrol iliandikwa 5W~20 na fundi akasema inaenda km 5000 nilivyocheck Google nikaona haipo sawa, ilivyofika km 3000 nikaimwaga...
  4. Extrovert

    Naombeni kujuzwa bei ya Engine na Gearbox hii ya Nissan

    Engine ya Nissan: Code: QG18 Gearbox yake: Code:N16 Applications: Nissan Almera, Nissan Sentra, Nissan Sunny, Nissan Bluebird/Sylphy Mwenye clue na bei ya engine ndogo za Nissan, hio engine tajwa ni 1796cc au 1.8L! Tafadhali taarifa yako ni muhimu.
  5. benja

    4E Engine inahitajika

    Wakuu habari za Asubuhi, nna tafuta engine 4E yenye distributor, ya kufunga kwenye Starlet. Niko Dar es Salaam
  6. C

    Nimeweka Engine Oil 20w-50 X-trail NT30 (2003) nipo sawa?

    Wakuu salama? Nimeweka Engine Oil 20W-50 kwenye X-trail niliyonujua majuzi nipo sawa? Ama nimeingia cha kike? mileage: 41,000kms
  7. Infantry Soldier

    Kwanini tozo kwa makosa ya usalama barabarani zisishabihiane na uzito wa kosa husika?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Ndugu zangu watanzania eti; Kwanini tozo kwa makosa ya uvunjifu wa sheria za usalama barabarani zisishabihiane na uzito wa kosa husika kama ambavyo kodi ya PAYE inavyoshabihiana na ukubwa wa mshahara? (1) Kwanini dereva wa gari iliyofanya...
  8. JituMirabaMinne

    Siyo kila tatizo kwenye gari ni la kulichukulia kama lilivyo (ifahamu limp mode/failsafe mode)

    Endapo baadhi ya matatizo yatatokea katika gari lako hasa matatizo ambayo yanagusa mifumo ya muhimu katika gari lako basi mfumo wa kompyuta wa gari lako utaizima baadhi ya mifumo ambayo si ya muhimu ili kulifanya gari lako lisiendelee kupata uharibifu mkubwa zaidi. Dalili kuu kwa gari yako...
  9. M

    Naombeni ushauri kuhusu kubadilisha engine ya gari

    Wadau kuna mtu aliniambia unaweza kununua engine ya 4cylinders na gear box yake ukaweka kwenye gari ya 6cylinders mfano mark ivi gx 110, je inawezekana? Msaada tutani
  10. FRANCIS DA DON

    Msaada: kuna fundi anadai nilipe 70k kwa ajili ya Oxygen sensor ya 1JZ engine, eti ndio bei yake hiyo?

    Nikadude kanacho fanana kama plug ya piki piki tu, kanafungwa kwenye manifold ya exhaust, eti ndio 70k, ni kweli eti?
  11. moyafricatz

    Uwepo wa nembo ya Royce Roycee kwenye Engine za Airbus ya Air Tanzania

    Wakuu, Katika pita pita yangu nilibahatika kuisoma vizuri engine ya kushoto ya ndege yetu Murua kabisa ya "Airbus 220" iliyokua imepaki pale JNIA. Kitu kilicho-catch attention yangu ni nembo ya Rolls Royce's ambayo imechorwa. Wajuvi naomba mtusaidie kuna kahusiano chochote kati ya Rolls...
  12. JituMirabaMinne

    Je, gari yako inatetemeka, engine kumisi au ukiwasha inazima inapokuwa ya baridi?

    Je, gari yako inatetemeka engine ikiwa ya baridi? Je, engine ya gari yako inamisi inapokuwa ya baridi? Je, gari yako ukiwasha inazima yenyewe mpaka uwashe mara kadhaa au uwashe na kupiga resi mara kadhaa ndio itulie isizime? Kwanza kabisa kama ukiwasha gari unakimbilia kupiga resi basi...
  13. JituMirabaMinne

    Tatizo la engine ya gari lako kuzimazima (Engine Stalling)

    Asilimia kubwa ya matatizo ya engine kuzimazima yanasababishwa na components za umeme kama Sensors, Valves, solenoids n.k. Engine inaweza kuzima muda wowote mfano wakati ipo idle, wakati unaaccelerate, wakati unafunga brake n.k. Sababu zote zinazoweza kupelekea tatizo hili zinaingia katika...
  14. Tabutupu

    Nashauriwa niitoe 14B niweke 1hz engine Coaster. Ushauri wenu

    Samahani sio mtalaam sana wa engine za magari, lakini nina Coaster boksi ilikua imepata hitlafu kidogo kwenye engine, wakati nafanya mchakato wa matengenezo kuna watu wanasema engine hizo ni za muda mrefu sana inabidi nitafute 1hz. Lakini wakati huo huo kuna fundi ana nimabia hakuna engine...
  15. blakafro

    Nissan Patrol Nyeupe ya Mwaka 2008 inauzwa, Ina Engine ya TD42

    TD42 ENGINE | MANUAL | 4WHEEL DRIVE | DIESEL WHITE COLOUR | AFTER MARKET RIMS |BRAND NEW TYRES. FULL AC | 93,000KM VERY CLEAN INTERIOR. UN-REGISTERED. Price : 50Million Negotible. 📞 0744183343
  16. JituMirabaMinne

    Tatizo la engine ya gari kumisi (Engine Misfire), Sababu zake na baadhi ya solutions zake

    Tatizo la engine kumisi(engine misfire) linaweza kusababishwa na mambo mengi sana kama vile, damaged, worn au bad spark plugs, weak ignition coil, broken, clogged au no current katika injector nozzle, fuel pressure regulator, fuel pump, vacuum leaks, sensors kama MAF, MAP, O2, IAT, ECT n.k. In...
  17. Gabbimakini

    Car4Sale Honda CRV inauzwa

    Year manufactured 2005 Fuel type; PETROL Mileage coverage 114,000km Engine size 2354cc Location. Mbezi Beach, Dar es salaam. BEI NI 19M.
  18. Tabutupu

    Wahuni waiba engine ya lori lililotumbukia Mto Wami

    Baada ya Mkuu wa Majeshi kupeleka kikosi chake kulitoa lori lililo tumbukia mto Wami, lori limekutwa halina engine wahuni wamesha fanya mambo yao. Wabongo sio watu wazuri. Pongezi wa CDF kwa kufanikisha hilo japo kwa kuchelewa.
  19. Trubarg

    Engine ya gari lililozama Wami imeeenda wapi?

    Ni ajabu gari kilikokua limezama limeibuliwa bila engine...
  20. Mwangesela

    Nitapata wapi Engine za Toyota?

    Ndugu zangu nataka kununua gari hususani brand za Toyota kama vile IST, Raum, Wish, Ipsum, Subaru, Kluger n.k. Je, ubora na uimara wa injini nitajuaje au nifanye nini nisiingie pori?
Back
Top Bottom