Moja kwa moja kwenye mada,
Kwa jinsi mambo yanavyoenda, najiuliza kweli hii tuliyomo ni "level" ya nchi kweli?
Au ni familia ya mtu kaamua ajinywee pombe zake na kuamua chochote?
Hebu tazama mifano michache hapa chini:-
Hebu soma mtiririko hapo juu,
Je, sisi wananchi ni "majuha"?!
Au hii...