halima mdee

Halima James Mdee (born 18 March 1978) is a Tanzanian CHADEMA politician and Member of Parliament for Kawe constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Kama Spika Ndugai ana uchungu na deni la taifa, awatoe bungeni Halima Mdee na wenzake kwani hawana chama

    Ni ushauri tu kwa Spika mzalendo Dr Job Ndugai. Halima Mdee na wenzake 18 waliingizwa bungeni kinyemela bora hata hilo deni la kupambana na madhara ya Corona la Tsh 1.3 trillion liliwekwa hadharani na mh Rais Samia. Maendeleo hayana vyama!
  2. chiembe

    SSH-2025 Brigade, namuona Easter Bulaya, Halima Mdee mguu kwa mguu na UWT & CCM kumsimika Mama katika Urais 2025

    Nadhani huu ni mkakati bora kabisa ambao utasisimua siasa kuelekea 2025, utaua women wing ya chadema na hata ya vijana. Halima Mdee na Easter Bulaya na troop nzima ya wanoitwa Covid ni "dhahabu" ya kisiasa inayomezewa mate na CCM, japo chadema wamekomaa kuwachafua, wamebalansi hali yao...
  3. beth

    Halima Mdee: Imekuwa utamaduni wa Serikali kufukuza wamachinga

    Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee amesema imekuwa utamaduni wa Serikali kuwafukuza Wamachinga kwenye maeneo yao ya biashara na kuwapeleka pembezoni, na maeneo ambayo sio wezeshi kufanya Biashara. Amesema, "Kuthibitisha Serikali haijali kundi hili la Wafanyabiashara wadogo hata kwenye Mpango...
  4. J

    Halima Mdee ameondoka na Bawacha, Katambi aliondoka na Bavicha na sasa Chadema inasuasua!

    Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani. Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM. Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha. Mungu ibariki CHADEMA!
  5. J

    Yuko wapi Halima Mdee, Mbunge machachari wa CHADEMA?

    Nimeguatilia vikao vyote vya bunge lililomalizika juzikati sijamsikia kabisa mbunge wangu wa zamani hapa Kawe Mh Halima Mdee. Yuko wapi mbunge huyu machachari kutokea Bawacha? Jumaa kareem!
  6. Lord OSAGYEFO

    Maoni: Halima Mdee na wenzake wajiuzulu ubunge kuungana na CHADEMA kumpigania Mbowe

    Wadau nawasalimu, Nichukuwa nafasi hii kuwashauri japo sio lazima kuufuata ushauri wangu Wabunge 19 waliofukuzwa Chadema yaani Halima Mdee na wenzake. Naamini wao binafsi wanaujua ukweli uliowafikisha bungeni ulivyoratibiwa na Magufuli, Tume ya Uchaguzi na bunge na sio chama chao lengo likiwa...
  7. Lord OSAGYEFO

    Ili kuhalalisha Ubunge wa Halima Mdee na wenzake, Bunge lirekebishe kifungu cha sheria

    Wabunge 19 waliofukuzwa na chama chao CHADEMA kwa mujibu wa Katiba walistahili kuondolewa Bungeni kutokana na kupoteza sifa kwani ili uwe Mbunge ni pamoja na kuwa mwanachama wa chama cha siasa. Kwa kuwa Spika pamoja na Serikali inawatambua kuwa ni wabunge halali licha ya kufukuzwa na chama chao...
  8. Petro E. Mselewa

    Swali kwa CHADEMA: Lini rufaa za akina Halima Mdee na wenzake 18 zitasikilizwa?

    Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho. Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa)...
  9. P

    Bungeni: Mayenga (Mbunge wa CCM) amsimanga Halima Mdee na wenzake 18 bila huruma

    Halima Mdee nje na ndani ya ukumbi unasutwa. Hata uongee point vipi ni pointless. Kusutwa na mwanamke mwenzio ni aibu. Ushauri wangu Jiuzulu Ubunge, kaombe msamaha kwenye chama chako. Ndugai 2025 ni mstaafu, nani atakukingia. Mh LUCY MAYENGA Hongera sana kwa kusema ukweli na kuonyesha wazi...
  10. M

    Uwepo wa kina Mdee Bungeni kikwazo cha Rais kuonana na CHADEMA?

    Huenda uwepo wa wanachama waliofukuzwa chadema almaarufu covid-19 ni mojawapo wa sababu za Rais Samia Suluhu Hassan, kuchelewa kutimiza ahadi yake ya kukutana na chadema. Kwa utambulisho wa Nusrat Hanje jana jijini Mwanza kama mbunge wa chadema hii inaashiria mama anawatambua hao covid-19...
  11. beth

    Mdee ahoji watumishi waliofukuzwa kwa vyeti feki kutolipwa

    Sakata la watumishi waliofukuzwa kazi kwa vyeti feki limetinga bungeni baada ya mbunge wa viti maalumu Halima Mdee kuhoji nini mstakabadhi wa malipo ya mafao yao. Mdee amehoji hilo leo Jumatatu Juni 7 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka...
  12. Elisha Sarikiel

    Uchaguzi BAWACHA: Sharifa Suleiman aibuka kidedea Uenyekiti Taifa

    Mheshimiwa Susan Kiwanga na wenzake Monica Nsaro na Aisha Luja wameshindwa kurithi nafasi ya Halima Mdee ya mwenyekiti wa BAWACHA kitaifa. Kwa msingi huo, Sharifa ambaye ni kama makamu mwnyekiti wa Bawacha-Zanzibar, ndiye amechukua nafasi ya mheshimiwa Halima Mdee ya mwenyekiti wa Bawacha taifa...
  13. Q

    Ni vigumu sana kuwatofautisha Zitto na Halima Mdee

    Wakati wa uchaguzi mkuu 2020 aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Kawe kupitia Chadema Halima Mdee aliutangazia umma kuwa amekamata mabegi yenye kura feki akasema hatotambua matokeo yake leo kaungana na waliomuibia kura. Jana kwenye uchaguzi mdogo wa majimbo ya Muhambwe na Buhigwe. Asubuhi: Zitto...
  14. J

    Halima Mdee na wenzake ingekuwa Kenya huenda wasingekuwa wabunge, Mahakama ya Kenya iko huru zaidi!

    Sina hakika kama mahakama ya Tanzania inaweza kusema Rais wa JMT amekosea katika jambo fulani au iseme Rais anapaswa kushtakiwa kwa kuvunja katiba Mahakama ya Kenya iko huru, inaweza. Ingekuwa ni Kenya swala la Halima Mdee na wenzake lingekuwa dogo sana na huenda wasingekuwa bungeni kabisa...
  15. J

    Kuhamishwa kwa DPP ni pigo kubwa kwa Nusrat Henje na akina Halima Mdee

    Ulinzi wa ubunge wa akina Halima James Mdee na wenzake ulisimama katika mafiga matatu ya "kimkakati" yaani Spika, AG na DPP tena kikujuana zaidi. Figa moja binafsi limetenguliwa lakini litaletwa figa lingine kiofisi zaidi. Siku zote utatu mtakavitu ukitibuliwa kinachofuatia ni majanga...
  16. P

    Kimya cha Halima Mdee ni hatari kuliko kelele za CHADEMA

    TATIZO NI MDEE AU NI KUTOTII DEMOKRASIA? Na. Philipo Mwakibinga 0758910403 Kwa muda sasa nimekua nikifuatilia minyukano inayoendelea ndani na nje ya Bunge kuhusu Wabunge 19 wa Viti maalumu wanaokataliwa na CHADEMA. Lakini kwa upande wangu naliona suala hili kwanamna hii; CHADEMA wanapaswa...
  17. J

    Basi la Bawacha kuondoka Geita kesho kuelekea bungeni Dodoma kuwang'oa akina Halima Mdee na wenzake

    Msafara wa Bawacha unatarajiwa kuondoka Geita kesho asubuhi kuelekea bungeni Dodoma kumshinikiza Spika Ndugai awatimue bungeni akina Halima Mdee na wenzake. Ni msafara wa mabasi kadhaa ambapo mengine yataunga msafara njiani kama Kahama, Nzega na Singida huku Husna Said wa Chato akiongoza...
  18. J

    Kitakachowaondoa akina Halima Mdee ni "jinai" ya wao kuingizwa Bungeni siyo suala la Uanachama wao

    Uwepo wa Halima Mdee na wenzake bungeni msingi wake ni barua ambayo Chadema wameikana kuiandika wao yenye majina ya wanawake 19 waliopelekwa bungeni. Mchawi wa CHADEMA ni Tume ya uchaguzi wala siyo ofisi ya Spika wa bunge Mh Job Ndugai. Kama Mdee na wenzake walighushiwa barua ya kuwaingiza...
  19. VUTA-NKUVUTE

    Spika Ndugai, waonee huruma akina Halima Mdee. Jela uliyowaweka inawatesa na kuwatweza, ifike mahali uwaache

    Amini nawaambieni, akina Halima Mdee (waliokuwa wanachama 19 wa CHADEMA na sasa wanatajwa kama Wabunge wa Viti Maalum) wanapata tabu na mateso makuu. Wanateswa na mioyo yao (kwamba wanaonekanaje mbele ya jamii kuitwa Wabunge huku wakiwa hawana chama chochote cha siasa kwasasa). Wamepoteza au...
  20. J

    Suala la Halima Mdee na wenzake linafanana sana na lile la mbunge Kihiyo wa Temeke 1995, hatimaye Kihiyo alipoteza ubunge

    Sisi wahenga tukiliangalia tukio la wabunge wa viti maalumu wa Chadema akina Halima Mdee tunaweza kulifananisha na lile la mbunge wa Temeke 1995 mh Kihiyo. Kihiyo siyo kwamba hakusoma shule, No alisoma isipokuwa alicheza na makaratasi ili aonekane almaarufu wakati sifa ya mbunge ni kujua...
Back
Top Bottom