halmashauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Penologist

    Madiwani wa iliyokuwa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam walitoka wapi?

    Habari za wakati huu wakuu, natumaini wote tu wazima buheri wa afya na mafua ya kubana yatupitie mbali, twende kwenye mada moja kwa moja. Mamlaka za Serikali za Mitaa zinajulikana kama halmashauri, hizi mamlaka zipo ngazi tofauti tofauti kuanzia chini hadi ngazi ya juu. Ngazi za chini ni...
  2. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega amepokea kibali cha ajira mbadala cha tarehe 01 Februari, 2021 chenye Kumb. Na. FA.l701533/01,,B"l 34 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Kutokana na hali...
  3. K

    Naomba Serikali ifute Hotel Levy kwenye mamlaka ya halmashauri

    Serikali iko kwenye mchakato wa kutayarisha bajeti ya 2021/22. Kwa heshima na taadhima ninaiomba Serikali katika bajeti ijayo aidha ifute HOTEL LEVY katika Mamlaka ya Halmashauri au iweke tozo ya flat rate badala ya makadirio ambayo inaashiria harufu ya rushwa.
  4. Miss Zomboko

    Rukwa: Watendaji Kata na Vijiji 93 watumia Milioni 162 za makusanyo ya Halmashauri kwa matumizi yao binafsi

    MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Carlolius Misungwi, ametoa siku 16 kwa watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha wanarejesha Sh. milioni 162 ambazo ni makusanyo ya halmashauri hiyo ambazo wanadaiwa kuzitumia kwa matumizi yao binafsi. Amesema wakishindwa kurejesha fedha hizo, watakamatwa...
  5. K

    Ninapenda kuishauri Wizara ya fedha kuangalia kodi zifuatazo ili ziwe nafuu/rafiki kwa mfanyabiashara

    Natumaini miezi hii ndiyo Serikali iko kwenye maandalizi ya kutayarisha bajeti yake ya mwaka 2021/22. Pamoja na hayo ninapenda kuishauri Wizara ya fedha kuangalia kodi zifuatazo ili ziwe nafuu/rafiki kwa mfanyabiashara au zijumuishwe kwa pamoja ili mlipa kodi anapolipa basi alipe moja kwa...
  6. V

    Mliotuma CV Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam kazi ya ushuru, mmeshaitwa?

    Imepita wiki sasa baada ya Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam kufunga pazia la kupokea maombi ya kazi ya ukusanyaji ushuru je, kuna mtu alishaitwa au connection ni muhimu pia.
  7. kiben10

    Serikali yakanusha kuwepo mlipuko wa Ugonjwa wowote kata ya Ifumbo, Mbeya. Wizara ya Afya kuichukulia hatua ITV

    Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima ameagiza kusimamishwa kazi Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Chunya, Dkt. Felista Kisandu kupisha uchunguzi kwa madai ya kutoa taarifa zisizo sahihi za ugonjwa usiofahamika. Amesema hata kama ugonjwa huo ungekuwepo waziri ndiye anatakiwa kutoa taarifa. Zaidi, soma...
  8. J

    Rais Magufuli anaweka jiwe la msingi ujenzi ofisi ya halmashauri ya Malunga Kahama - Shinyanga!

    Tukio liko mubashara TBC, Channel ten na ITV. Up dates; Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi na sasa anapiga picha ya pamoja na viongozi wa mkoa na wilaya. Rais Magufuli amewashukuru viongozi hao kwa utekelezaji mzuri wa ilani ya CCM na ameagana nao na kuondoka. Maendeleo hayana vyama!
  9. D

    Halmashauri ziruhusiwe zilipe watumishi wake kadri ya makusanyo kama ilivyo kwa mashirika ya umma

    Ukiuliza kwanini mashirika ya umma mishahara yao ni tofauti na wizara na halmashauri utaambiwa haya mashirika yanazalisha fedha kwa serikali na kujiendesha. Tuje kwa halmashauri huku kuna tofauti kubwa ya makusanyo kati ya halmashauri moja na nyingine lakini mishahara ya watumishi wote wa...
  10. beth

    Wakuu wa Mikoa ambao Halmashauri zao zimekusanya mapato chini ya 50% wafanye tathmini

    Serikali imewataka wakuu wa mikoa ambao halmashauri zao zimekusanya mapato chini ya asilimia 50 wafanye tathimini na kuweka mikakati ya kukusanya mapato zaidi katika vipindi vilivyosalia ili kufikia malengo ya mwisho wa mwaka. Pia imewataka wakurugenzi wa halmashauri ambazo hazijafikia asilimia...
  11. N

    Wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru

    WATU wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru. Ni baada ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema jijini Mwanza, kupitisha sheria ndogo za ada na ushuri ambazo tayari zimepata baraka za Wizara...
  12. Papaa Mobimba

    Waziri Jafo aagiza Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime kusimamishwa kazi kwa kusafirisha mwili wa mtumishi juu ya carrier ya gari

    Waziri Jafo amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime kwa kusafirisha mwili wa mtumishi juu ya carrier ya gari. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Halmasharauri ya Wilaya ya Tarime, Jumanne Yassin ili kupisha uchunguzi Yassini...
  13. Red Giant

    Waziri Jafo hamasisha Halmashauri zako zijitangaze kupitia Wikipedia

    Ukipita kwenye wikipedia pages zinazozungumzia miji au maeneo ya wenzetu unajihisi umeshafika. Wanaeleza kila kitu kwa mapana yake. Historia, jiografia, hali ya hewa, uchumi, siasa, elimu, afya, utalii nk wanaambatanisha na picha za kutosha. Ila hizi za kwetu ni uzembe mtupu. Unakuta mistari...
  14. Miss Zomboko

    Waziri Jafo apiga marufuku Wakala wa Majengo Tanzania kupewa kazi Halmashauri ya Buchosha

    Wakala wa Majengo Tanzania ( TBA) wametakiwa kurejesha Shilingi million 300 walizolipwa kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya Serikali katika Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza, huku Halmashauri hiyo ikipigwa marufuku kuwapa kazi TBA. Akizungumza wakati wa ziara yake wilayani humo juzi, Waziri wa...
  15. Miss Zomboko

    Halmashauri zote zatakiwa kusimamia uondoaji wa takataka kwenye masoko ili kulinda afya za Watu

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Ummy Mwalimu amezielekeza halmashauri zote kuwa na miundombinu bora ya kukusanya, kuhifadhi na kusafirisha taka ili kulinda afya za wananchi. Alitoa maelekezo hayo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika Soko la Majengo jijini...
  16. Elisha Sarikiel

    Waziri Jafo atamani Halmashauri zijitegemee baada kutembelea mradi wa Government City Complex wa jijini Dodoma

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe, Selemani Jafo amesema ndani ya miaka mitatu ijayo matamanio yake ni kuona Halmashauri zinajitegemea zenyewe kupitia mapato ya ndani na kwamba ifike muda ziwe zinalipa watumishi wake mishahara. “Nikiangalia hoteli...
  17. J

    Swali la sikukuu: Ununuzi wa magari ya kifahari kwenye halmashauri kosa ni la Wakurugenzi au Madiwani wa CCM?

    Madiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri. Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM. Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza. Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya...
  18. Analogia Malenga

    Jafo: Wakurugenzi watakaoshindwa kupata 50% ya mapato hadi Januari wanaweza kuwekwa pembeni

    WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa, (TAMISEMI) Selemani Jafo amewaagiza wakurugenzi wote wa halmashauri 185 nchini kuhakikisha wanafikisha zaidi ya 50% ya makusanyo ya mapato ifikapo Januari 15,2021. Ametoa agizo hilo wakati akiwasalimia watumishi wa halmashauri...
  19. L

    TAMISEMI fuatilieni Wakurugenzi wa Halmashauri zote kuhusu ajira mpya za Waalimu kuna urasimu mkubwa

    Sote tunafahamu kwamba Katibu Mkuu wa TAMISEMI alitangaza majina ya waalimu wapya mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka huu. Akatoa maelekezo kwa waajiriwa wapya kwenda kuripoti kwenye Halmashauri walizopangiwa kuanzia tarehe 1 hadi 14 Desemba. Katibu Mkuu huyu alikwenda mbali zaidi na kuwaelekeza...
  20. U

    Mtwara: Ujenzi wa Soko la Kisasa - Chuno kwa kutumia Fedha za Ndani

    Ujenzi wa Soko La Kisasa Lililopo Chuno Halmashauri Ya Mtwara Kwa Kutumia Fedha Za Ndani Wakazi wa Mtwara wanazidi kuona matokeo chanya yatokanayo na kuichagua Serikali ya CCM Matumizi sahihi ya Rasilimali zetu huleta matokeo Chanya Kwetu Sote Tuliahidi Tumetekeleza
Back
Top Bottom