Wanafunzi wa shahada mwaka wa kwanza 30,311
Wanufaika 2,157 mikopo ya ‘Diploma’
Wanafunzi 588 kunufaika na ‘Samia Scholarship’
TZS 99.7 bilioni kutumika kuwagharimia mikopo, ruzuku TZS 2.9 bilioni
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Jumatano (Oktoba 09, 2024) imetangaza...