hisa

  1. Komeo Lachuma

    Ongezeko la kodi ya Mafuta ni kuwalipa fadhila "Wakubwa" wanaomiliki hisa/makampuni/vituo vya Mafuta?

    Serikali awamu ya 4 ilikuwa ni moja ya Serikali Fisadi zilizopata tokea Barani Afrika. Kwa wanasiasa na watoto wao kuchuma mali kadri ilivyowezekana. Mpaka kufikia kuuza/gawa viwanja/maeneo ya Serikali kutumika na Makampuni binafsi. Refer eneo la Tazara kupewa Kampuni moja ya kuuza Mafuta ya...
  2. Domhome

    Hisa za NICOL

    Shalom, Mimi ni mmoja wa wenye hisa kwenye Kampuni ya NICOL. Je, kwa wanaofahamu Bei ya hisa Moja kwasasa ikoje?
  3. kali linux

    Ukweli kuhusu Cristiano Ronaldo kushusha thamani ya Cocacola kwa kutoa chupa zake

    Hello bosses, kuna baadhi ya media hasa za Spain na mashabiki wa Ronaldo wanakuza sana effect ya hili jambo la Ronaldo kuweka pembeni chupa za coca cola na kuchagua maji wakidai kitendo hicho kilifanya hisa za Coca cola kushuka. Nimeona sio mbaya kuchambua hili jambo kwa sababu ni uongo mtupu...
  4. U

    Msaada wa kuuza hisa zangu!

    Naomba mwenye ujuzi wa taratibu za kufuata ili niuze hisa zangu naomba mwongozo!Mwaka 2013 nilinunua hisa za benki ya Mwalimu.Hadi leo hakuna kinachoendelea nimeishiwa kupewa tu risiti.Kila nikiuliza nakutana na "uswahili"uliosheheni na majibu yasiyoeleweka!Naombeni utaratibu wa kuuza hisa hizo...
  5. GwaB

    Mali inakuwa ya umma pale umma unapomiliki hisa

    Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukihamasishwa kulinda mali zinazoitwa za umma na kutahadhalishwa kuwa atakaechezea mali ya umma atawajibishwa. Imekuwa hivyo kwa miongo kadhaa na imezoeleka hivyo pamoja na kwamba ni ulaghai tu. Kwenye mjadala huu pamoja na upana wake ningependa kuwaalika wadau...
  6. Labile

    Je, HISA zako zitakuwepo hata kampuni ikifirisika?

    Habari ya muda wanajamvi? Napenda kujua kitu kimoja kuhusu HISA, inasemekana kampuni inapopata hasara basi hakuna gawio. Swali ni kwamba je, HISA zako zitakuwepo hata kampuni ikifirisika na ili uziuze kwa bei ya hasara au ikifirisika unakosa kila kitu. ========= Makampuni mengi yanayokuwa na...
  7. MURUSI

    Tigo na Zantel kuuzwa kwa Axian group ya Madagascar, naona wanakimbia Socialist economy

    Millicom wameamua kuuza Tigo kwa kampuni ya Madagascar, hivyo tutarajie tigo kubadilisha jina muda si mrefu. Jamaa naona wanakimbia uchumi wa kijamaa, uchumi usioangalia Market Force bali unaongalia wanyonge wanasemaje. Habari zaidi: Dar es Salaam. Kampuni ya Millicom International...
  8. M

    Nadhani kunaitajika jicho la tatu kwenye makampuni yaliyoko Soko La Hisa (Na hisi kuna udanganyifu sana)

    Nimeona niongee tuu ninacho kiona mie , kama sioni vizuri niko tayari kufundishwa. Makampuni ambayo yanafanya vizuri kweny Soko la Hisa (DSE) miaka yote ni Sigara na Beer na hii naamanisha kuanzia kupanda kwa Hisa zake pamoja na ugawaji wa dividends kwa wamiliki wa Hisa. Sisemi hazishukagi...
  9. M

    Kuendelea kushuka kwa Soko la hisa tangia 2015 inaashiria nini?

    Sijui kama niko sawa ninachokiona kwenye soko la hisa la Dar es salaam kwamba tangia mwaka 2015 soko hili limeenda likishukaa taratibu nikimaanisha bei za share za makumpuni karibia yote. Yaani share nyingi zilikuwa kwa kiwango cha juu mwaka 2014. Baada ya apo zimeenda zikiporomoka kila mwaka...
  10. J

    Ununuzi wa Hisa: Nini maana ya toleo la awali

    Toleo la awali ni mauzo ya hisa na dhamana kwa umma kwa mara ya kwanza kwa ajili ya kukusanya mtaji. Kwa lugha nyingine inajulikana kama IPO (Initial Public Offer) Mauzo hayo yana kipindi chenye ukomo. Baada ya hapo, kama mwekezaji anataka kuwekeza kwenye kampuni hiyo atatakiwa kwenda kwenye...
  11. J

    Zifahamu taratibu za uuzaji wa hisa

    Mwekezaji anayetaka kuuza hisa atafuata taratibu zifuatazo: Wasiliana na dalali wa soko la hisa na kumweleza kusudio lako la kuuza hisa Kabidhi hati yako ya umiliki wa hisa kwa dalali. Dalali atahakiki umiliki wa hisa hizo kabla ya kuuza Kama hisa haziko kwenye hifadhi ya hisa, dalali...
  12. J

    Jifunze jinsi zoezi la ununuzi wa Hisa linavyofanyikaa

    Mwekezaji anayetaka kununua hisa atafuata taratibu zifuatazo: a) Kuwasiliana na dalali wa soko la hisa na kumweleza kusudio lako la kununua hisa b)Kujaza fomu maalum za kununua hisa na kulipia hisa unazotaka kununua c) Dalali ataweka fedha kwenye akaunti maalum ya benki kwa ajili ya kununua...
  13. J

    UCHUMI: Hisa ni nini?

    Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa moja inawakilisha asilimia ndogo ya umiliki katika kampuni Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji anamiliki hisa 100,000 mwekezaji huyu anamiliki 10% ya kampuni. Mwekezaji anayenunua hisa basi ananunua haki ya kumiliki kampuni. Stahili...
  14. J

    Maana ya soko la hisa na sababu za kupanda na kushuka kwa bei za hisa

    Hisa zikishatolewa na makampuni ya umma haziwezi kurudishwa mpaka kampuni itakapofilisika. Lakini hisa zinaweza kuhamishwa kutoka mmiliki mmoja kwenda kwa mmiliki mwingine. Hivyo kama mtu anayemiliki hisa atahitaji kubadilisha hisa zake kuwa pesa hatoiomba kampuni kumfanyia hivyo bali atatafuta...
  15. Research Solutions TZ

    Soko la Hisa la Marekani litufumbue kitu Waafrika

    Soko la Hisa la Marekani na baadhi ya nchi zilizoendelea yako very flexible kiasi ambacho kampuni kushuka au kuongezeka net worth ndani ya masaa ni jambo la kawaida sana. Chukulia mfano Corona ilivyoweza kufanya makampuni kama zoom kuinuka kwa kasi na hisa zake kupanda chati kwa kasi, au hivi...
  16. Y

    Hisa za CRDB zimeanza kupanda bei kama mwaka jana (2020)

    Habari wana JF @ Soko la hisa, UTT AMIS na Hatifungani CRDB Bank PLC ni kampuni mojawapo iliyoorodheshwa hisa zake katika soko la hisa la DSE. Hisa za CRDB zimekuwa zikifanya vizuri katika soko la hisa la DSE kwa urahisi wa kuuza au kununua, mabadiliko ya bei na kutoa gawio wa wanahisa wake...
  17. The Assassin

    Mauzo ya Iphone yawa mabaya, hisa za Apple zimeshuka sababu ya mauzo dhaifu

    Mauzo ya Iphone yamekua madogo kuliko matarajio ya kampuni ya Apple kupelekea hisa za kampuni kushuka kinyume na matarajio Apple. https://mobile.reuters.com/article/amp/idUSKBN27E3FP?__twitter_impression=true
  18. tapemeasure

    Uwekezaji katika soko la Hisa la Dar es salaam na Mifuko ya UTT

    Habari za kutwa wana JF. Matumaini yangu wote mu wazima na mnaendelea vizuri kwa ujumla. Kwa muda mrefu nilikuwa nafatilia juu ya uwekezaji katika soko la Hisa la Dar es salaam na mifuko (DSE) ya UTT ila bado sijaelewa mambo yanaendaje na nilitamani sana kuwekeza katika maeneo hayo nikaona...
  19. IAfrika

    Tanzania, Rwanda na Uganda zaunda soko moja la hisa

    Nyakati zabadilika kweli. Tanzania Uganda, na Rwanda zimeungana kuunda soko moja la hisa. Tumetoka siku za COW hivi sasa nchi za Africa mashariki zinaendelea kuitenga Kenya. Kenya imepoteza deals kadha za ukanda huu kwa mda wa hivi karibuni but we still hold strong. Haya yote yanafanyika bila...
  20. S

    Je, kuna watu au mtu ana hisa katika kiwanda cha kutengeneza ndege au kuna manufaa fulani ya kibinafsi wanayapata?

    Inafika hatua naanza kujiuliza hivi kwasababu sioni ni kitu gani au ni faida gani inayopatikana kiasi cha kushawishi watu hawa kuendelea kununua hizi ndege. Unawezaje kuendelea kuwekeza hela nyingi katika biashaara ambayo inakutia hasara au huoni faida yake? Nawaza sana juu ya hili
Back
Top Bottom