hongera

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rashda Zunde

    Hongera serikali kusikia kilio cha tozo

    Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu. Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya...
  2. Crocodiletooth

    Hongera South Sudan kwa kununua kipande cha ardhi Djibouti

    South Sudan has bought a piece of land in Djibouti for the construction of a harbour in its latest effort to find an alternative to the port of Mombasa which is facing an onslaught from Dar-es-Salaam. South Sudan has bought three acres of land at the port of Djibouti for the construction of a...
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Ally Mayay ateuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo

    Ikukupendeza uwe Azam kuichambua Yanga ikipokea kipigo cha Al Hilal,kama sehemu ya kutuaga fans wako. Namaanisha tushiriki wote kuusindikiza mwili wa marehemu mtarajiwa toka Sudan
  4. M

    Kafulila: Bei ya mafuta Nairobi ni ghali sana pamoja na Ruto kuwa Rais, Dar bei iko chini. Hongera Rais Samia

    Gthinkers wasalaam, Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa Twitter. Ukweli ni kwamba bei ya mafuta imeshuka sana Tanzania japo hatujaona waliokuwa wakilalamikia kupanda kwa bei wakipongeza kushuka kwa bei. Pia Soma hii, 👇👇👇 BEI...
  5. amu

    Mpeni hongera mjomba wenu, si haba

    Juzi amenibadilishia gari. Mpeni hongera mjomba wenu amejipinda si haba. Naomba wenye makasiriko msicomment. Hapa ni furaha tu chuki, masononeko, hasira, wivu havihitajiki. Ni mimi shangazi yenu "amu" nimeupdate:Nimetoa risiti nilizoattach mwanzo.
  6. kyagata

    Orodha ya Majina ya CCM walioteuliwa kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki

    Orodha ya Majina ya CCM walioteuliwa kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki
  7. MK254

    Kenya 2022 Hongera Rais wetu mpya, Dkt. William Ruto

    Japo sikukupigia kura, na binafsi haujanishawishi ila Wakenya walio wengi walifaulu kukuchagua, inabidi tukubali maamuzi ya wengi ila tulio wachache tusiklizwe pia. Nakumbuka kitambo nikiwa kijana, nilikua mmojawapo wa vijana tuliokusanyika pale Eldoret kukushangilia siku ya kwanza ulipotangaza...
  8. Doyi

    Basi la Bright Line Mwanza - Dodoma kwa hili nawapa kongole

    Ni gari namba T683DZE aisee kama mmepewa mafunzo huko kazini basi mmeyaelewa vyema maana TV mmeweka sauti ya chini kiasi kwamba abiria hata kusinzia unaweza kusinzia na kuifanya safari yako kuwa murua kabisa. Screen za tv zipo saba lakini utulivu ndani ya bus upo wa kutosha. Mabasi mengine sasa...
  9. Tonytz

    SoC02 Hongera Serikali kwa mikopo ya Halmashauri: Kuwepo na elimu zaidi, ufatiliaji na uboreshwaji wa kanuni wenye kuendana na mazingira na uhitaji

    Utangulizi Mkopo ni fedha zipatikanazo kwa makubaliano ya kuzirudisha (maana kutoka kamusi ya Kiswahili sanifu, toleo la tatu-2014). Lakini kuna mikopo ya thamani kama vile nyumba, magari na ardhi. Mpango wa pili wa Taifa wa maendeleo wa miaka mitano(2016/17-2020/2021), pamoja na malengo...
  10. LUS0MYA

    Makato ya ushuru wa kuweka au kutoa fedha benki na kutuma na kupokea fedha kielektroniki waanza

    Serikali imekata tozo kwenye miamala yote kuanzia tarehe moja July mwaka huu... Kama akaunti yako haina salio kwa sasa tozo litakatwa punde akaunti ikiwekewa fedha.
  11. Lusungo

    Hongera Mzee Kinana, Trafiki wamepungua

    Habari za jumapili wana JF, nimetoka unyamwezini na kuwa Kenya tangu kampeni hadi Uchaguzi jana nikaamua kuja nyumbani kutokea Namanga Arusha Moshi kisha Dar es salaam. Kwakweli niseme wazi idadi ya trafiki na kero zao imepungua mnoo. Nilishangaa Arusha mjini kupita vituo vingi bila trafiki...
  12. sinza pazuri

    Hongera Diamond kwa kununua ndege na helicopter. Wasafi Airlines itazalisha ajira

    Natoa pongezi kwa msanii namba moja Afrika kwa sasa Diamond Platnumz kwa kununua vyombo vya anga. Biashara yake mpya anayokuja nayo ya Wasafi airlines itafungua milango ya ajira nyingi sana Tanzania na duniani kwa ujumla. Watu tutaacha kupanda emirates na klm tutaanza kupanda ndege za kijana wa...
  13. Lord denning

    Jengo la Kituo cha Polisi Oysterbay lawa gumzo Nigeria

    Kwenye pages mbalimbali za social media nchini Nigeria ziliporushwa video clips za msanii Kiss Daniel akikamatwa na kuingizwa kituo cha Polisi Oysterbay mjadala umekuwa si msanii huyo kukamatwa bali uzuri wa Kituo cha Polisi Oysterbay ambapo Wa Nigeria wengi walionekana kuusifia uzuri wa kituo...
  14. N

    Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

    Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe! Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa. Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi...
  15. Determinantor

    Hongera sana Mama J kwa kutimiza mwaka

    Napenda kuchukua nafasi hii kumtakia Kila la kheri Mama J kwa kutimiza mwaka mmoja, ilikua Yanga Day kama Leo.....
  16. N

    Mazingira safi ya biashara sababu ya ukusanyaji mapato zaidi ya malengo

    Moja kati ya mambo yanayofanya uongozi wa nchi yoyote upendwe ni jitihada za wazi za kustawisha maisha ya wananchi, kutatua kero zao na kutekeleza maono yenye dhamira njema na (1/4) maisha ya watu. Makusanyo ya Halmashauri yamezidi malengo kwa mara ya kwanza katika miaka 10 iliyopita...
  17. Eswa

    Hongera sana TEMESA - Kigamboni

    Ni imani yangu sote tu wazima wa afya. Nina muda mrefu sijavuka kwa panton kwenda kigamboni takribani miakai minne sasa, japokuwa ninaishi Dar es Salaam. Leo katika ratiba za mishemishe zangu hapa mjini, ratiba moja wapo ilinilazimu niende Kigamboni, wakati wa kwenda nilipita darajani ila...
  18. NostradamusEstrademe

    Hongera afande unastahili kupandishwa cheo

    Iringa. Licha ya kutengenezwa baada ya kuharibika, Jeshi la Polisi, Kitengo cha Usalama Barabarani, Mkoani Iringa limezuia basi la Kimotco lililokuwa limebeba wanafunzi 62 na walimu saba wa Shule ya Msingi Camaldoli wilayani Mufindi lisiendelee na safari. Jeshi hilo lilimelazimika kulizuia...
  19. R

    Hongera Justice of appeal Kente

    Hukumu yako ambayo nitaiweka hapa imenikumbusha bold Judges wachache ambao Tanzania imewahi kuwa nao kama Jaji Lugakingita, Mwalusanya, Katiti, Mlay, Kalegeya na wengine wachache ambao sijawataja. Ukisoma Judgement yako na wenzako,unaona high reasoning, philosophy and psychology employed to...
  20. evangelical

    Hongera Kidunda Ila Umetuaibisha Kwenye Wimbo wa Taifa

    Huyu Selemani Kidunda kwenye ngumi za leo pale kwenye nyimbo ya taifa ametuaibisha alafu eti ni mwanajeshi,. Jeshini embu angalieni mnavygroom watu wanatuhaibisha sio vizuri kwa kweli Hongera kwa ushindi Selemani Kidunda
Back
Top Bottom