HONGERA WANASIASA
1.
Waendapo majimboni, kuziomba hizo kura,
Utadhani wanadini, wenye za upole sura,
Magoti wapiga chini, mithili wataka pera,
Hongera wanasiasa, kudanganya wananchi.
2.
Hupita nyumba kwa nyumba, sera nyingi kimwageni,
Hudai kura waomba, wawakilishe bungeni,
Nguo zao...