hospital

  1. K

    Mgomo wa Madaktari na Wafanyakazi wa hospitali ya Dar group (T.O.H.S) kuanza Februari 14

    Madaktari na wafanyakazi wa Taasisi ya Tanzania Occupational Health Services (T.O.H.S) maarufu kama Dar Group Hospital wanatarajia kuanza mgomo na kuishinikiza Serikali kupitia wizara zake husika kutoa muafaka na hitimisho kuhusu kadhia ya muda mrefu iliyop ktk hospital hiyo isiyo na mmiliki...
  2. Inevitable

    Edward Ngoyai Lowassa anaumwa, alazwa ICU Muhimbili

    Wakuu, Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili. ======== UPDATE: Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa tumbo. Taarifa kutoka kwa...
  3. Bushmamy

    Maduka ya Dawa yaliyo nje ya mageti ya Hospitali za Serikali huwa na dawa muda wote lakini ndani ya Hospitali husika hamna dawa

    Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Rais Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za Serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali. Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya...
  4. POTIZILLAH

    Hospitali zituheshimu wateja, mnatuibia sana

    Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata...
  5. kibovu

    Mdada white wa exray hospital binafsi yenye chuo Dar Es Salaam

    Igweeeee Kwanza nipongeze kwa huduma bora. Nakuomba mnamo tarehe tatu mwezi january nilikuja ulinifanyia vipimo vya xray kwa weredi mkubwa nimdada mweupe mnene kiasi ulikuwa umevaa kigauni min Natamani nikupe zawadi kwa huduma zako bora nimeamua kutokutaja hospital yako but ni hospital...
  6. Hajto

    Hospitali za bima ya NSSF kwa hapa Dar

    Habari zenu ndugu zanguni watanzania, Napenda kuuliza mie nina kadi ya NSSF kwa ajili ya matibabu, wife ni mjamzito sasa je napenda kuuliza ni hospital gani nzuri kwa hapa Dar kwa ajili ya uzazi kwa kadi za NSSF.
  7. Dr am 4 real PhD

    Donations to Temeke hospital from Pakistan community

  8. kwisha

    Ninafikiria kufungua hospital ya dawa za asili

    Nafikiri kuhanzisha hospital ya dawa za asili Yaani kutibu kwa dawa za asili. Maana Kuna magonjwa mengi Ambayo yanashindikana kutibiwa hospitali kabisa na wanawaza kabisa kukupa dawa Lakini ukakuta ni ya kupunguza kabisa ugonjwa. Na mengine yanatibika kabisa hospitali Lakini garama yake ni...
  9. gubegubekubwa

    Msaada Hospital nzuri kwa kutibu vidonda vya tumbo Dar, vitaniua jamani

    Msaada Wana jf yaani hivi vidonda vitaniua jamani
  10. BAK

    Queen Elizabeth II spent a night at the hospital for 'preliminary investigations,' says palace spokesperson

    Queen Elizabeth II spent a night at the hospital for 'preliminary investigations,' says palace spokesperson By David Wilkinson and Max Foster, CNN Updated 6:37 PM ET, Thu October 21, 2021 Queen Elizabeth cancels trip to Northern Ireland London (CNN)Queen Elizabeth II spent Wednesday night...
  11. E

    #COVID19 Msaada: Hospitali zinazotoa Chanjo ya Pfizer au Mordena

    Habari ya majukumu wapendwa. Ninaomba kujua kama kuna hospital inayotoa chanjo ya Pfizer au Mordena kwa Tanzania hapa.
  12. Roving Journalist

    The Prime Minister, Kassim Majaliwa suspends Karagwe District Procurement Officer for dissatisfaction with hospital construction

    PRIME MINISTER Kassim Majaliwa has suspended Karagwe District Procurement Officer Mr. Yesse Kaganda after being dissatisfied with the quality standards of the construction of Karagwe District Hospital which has been built at a cost of 2.5 billion shillings. The Prime Minister said President...
  13. MK254

    Level Six hospital for military launched in Kenya

    President Uhuru Kenyatta is shown the conceptual model of the KNRR hospital on Tuesday, August 31. PSCU President Uhuru Kenyatta on Tuesday, August 31, presided over the groundbreaking ceremony of the construction of the Kenya National Research and Referral Hospital (KNRRH) at the Kabete Army...
  14. Jamii Opportunities

    Health Assistant II at Muhimbili National Hospital (12 Posts)

    POST: HEALTH ASSISTANT II – 12 POST POST CATEGORY(S): HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER: Muhimbili National Hospital APPLICATION TIMELINE: 2021-08-19 2021-09-02 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES To clean wards, compounds, halls and equipments To clean and disinfect the mortuary...
  15. GENTAMYCINE

    Nimeliona hili mara Mbili karibu na Jengo la VIP Mortuary ya Lugalo Hospital hasa wakifa Viongozi je, lina maana au 'tunakompliketi' tu mambo?

    Alipokufa Hayati Rais Dkt. Magufuli na Kuhifadhiwa hapo kwa Siku kama Mbili au Tatu hivi barabara ambayo si tu hutumiwa na Wanajeshi lakini hata Raia ( akina GENTAMYCINE ) ilifungwa huku 'Makomandoo' wakirandaranda japo baadhi yao mida ya Usiku tulikuwa tukipishana nao mno tu katika 'Korido' za...
  16. Nawatania

    #COVID19 Chanjo ya covid-19 inatolewa hospital gani nikachanjwe?

    Wakuu hospital gani hapa dar inatoa chanjo na masharti gani yanatakiwa ili nipate chanjo? Mwenye kujua anipe utaratibu.
  17. H

    Hospital gani nzuri nitapata dermatologist hapa Dar

    Ndugu habarini? Naomba kuuliza kwa hapa Dar Hospital gani nzuri nitapata dermatologist.
  18. J

    Nani anayetajwa na Mwenyekiti wa CCM Mwanza, Dkt. Diallo kwamba ana faili Hospitali ya Akili Milembe?

    Bado najiuliza huyo mwanasiasa aliyetajwa na Dr. Anthony Diallo kwamba alikuwa na jalada hospitali ya Mirembe ni nani? Na kwanini mifumo ilimruhusu kugombea? Nawasalimu kwa jina la JMT! ========= KWA UFUPI Mahojiano kati ya Mhe Anthony Diallo Mwenyejiti wa CCM Mkoa wa Mwanza na Mtozi Alloyce...
  19. TheDreamer Thebeliever

    #COVID19 Hospitali ya Bugando yakumbwa na upungufu wa mitungi ya Oksijeni kwa Wagonjwa wa Kupumua

    Habari wadau. Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen. Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen. Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa...
  20. Kasomi

    Ujumbe wa Tahadhari kutoka Hospitali ya Taifa

    UJUMBE KUTOKA HOSPITALI KUU YA TAIFA Tafadhali mjulishe mkeo kuhusiana na hili, , Hii ni tahdhari muhimu kutoka wataalamu wa afya [ LUTH ] kwa wanawake wote wawe watoto wachanga, wasichana, mabinti, wanawake, akina mama; saratani ya kizazi imeenea tafadhali epuka kuosha sehemu zako za siri kwa...
Back
Top Bottom