imekaaje

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ricky Blair

    Hii imekaaje?

    Mtu unaishi kw yale manzari ya extended families na ndugu, cousins and watoto and you work; unasepa asubuhi unarudi jioni muda wote huli home. Unajiletea chipsi kuku unajichana chumban na whatever privacy you get while watching movies. Unakuja kuitwa mchoyo as if watoto wote wameshinda na njaa...
  2. Elon J

    Hivi hii imekaaje kitaalamu wadau

    Nimekaa nikakumbuka wakati nikiwa chuo Kuna mdada nilitokea kumuelewa Sana. Picha linaaza hivi huyu mdada tulisoma wote advance but wakati tukiwa advance sikumconsider sana means tulikuwa tunaonana juujuu tu. Baada ya kumaliza advance kumbe nae alichagua chuo ambacho na Mimi nipo but pia...
  3. To yeye

    Jamani, hii ndoto imekaaje?

    Nimemwota muuza kuku😳...Yaan mpenz wangu sijawahi mwota hata mara Moja lakini Leo nashtuka toka usingizini nacheeeka.Ilikuwaje!? Ni hivi,nimeota nilikuwa navuka daraja nyakati hizo mvua inanyesha sana... mbele yangu Kuna bro pia alikuwa anavuka (hapo sijajua kuwa ndo huyo muuza...
  4. YE67NBE

    Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

    Salaam kwenu wote, Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953. Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi...
  5. anti-Glazer

    Jamii na makabila mengi yanataratibu zao, hii ya kurithi watoto imekaaje?

    Inatokea mzazi amefatiki, tuseme baba anatokea. Baba mdogo anawarithi watoto kuwapa tumaini la uwepo na baba Yao mzazi, Wakuu ikiwa baba mdg anakiwa KERO je ukiamua kujua maisha yako, akidai atakulaani inahusu hapa?..
  6. Melancholic

    Hili limekaaje wadau? Huyu manzi atakuwa anamaanisha nini?

    Kuna binti mmoja ni mama lishe. Ni mdada mzuri sana, kama mnavyojua wadada wanaofanya hizi shughuli za umama lishe, tena ukiwa mzuri kuna kuwa na mtiririko wa wanaume kuomba namba kila mara. Na mimi mara nyingi huwa napoenda kwenye shughuli zangu, ni lazima nipitie hapo kwenye mgahawa wao...
  7. Mwachiluwi

    Hii imekaaje wazee

    Hellow african Wewe tuchukulie ni mzazi una muomba mwanao hela kuna ndugu yenu kafariki unamuuomba hela ya kuchangia kwenye msiba umeongea na mwanao wakiume akakubali vizuri baada ya nusu saa mkweo anakupigia simu anakuambia kuwa hakuna hela kama hakuna ulazima wa kuchangia usichangia wewe...
  8. R

    Kwa wataalamu wa Sheria hivi compensation for injury of reputation Kwa hii issue ya Membe vs Musiba imekaaje ?

    Habari JF, Kwa wanasheria Kwa kuangalia hili la Kuondoka kwa Membe. Hivi Mimi kama nimechafuliwa nikafungua kesi nikashinda ikabidi nilipwe fidia .lakini Kwa Bahati mbaya nikafariki Je, ile fidia nayo inakufa?
  9. Chief Kumbyambya

    Wazee hii imekaaje, ni kwangu Tu ama?

    Wasalaaaaam.... Wazee mimi naishi na manzi sasa ana mimba yapata miezi saba sasa, ila kinachonitatiza sina mzuka kabisa wa kumgonga mwanamke mwenye mimba. Yaani mimba kubwa tumbo hiiloooooo hapana aisee, sijui ni kwanini!!! Yeye kuna time namuona kabisa kuwa anataka ukuni, anaanza kunishika...
  10. aka2030

    Simba kuvaa bips za umbro imekaaje?

    Inamaana mkataba na VS umeisha mpaka wanavaa bips za mazoez zenye nembo ya umbro
  11. Pac the Don

    Hii hoja ya mimba shuleni imekaaje?

    Maana hapa Soudy katupa kombora katikati ya watunga sheria na wale waliopinga watoto kurudi shulen!!!👇👇👇👇
  12. Engager

    Alinikazia enzi hizo, Lakini sasa kaachia. Hii imekaaje?!

    Mwaka 2018 mwanzoni, aliajiriwa kwenye kampuni niliyokuwa nafanya kazi mimi. Na alifanya kazi chini yangu. Yaani mimi ndiye nilikuwa msimamizi wake wa kazi. Huyu dada alinivutia tuu ile siku ya kwanza ametambulishwa kwangu kwa jinsi alivyokuwa mzuri na mtulivu. Siku hiyo nilimpa ABCs za...
  13. Tengeneza Njia

    Hii back to school kwa Wanawafunzi Wajawazito imekaaje?

    Nimeona kuna shule huko Mtwara mwanafunzi ameripoti na mtoto wake mchanga shuleni baada ya kujifungua, nawaza: 1. Muda wa masomo mambo yanakuwaje? Kuna mtu anakaa na mtoto nje na binti anaendelea kusoma? 2. Binti anapata nafasi ya kutoka toka nje/ au humo humo darasani kumnyonyesha kichanga...
  14. Engager

    Inakuwaje shule ya girls inakuwa na mwanaume?

    Angalia kiunga hiki https://matokeo.necta.go.tz/csee2022/results/s5344.htm
  15. Mwasapile

    Huduma ya Vodacom supakasi imekaaje hii!

    Nani anatumia huduma ya Vodacom Supakasi humu atupe maujuzi, tujue speed yao kwenye uhalisia wa utumiaji upoje n.k Kwa walio maeneo yanayokamata 5G speed ipoje wakikufungia hii huduma wanakupa vifaa gani! Maana kuna wanaosema wanakupa router ambayo ni moveable na wengine wanasema wanakuja...
  16. Wilhelm Johnny

    Uchafu kwenye bia ya Serengeti Lite imekaaje?

    Hii ndio tunanyweshwa uchafu
  17. Ozone star

    Hii imekaaje kuhusu tathmini ya uharibifu wa shamba baada ya mifugo kuharibu shamba?

    Kuna documents kutoka halmashauri ya wilaya fulani hivi. Inaelezea tathmini ya jinsi ya kutatua migogoro ya mifugo itakapoharibu kila aina ya mazao na malipo yake. Mfano: Ng'ombe wakiingia shamba la mahindi muda wowote wa ukuaji wa mazao hata kama mahindi yana wiki toka kupandwa, inapigwa...
  18. Unique Flower

    Msaada wa jinsi ya kushughulika na mtu huyu

    Nimejaribu kuomba msaada imeshindikana. Mie nilikuwa sina mpenzi nikawa na mtu friend with benefits. Sasa nipo na chibabu nikasema ngoja nimwambie kuwa mie sio single tena. Weeeh! Akawaka akadai yeye hajui hilo saivi yupo kama ananikomoa dah! Anaandika message za mapenzi, kero za hapa na pale...
  19. A

    Likizo siku 60 kisheria imekaaje?

    Toka kuumbwa dunia wiki hii ndo nimesikia mfanyakazi anapewa likizo ya siku 60 (ambayo hakuiomba). Maafisa utumishi/wanasheria tusaidieni sisi Ngumbaru
  20. Chief Kumbyambya

    Wazee hii ya kuishi na demu mjamzito imekaaje.

    Wasalaaaam wazee wa kazi.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati... Kuna kabinti nilikapa mimba sasa ni miezi minne imepita tuko mkoa mmoja ila maeneo tofauti tena kwa umbali wa kupanda gari kwa .asaa kama mawili hivi. Huyu binti anang'ang'ania aje tuishi wote maana huko aliko anaishi na...
Back
Top Bottom