inauzwa

  1. A

    House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha

    Ipo Kibaha kwa Mfipa, ni kama 5 toka barabara kubwa inauzwa ml 90. Huduma ya maji na umeme vipo karibu, ina kisima cha maji pia, nyumba kubwa ya vyumba 3 na master. Pia kuna nyumba ndogo yenye vyumba vinne na yapo mabanda ya kufuga makubwa matatu, unaweza kufuga kuku, ng'ombe, mbuzi n.k, vyote...
  2. F

    Phone4Sale Samsung Galaxy S10 inauzwa

    Wanabodi, Samsung Galaxy S10 inauzwa Storage: 128 gb Ram: 8 gb T-mobile Bei: 800000 (Maongezi yapo) Telephone: 0766543258 Dar es Salaam
  3. Ego is the Enemy

    Computer4Sale Laptop ya hp inauzwa

    Habari wanajukwaa. Husika na kichwa Cha habari hapo juu. Nauza PC ya Aina ya hp. Ni ya kwangu niliinunua dukani sema receipt nime replace. Ukiihitaji tutaandikiana kwa mwenyeketi wa mtaa ama polisi uwe na amani. Ina materials Kama yote na programs na softwares za Civil Engineering. Haina movie...
  4. WA MAMNDENII

    Car4Sale Mitsubishi Canter inauzwa

    Condition: Used Eng Type : 4D33D YOM : 1993 Eng CC : 3660 Location : Mbezi Jogoo , Dsm Price: TZS 25M Contact : 0788 907760
  5. Mpinzire

    Laptop Dell Inspiron N5040 inauzwa

    Ni kweli na wala sio utani! Ni Laptop aina ya Dell Inspiron N5040. UWEZO. 1. Processor~ Core i3 @2.5 GHz. 2. Ram 4Gb. 3. Hard drive 500 Gb. 4. Betri 4 Hour's Bei Tsh 400,000/= Mawaliano:- 0622 901670 Location:- Kariakoo~ Dar es Salaam. Ushindwe wewe tu mwaisa. NB: Hizo picha hazina filter...
  6. Movies Store

    INAUZWA 8TB Desktop hard disk inauzwa

    Kampuni ya HARD DISK ni SEAGATE, Size: 8TB Price: 250,000 Contacts: kwa muhitaji tuchekiane PM Location: DAR - M/CITY HARD DISK lazima utest ujiridhishe na size ya DISK ndipo utoe pesa yako,Popote ndani ya Dar biashara inafanyika (kwa gharama zako mnunuzi) ukihitaji uletewe hata...
  7. Kitomai

    House4Sale Tunauza na kupangisha nyumba za aina mbalimbali

    Nyumba ina mwonekano wa kuvutia wa ndani na nje. Ina vyumba vine vya kulala vinachojitoshereza, subure kubwa, jiko la kisasa na mahali pa kula ( Dinning area). Bei 500mil na inaongeleka. Kuiona piga simu au tuma ujumbe kwa whatsapp tupange muda muafaka wa kuiona…0784225000 au email...
  8. W

    Car4Sale Toyota Passo inauzwa

    Habari nauza toyota Passo Maelezo : Toyota passo Cc 990 Piston 3 Rangi Pearl New tyres Full ac Iko kwenye hali nzuri kabisa ,Haina changamoto yeyote , Price : 6M MAWASILIANO: 0754200363 Wahi chap
  9. M

    INAUZWA Pump ya kumwagilia inauzwa

    Pump ya kumwagilia inauzwa inch 3 800000 bargain Ipo nicheki 0710881879 Nipo mwenge Dar
  10. M

    INAUZWA Dust sucker mashine inauzwa

    Wadau nauza mashine ya kutolea vumbi Niko Dar Mwenge 0710881879 Bei 80000
  11. MUTUYAMUNGU

    MITI YA MIAKA 6 INAUZWA MAFINGA

    Bei laki 6 kwa EKARI Umbali kutoka Mafinga mjini ni km 60 Kijiji kinaitwa Chakilosa Jumla zipo ekari 4
  12. agent 89

    House4Sale Nyumba inauzwa Mbezi Beach (Stand alone)

    Ni standalone 4bedrooms living room dinning kitchen area size 800sqm Asking price 280mil note...viewing charges is applied
  13. Mr_S

    INAUZWA Meza nzuri ya kusomea inauzwa

    Nauza meza ya kusomea/kuandikia bei chee - Temeke, Dar es salaam. Bei: 60,000/-
  14. Mr_S

    Computer4Sale Hp laptop ya 500GB HDD, 4GB RAM na kioo inchi 15.6 inauzwa

    Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana. -> Kioo kina ukubwa wa inchi 15.6 -> RAM ni 4GB -> Hard disk yake ni 500GB -> CPU ni duo core ya 1.6Ghz -> Kipengele chake ni betri tu (betri imekufa lakini inapiga kazi freshi ikichomekwa waya wa kuchajia) ->Bei...
  15. Mr_S

    Computer4Sale HP laptop inauzwa

    Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana. -> Kioo kina ukubwa wa inchi 15 -> RAM ni 4GB -> Hard disk yake ni 500GB -> CPU ni duo core ya 1.6Ghz -> Kipengele chake ni betri tu (betri imekufa lakini inapiga kazi freshi ikichomekwa waya wa kuchajia) Kwa mawasiliano...
  16. Waibi fredy

    Nauza Samsung A72 inauzwa

    SAMSUNG A72 📱 Storage 128 GB|8GB ⚙️ Dual sim ✅ Battery 5000mAh Display 6.7” Black ⚫️ Tsh 850,000/= From Muscat Oman Inamiezi 6 tu . Haiba shida yoyote 0715160365 📞
  17. Chief Kumbyambya

    Nokia G21 inauzwa ipo Mbeya GB 128, Ram 4 TSH 300,000/=

    Simu imetumika wiki Tatu Tu. Simu ni mpya na upya wake. Simu ipo kama unavyoiona kwenye picha hapo Chini. Your all welcome...........,........,.
  18. L

    INAUZWA LG base speaker inauzwa

    Tsht 65000
  19. S

    Tunauza Miti (mirunda) Kwa ajili ya ujenzi au matumizi mengine

    Tunauza miti (mirunda) Kwa ajili ya ujenzi wa magorofa , nyumba za kawaida au matumizi mengine tuna mirunda takribani 900 PCs bei yetu ni nafuu sana Mawasiliano. sangmelina85@gmail.com
  20. peterlvitalis92

    Phone4Sale Tecno spark 7 inauzwa

    Simu aina ya spark 7 inauzwa sh. 165,000/= Ina miezi minne tu, Toka inuniliwe risiti IPO karibu sana 0783755971
Back
Top Bottom