inauzwa

  1. Mr_S

    TV4Sale TV ya mtumba inchi 24 inauzwa

    TV ya mtumba inchi 24 inauzwa. *Button zake za kuwashia/kuongeza/kupunguza sauti ni za kugusa. *HAINA REMOTE *HAITUMII FLASH *Bei: 150,000/- (maongezi yapo) *Location: Kiwalani, Dar es salaam. *WhatsApp/simu: 0656 203 045
  2. K

    Car4Sale Toyota Alphard inauzwa Tanga mjini

  3. Elivate

    Car4Sale Toyota IST inauzwa.

    Sold.
  4. I

    Computer4Sale Laptop nzuri yenye uwezo, inauzwa

    Ni portable(14") lakini ni powerful. -RAM 12GB -HDD 500GB -Processor i5 5300u -64bit -Windows 10 pro(Activated) - haina tatizo lolote Bei 380,000 tu Location DAR mawasiliano: 0768985321 PM kwa maelezo zaidi Adaptor yake ni original sio ya kununuliwa dukani, pia nakupa na external mouse MPYA...
  5. uberimae fidei

    Tunauza Viwanja na Mashamba Chalinze na Dar Es salaam

    *ENEO LINAUZWA* Eneo lenye ukubwa wa *ekari ishirini* linauzwa *Pingo, Chalinze*. Eneo linapakana na *Chuo cha Ualimu Chalinze* kwa mbele na kwa upande wa kulia ni *kiwanda kipya cha vigae cha Twyford* kinachojengwa hapo Pingo.Kama ambavyo baadhi watakuwa wanajua, kiwanda cha vigae kitaajiri...
  6. IamBrianLeeSnr

    Car4Sale Gari aina ya Daf XF Euro 5 inauzwa, kibini ipo separates na chesesi

    Gari aina ya DAF XF EURO5 engine ya paccar inauzwa ipo separate kibini pamoja na chesesi, Engine inahitaji matengenezo. TAJIRI anahitaji milioni kumi na tano(15) kwa mawasiliano piga namba +255 763 363 536, +255 683 067 976 Gari inapatikana DAR ES SALAAM, TANZANIA Kibini ipo sawa kabisa ni...
  7. Mr_S

    INAUZWA Ofisi ya PlayStation (Gamecentre) inauzwa

    Nimepata dharura kwahiyo nimeamua kuuza ofisi yangu ya PlayStation (Gamecentre). Ina vitu vifuatavyo: (kila kitu kimetumika kwa mwezi mmoja) Bei hazina maongezi (prices are fixed) 1-Sony PlayStation 2 inatoka kwa TSh 100,000 pamoja na memory card, flash, padi mbili na nyaya zote. 2-Sony...
  8. Mwizukulu mgikuru

    Car4Sale Gari zuri Toyota Crown namba D inauzwa

    Gari nzuri ipo mwanza mjini ni Toyota crown namba D..rangi ya silver ipo katika hali nzuri bei ni millioni 10 japo maongezi yapo..0769344686 nipigie tuzungumze.
  9. Mwizukulu mgikuru

    House4Sale Nyumba nzuri zinauzwa maeneo mbalimbali jijini Mwanza

    Ni nyumba nzuri kwa ajili ya matumizi ya familia ipo jijini Mwanza, bei yake ni shilingi milioni 37 japo maongezi yapo. Wewe njoo na pesa yako tuongee, hiyo bei wala isikutishe, miliki na wewe nyumba yako jijini Mwanza. Kwani wao waweze wana nini na wewe ushinde una nini? 0769344686
  10. Gily Gru

    Inauzwa : Kifaa cha guiter aka guiter tuner

    Nauza kifaa cha guitar kwa shilling elfu 30, kwa watumiaji wa guiter mtakuwa mnajua kinatumikaje. .
  11. Gily Gru

    Inauzwa: Camera cover ndani ya maji

    Nauza camera cover kwa ajili ya kuzuia mvua au camera kuingia maji. unaweza shoot hata ukiwa ndani ya maji, mazingira ya maji au mvua ikiwa inanyesha. . Bei elfu 50 sawa na bure. .
  12. dvj nasmiletz

    Computer4Sale Laptop inauzwa laki 2 na nusu tu..nina uhitaji wa pesa haraka

    Toshiba Hdd- 128ssd Ram 4 Touch screen Nina shida na uhitaji wa pesa haraka sana.wakuu nimebanwa na shidaaa nahitaji 250000 tu. Ipo dar piga simu 0627474141
  13. Michael Amon

    Computer4Sale Dell latitude laptop inauzwa

    DELL LATITUDE LAPTOP INAUZWA SPECIFICATIONS: Screen Size: 14 inch Processor: Intel Core i3 RAM: 4GB Hard Disk: 500GB Bei: 500,000 Mawasiliano: 0768444224
  14. Edwardo Ommy

    Car4Sale Toyota hiace inauzwa

    Ipo gari aina ya Toyota hiace inauzwa kwa bei ya 22M na laki 3 maongezi yapo gari ipo katika hali nzima kabisa...Full a/c Pia gari inapatikana Dar es salaam kuja na fundi hukatazwi karibu sana ndugu mteja. Mawasiliano 0718982463.
  15. G

    Computer4Sale Dell laptop inauzwa, HDD: 1TB & RAM 16GB

    Heavy Duty Dell Machine (engineerng design,grphics design & games) -storage. ROM/HDD: 1TB RAM: 16GB DDR4 Processor: Intel Core i7, 2.4Mhz with graphics card. System: x64 bit-based processor Screen: 15.6" screen touch Keyboard: black Window 10 pro Battery: 4hrs Condition: CLEAN.(haina...
  16. N

    Toshiba External Hard Disk GB 500 inauzwa

    Nauza External hard drive (Toshiba) yenye ukubwa wa GB 500 Ipo kwenye hali nzuri sana na haina tatizo la aina yoyote Bei Ni Tshs 65,000 maongezi kdg yapo Nipo Mbezi Stand ya Magufuli TAYARI IMESHAUZWA
  17. JOTO LA MOTO

    Computer4Sale Mashine ya Mac inauzwa

    Mashine ni nzima inapiga kazi...ipo Dar, bei ni laki mbili na nusu.
  18. Z

    House4Sale Nyumba inauzwa Goba

    Ipo goba mpakani, vyumba vitatu kimoja master. Ukubwa wa eneo square meter 500 Milioni 65 0762689034
  19. G

    Computer4Sale Hp Pavillion Inauzwa, ROM 500gb, RAM 8gb

    HP PAVILION -storage. ROM/HDD: 500GB RAM: 8GB DDR4 Processor: AMD A6-6310 APU with AMD radion R4Graphics 1.80GHz System: x64 bit-based processor Keyboard: Lightened Window 10 pro BEI; 450k Battery: 4hrs+ UPDATES: IMEUZWA
  20. The bump

    INAUZWA BOXER CC 125 (ina mwezi unaenda mwezi wa Pili) BM X

    Hii pikipiki nilininunua TAR 5 mwezi wa 9 nita attach risiti ya Manunuzi. Pikipiki sina namna naweza ielezea, "ni mpya" Naiuza sio kwa shida hivyo mteja apatikane asipatikane yote kheri. Sababu ya Kuiuza ni kutokana na ngekewa ambayo imenitokea bila kutarajia, sikua nimetarajia kabisa kupata...
Back
Top Bottom