Altezza Lexus
Engine beams 2000
Bei million 4.6
Full ac na document
Gari haina kipengele chochote kile, ipo Dar es salaam.
Nicheki: 0784020604
Maongezi kwenye gari tafadhali.
Habari, kama kichwa cha habari kinavyojieleza...
•Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa
• Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni mita 20×15.
•Nyumba ina umeme na maji yapo karibu ni ya kufuatilia.
Bei ni Tsh 35,000,000.
Kwa...
Nyumba ya vyumba 3 vya kulala na sebule, ipo ndani ya fensi. Inahitaji marekebisho machache.
Uwanja una ukubwa wa 20m x 18m, hauna hati ila kuna mkataba wa mauziano ya kiwanja. Maji ya DAWASA na umeme vipo nje ya nyumba, Huhitaji nguzo, kunafikika vizuri kabisa. Neighbourhood ni nzuri, usafiri...
Ipo kibaha visiga,nyumba ya kisasa,
Vyumba viwili,kimoja master,sebule ,dinning,jiko,
Uwanja mkubwa squire meter 800
Ina fensi ya kisasa.
Umeme na maji vipo,
Umbali km moja kutoka morogoro road,
Bei milioni 35.negotiable
Jipatie simu Samsung note 9 kwa bei ya kutupa laki 350,000
Storage GB 128
Ram gb 6
Haina cracks.
Used but in good conditions
Free charger
Free cover
Free protector
Chanika Magenge, mtaa Toroka Uje.
Bei 16milioni. Serious buy nipigie tufanye biashara 0712347749, 0746474849.
Nyumba ina vyumba 3.
Master 1, viwili vya kawaida
Choo cha public kipo ndani kingine nje.
Sittingroom, deningroom
Flem za biashara 2.
Kozi 2 ya uzio
Eneo la kujenga mabanda ya uani...
Nyumba inauzwa Tanga mjini, Kange
3 Masters Bedrooms na moja ipo ghorofani in sitting room.
3 Normal bedrooms.
Car garage (parking)
public toilet
kitchen
Siuting room & Dining room
Mabanda 7 inje ( ya tofali kama vyumba)
Frame ya Duka
Gazebble
Imezungushiwa ukuta na Gate
Eneo size ni 2230 sqm...
Nyumba inauzwa ina vyumba vinne, ina fensi, ina hati miliki, kiwanja ndani ya fensi ni kikubwa unapaki hata gari nne.
Ipo Mwanza mtaaa wa Nyangomango Center, kutoka barabra kuu ni sekende arobaini kwa miguu, bei Milioni 33 na maongezi yapo kidogo.
Mawasiliano: 0717254233
mwanz
Apple MacBook Pro Laptop Inauzwa
Bei 1M
Mawasiliano 0623745875
Specifications
Display
Retina display
13.3-inch (diagonal) LED-backlit display with IPS technology; 2560-by-1600 native resolution at 227 pixels per inch with support for millions of colors
Supported scaled resolutions:
1680 by...
Habari wana JF.
Nauza Gaming PC yangu Mashine pamoja na Monitor ya LG, keyboard na mouse. Unaweza itumia kwa shughuli mbali mbali za production kama Video Editing, Photo Editing, VFX, 3D Animation, Rendering, etc. Iko very powerful. Specifications hizi hapa chini.
Gaming Desktop Computer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.