inauzwa

  1. salehe magari

    Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    NISSAN DUALIS *CROSS RIDER Price :17.5mls (GARI NI MPYA 100%) Year 2010/2011 Engine Cc 1990 Full Ac Low mileage Rim sports 0688591584
  2. Nyuki Mdogo

    INAUZWA Mwanza Mahina: Piano Inauzwa

    Kitu imenyooka haina shida yoyote 0744 033 555 Bei: 520,000
  3. Li ngunda ngali

    Diesel na Petroli inauzwa hadi elfu nane Ifakara

    Nishati ya mafuta ya vyombo vya moto imeadimika na kuuzwa hadi elfu nane kwa lita moja huko Ifakara, Wilaya ya Kilombero. Huko Rudewa pia nishati hiyo inauzwa hadi elfu tano kwa lita na hayapatikani! Pamoja na gharama yake kuwa kubwa, ajabu, bado nishati hiyo haipatikani na kumeshuhudiwa...
  4. A

    House4Sale Nyumba (bado haijaisha) inauzwa Morogoro

    Nyumba ipo morogoro kihonda Km 1 na nusu kutoka dodoma road. Nauli kutoka morogoro mjini 500 Ina vyumba vitano,kimoja master. Ukubwa kiwanja mita 25 kwa 20. Milioni 35. Mazungumzo yapo
  5. K

    House4Sale Nyumba inauzwa Magomeni, Makuti A

    Nyumba inauzwa Magomeni Makuti A, Mtaa wa msikiti Mdogo Documents: Mirathi Skwata Meter 120 main road, tandale road. Bei 125milioni (mazungumzo yapo) Nipigie +255712347749 +255765755455
  6. Blance93

    INAUZWA Mashine ya kukatia miti chainsaw inauzwa

    Chainsaw aina ya Newtop inauzwa Imetumika miezi mitatu,ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote,nililinunua kwa ajili ya kuandaa shamba sasa nimemaliza sina uhitaji nayo tena ndo maana nimeamua kuiuza. Mashine ni newtop 272 spea zinapatikana bila tatizo kwan zinaingiliana na Hus272...
  7. R

    Phone4Sale TECNO POP4 inauzwa Arusha

    TECNO POP4. 32 Gb storage, 2Gb RAM. Nipo Arusha, Njiro. Haina tatizo lolote. Bei 95,000. Simu 0768174862
  8. John Reese

    Computer4Sale Laptop inauzwa bei poa

    Habari! Nauza laptop kwa bei poa. Hp Elitebook (used kwa miezi 6) Ram 8gb Hard disc 500gb Processor core i5 ,cpu 2.6ghz Bei 500 ,000/=(kuna maelewano pia) contact 0752 666 539 Mwanza
  9. Mpinzire

    Computer4Sale Gaming Machine Inauzwa

    Asus Rog STRIX Z390-F Customized Gaming Desktop Core i7 8th Generation SSD 512GB+HDD 3TB RAM 16GB DDR4 CPU 3.20 GHz RTX 2060 Super 8GB Dedicated Video memory Power Supply 700W RGB FAN 0622 901670
  10. Basi Nenda

    HP printer yenye scanner inauzwa

    Ina print na ku scan, wino wa color umeisha, location Dodoma mjini Bei; 115000 inapungua Ni nzima , naiuza ikiwa na power cable tu 0624 729 398
  11. M

    Barua ya wazi kwa maaskofu wa TEC: Baba zetu tuokoeni, nchi yetu inauzwa Uhuru wetu unamong'onyolewa

    Kwenu baba zetu maaskofu. Nawaandikieni nikiwa na hisia nzito iliyojaa huzuni kubwa juu ya mustakbali wangu na Taifa langu na vizazi vijavyo. Baba zetu, siku zote Taifa letu linapokuwa katika mtanzuko mzito, hamjawahi kusita kusimama thabiti na kutoa muelekeo wenye kuponya ili kuwasaidia...
  12. X

    INAUZWA Pikipiki Boxer BM 125 Inauzwa

    MODEL: Boxer MODEL NUMBER: BM 125 LOCATION: Tegeta, DSM Iko vizuri kabisa na ENGINE haijawahi kuguswa Ina registration card BEI: 1,100,000/= maongezi yapo NICHEKI PM KWA MAWASILIANO ZAIDI
  13. K

    Nyumba inauzwa Mabibo Hostel, Nyerere road.

    Nyumba inauzwa Frem 4 Nyumba 3, Ndani Bei: 750milioni Document: Mirathi Sqm: 818 Mtaa: Kibangu Kata: Makuburi Manispaa: Ubungo kwa sasa! Eneo linafaa kwa matumizi yote. Main road: mita 8 Piga simu 0712347749 Tufanye biashara....
  14. Mr Why

    INAUZWA Mashine ya Kufua na Kukausha Nguo 10kg Inauzwa

    Mashine ya Kufua na Kukausha nguo 10kg inauzwa bei chee. Acha kufua kwa kutumia mikono. Kazi hiyo ziachie mashine zifanye. Bei 450K Wasiliana na muuzaji: 0757669270
  15. Boss la DP World

    Bandari na Usalama wa Taifa, Rais Samia hujui hata hili?

    Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia. Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari? Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi...
  16. Mr Why

    Car4Sale Toyota Brevis Used Inauzwa Mwanza

    Toyota Brevis Used Inauzwa Mkoani Mwanza. Inatembea vizuri haina kipengele Bei 2,500,000. Mazungumzo ya Simu ndiyo mwafaka SOLD☑️
  17. S

    Bandari inauzwa kwa waarabu, Gesi LNG inauzwa kwa uingereza, Mbowe, Lissu, Zitto mko wapi kupaza sauti?

    Tumesikia ishu ya bandari kuuziwa mwarabu, mradi wa LNG nao mkataba wake haueleweki wa namna Tanzania itakavyonufaika, barabara ya kibaha moro dodoma kuendeshwa na mwekezaji na kulipiwa tozo kila ukipita, madudu yote yanaendelea lakini Zitto, MBowe na Lissu wako kimya kupaza sauti kuhusu ishu...
  18. N'yadikwa

    Milunda inauzwa bei chee, 3000 kila mti ipo miti 1500

    Miti ipo Suma Katumba Rungwe Mbeya. Leta hela jichukulie miti, ni minene inafaa kwa ujenzi wa aina yoyote. Ipo barabarani kabisa ukifika Suma Secondary ni hapohapo barabarani shamba lilipo. Kama unavyoiona pichani. Serious buyer piga simu: 0658615426.
  19. L

    Car4Sale Landcruiser Prado (manual inauzwa) kwa bei nafuu- 0747379399

    Contact: 0747379399 Price: 60,000,000 (negotiable) Make: Toyota Model: Landcruiser Prado Model number: JTEBD9 Body type: Station wagon Colour: White Year of manufacturing: 2016 Engine capacity:2986 Fuel used: Diesel Transmission: MANUAL, MANUAL, MANUAL MANUAL, MANUAL Engine number: 5L6278
  20. dalali Tambwee

    Car4Sale Gari inauzwa - Nissan March

    Nissan march Top speed 200 Cc 1400 Bei 5.5 million BIMA IPO HAIDAIWIII Sound option on steering Full ac na full file Gari haina changamoto yoyote ile ya ufundi Ipo dar es salaam , sinza 0784020604
Back
Top Bottom