inauzwa

  1. M

    INAUZWA TV aina ya Hisense led inauzwa 270,000

    Nauza TV aina ya Hisense LED Flameless kwa bei ya Tshs 270,000 TV hii imetumika miezi 4 tu ba bado ina boksi lake. Nicheki kwenye namba 0764368588 tufanye biashara Napatikana Mbezi jirani kabisa na Stand ya Mabasi ya mkoani ya Magufuli Terminal
  2. Brightly

    House4Sale Nyumba inauzwa million 25 misungwi mwanza

    Habarii Wana jf,Nyumba ya room tatu moja Master room,sebule kubwa, public toilet,store pamoja na jiko,ina uwanja wa 15mx30m ipo misungwi mkoa wa mwanza mawasiliano +255 769 088 152.
  3. Brightly

    INAUZWA Nyumba inauzwa ipo Mwanza wilaya ya Misungwi

    Nyumba inauzwa ipo Mwanza wilaya ya Misungwi, ina vyumba vitatu kimoja master, sebule kubwa, dinning room pamoja na jiko, inauzwa kuanzia million 25. Uwanja umepimwaa na haina mgogoro wowote, karibuni sana.mawasilano +255 769 088 152
  4. S

    INAUZWA Transcend External Hard Drive GB 1000 inauzwa Tshs 80,000

    Nauza External Hard Drive aina ya Transcend yenye ukubwa wa GB 1000 Haina changamoto ya aina yoyote na ukiinunua ndio utaamini nilikua nasema kweli au natania. MREJESHO Imeshauzwa
  5. Tomaa Mireni

    Phone4Sale Nokia C31 inauzwa, box na kava unapewa

    Imepungua bei Nokia C31 Bei 270,000 64GB ndani 4GB ram 4G line zote Box na kava free Piga 0625547181
  6. Isma75

    PS4 Playstation 4 Fat inauzwa

    Inakuja na; 2 pads FIFA 23 installed Cables zote @ 550,000/= Interested CALL/SMS/WHATSAPP 0653 835790 0754 935991 DAR FREE MARKET
  7. MrsPablo1

    House4Sale Nyumba mpya ya kisasa ina vyumba vinne inauzwa Goba, Dar

    Nyumba ipo Goba kwa Robert, * Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu. *Ina vyumba vinne vikubwa ,kila chumba kina choo chake . *Ina Spanish tiles. *madirisha ni pvc *ina fence *ina vyoo (toilets) 5 . *umeme na maji yapo. *uwanja wake una ukubwa wa sqm 880 Bei yake tshs. 168 million negotiable Dalali...
  8. Toto la bi shayo plumber

    Tunauza Plumbing material

    Duka la vifaa vyote vya bafuni na masink ya jikon na dining bila kusahau mabomba ya maji. Duka linapatikana Kariakoo/Gerezani mtaa wa mbaruku/Nyamwezi str,dar es salaam, Tanzania. Mawasiliano:+255677713490 (whatsapp) WAHI UPATE MZIGO MZURI KWA BEI NZURI[emoji1478]
  9. S

    INAUZWA TV Hisense led inch 32 inauzwa 260,000

    Nauza TV HIsense Inch 32 LED kwa bei ya Tshs 260,000 TV imetumika miezi 4 na ina boksi lake, haijawahi kufunguliwa na fundi wa aina yeyote. Ukinunua TV hii ni sawa tu na unenunua dukani mana bado mpya. Napatikana Mbezi Stand ya Magufuli na namba yangu ya simu ni 0719742225. Nicheki tufanye...
  10. S

    Phone4Sale Nauza simu aina ya itel A37 kwa bei ya Tshs 70,000 tu

    Nauza simu aina ya itel A37 kwa bei ya Tshs 70,000 tu *Screen (5.7 Inches) *Battery (3020 mAh) *RAM (1.00 GB) *Storage (16.00 GB) *3G/2G auto Simu iko kwenye hali nzuri sana, inakaa sana na charge na haijawahi kufunguliwa na fundi wa aina yeyote, nauza bidhaa ambayo ipo kwenye ubora na haina...
  11. Natafuta Ajira

    Phone4Sale Samsung jean 2 inauzwa kwa bei nafuu

    Nauza simu yangu aina ya samsung jean 2, gb 32 ina hali nzuri sana, bei laki moja na nusu (150000). Nipo iringa mjini kwa ambae yupo mkoani naweza kumtumia au anaweza kuagiza mtu ambae yupo Iringa aje kuikagua halafu namkabidhi simu.
  12. Nguvuyabwana

    Laboratory centrifuge inauzwa

    Electric centrifuge Matundu sita. Model no. : 800D Bei ni 180k Dodoma ilazo
  13. N

    INAUZWA Tablet nzuri ya Samsung inauzwa bei chee

    Habari Nauza Tablet nzuri aina ya Samsung kwa beinya kutupa, bei ni Tshs 480,000 ila maongezi kdg yapo Tablet hii imetumika miezi mitatu tu hivyo bado ni mpya kabisa na aina mchubuko wa aina yeyote, ukiiona ndio utaamini. Model Name: Galaxy Tab A8 Battery Capacity : 7040 mAh (Typical) OS...
  14. Miss Zomboko

    Car4Sale Nissan Xtrail inauzwa Dar es Salaam

    NISSAN XTRAIL🔥🔥🔥 Year 2003✅ Cc 1990✅ Full Ac✅ Android Tv✅ New Tyres✅ Sports Rim✅ 12.5MILION🔥🔥🔥 Mawasiliano 0688 986 066
  15. maurice99

    House4Sale Nyumba inauzwa Tanga Mjini

    Nyumba ipo Tanga Mjini Mitaa ya kisosora *Room 4 (Kimoja master) *Sebule *Jiko *Public Toilet *Umeme✅ *Maji✅ Bei 65 milioni mazungumzo yapo...Kwa mteja Serious piga simu 0683703076 au whatsapp 0763316426
  16. Nyuki Mdogo

    Phone4Sale Mwanza: Oppo A93, ram 8Gb rom 128 Gb inauzwa

    Habari waungwana. Simu tajwa hapo juu inauzwa Ipo mabatinj Mwanza unapewa na risiti * box used for 36 weeks only 290,000 Tu 0744 033 555
  17. M

    Car4Sale Subaru Forester inauzwa

    Bei ni 10m. Maongezi yapo. Engine sio ya turbo. Kwa mawasiliano na kutest, 0689-601271 na 0685-493792
  18. B

    Heka 1 inauzwa Kibaha kongowe

    Nauza Heka 1 Kibaha kongowe Mil.70 barabara ya zamani pana faa kwa Godown au Kiwanda, mita 100 hadi Morogoro road. WhatsApp kama ukiitaji picha 0674223223
  19. Rubo Motors Tanzania

    Kwa mahitaji ya kuagiza magari kutoka Japan,Dubai,na UK, tuone "Rubo Motors

    Hasa kwa watu wa Kanda ya Ziwa na mikoa Jirani. Kwa mahitaji ya kuagiza magari kutoka Japan,Dubai,na UK, tuone "Rubo Motors Tanzania" magari tuagizayo ni Fuso, Canter,Hino,Isuzu,Rosa bus,Coaster,Nissan,na magari madogo ya kutembelea. Malipo ni awamu mbili. ambayo ni malipo ya awali na malipo...
  20. L

    Nissan Dualis inauzwa

    Gari ipo Arusha Haina tatizo lolote, kila kitu ni kizima Bei 15M Mawasiliano: 0621846107
Back
Top Bottom