india

  1. technically

    Ndugu zetu zaidi ya 400 wamekwama India na wanapigana kuja Tanzania wamekwama

    Please Serikali iwasaidie ndugu zetu zaidi ya 400 waliokwama India wanataka kuja nyumbani. Ubalozi wa India utoe ushirikiano wa kutosa watu mpaka wanalia hali ngumu walipo wanaogopa kwamba hawapo salama. Wapo wanafunzi, wagonjwa walioenda kutibiwa, wafanyabiasha. Please Air Tanzania...
  2. Nyendo

    Dkt. Pradyumna Mahanandia: Aliendesha baiskeli kutoka india kumfuata mkewe Sweden

    Pyadyumna Kumar Mahanandi, aliendesha baiskeli kutoka New- Delhi india hadi Gothenburg, Swiden ili kukutana na mpenzi wake, Ann-Charlotte. Ilikuwa mwaka 1977, aliendesha baiskeli kwa umbali wa Km 4000. Mahanandi alitokea kwenye familia ya kimasikini hali iliyofanya ashindwe kuendelea na masomo...
  3. MakinikiA

    India yakataa vifaa vya kupima virusi kutoka China

    Vifaa hivyo vilitarajiwa kugundua antobody katika damu ya wagonjwa wa virusi vya corona India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya kubainika kuwa vifaa hivyo ''Vina dosari''. Mji wa Delhi pia umeondoa vifaa ambavyo tayari vilikuwa...
  4. Analogia Malenga

    Slumdog Millionaire: Filamu ya kihindi inayoonyesha maisha ya masikini wa India

    Ni filamu ya kihindi iliyotengenezwa mwaka 2008 inayoonyesha maisha ya kijana aliyekulia mtaani na kuwa tajiri kwa bahati tu Filamu ilianza kwa kumuonyesha muhusika Jamal, akiwa kwenye kipindi cha ‘who wants to be a millionaire’ kipindi kilikuwa kinauliza maswali mengi tofauti na atakaye patia...
  5. Johnny Sins

    Jina langu surya, nchi yangu india

    Ni mwanajeshi kamili,tena tegemezi kwenye idara ya usalama..ni kijana mdogo mwenye kipaji cha ajabu pengine kuliko wote chini ya jeshi la india..amepikwa kwenye kujilinda akaiva.. ..Kipaji chenyewe ni ngumi...ndio surya anatoka jeshini akiwa na medali ya mapambano ya ana kwa ana..amepewa adhabu...
  6. Jidu La Mabambasi

    India: Watoto mapacha waitwa majina ya Corona na Covid!

    Duniani kun mambo. Kama wewe unafikiri ugonjwa wa Corona ni hatari hata kuutamka, huko India familia imepata mapacha majuzi na wameaua kuwaita watoto hao Corona na Covid! Maisha yanaendelea! ---- Twins born during pandemic named Corona and Covid A boy and a girl born in the midst...
  7. Display Name

    India: Polisi wawachapa watu wanaotembea nje wakati huu wa Corona

    Ili kupambana na usambaaji wa Virusi vya Corona Serikali ya India ilizuia watu kutoka nje. Kwenye video hii polisi wanaonekana kuchapa watu waliowakuta wakitembeatembea nje na kuwapa adhabu mbalimbali kwa kukosa utii Source: abcworldnewstonight
  8. Suley2019

    India builds wall around slum 'to hide poverty' from Donald Trump ahead of visit

    Officials in the Indian city of Ahmedabad criticised for building a wall to 'hide a slum dwelling' before the president's visit New Delhi authorities in India have been accused of attempting to hide poverty from Donald Trump after building a wall around a slum in Indian Prime Minister Narendra...
  9. Victor Mlaki

    Masikini wajengewa ukuta India kuficha ukweli

    Viongozi kumbukeni "karma"..nimefedheheka sana yaani Wazee wanatimuliwa kwenye eneo waliloishi miongo kadhaa na masikini wengine wanajengewa ukuta ili kuficha hali halisi ya eneo. Kumbe kuwa masikini ni uchafuzi wa mazingira aisee...daaah..Nimekumbuka maadui watatu tena ingawa nilikuwa sitaki...
  10. Analogia Malenga

    Mtanzania akamwatwa na madawa India

    Askari wa mji wa Bengaluru, India wamemkamata mtanzania Ejike Celestine akiwa na vidonge 600 vya madawa, yenye uzito wa gm 250 Madawa yaliyokamatwa yana thamani ya zaidi ya milioni 64.3 na aliyapata kutoka kwa mtu asiyefahamika katika mji wa Goa Nchini India kidonge kimoja ni sawa na tsh...
  11. B

    Watanzania Wakwama Uwanja wa KIA India kwa Siku 6

    Familia ya watanzania baba, mama na watoto wawili wamekwama katika uwanja wa ndege wa KIA huko India kwa siku 6 sasa. Gazeti la India linadai watu hao ilishindikana kubebwa na Air Tanzania hata hivyo shirika la ndege la Oman limekubali kuwachukua. === Sources told Bangalore Mirror that though...
  12. Analogia Malenga

    Chuo kikuu India kufundisha madaktari masuala ya uchawi

    Chuo maarufu nchini India kimeanza kutoa kozi ya ngazi ya cheti kwa madaktari jinsi ya kutibu wagonjwa wanaopatwa mapepo au huyaona. kozi hiyo ya miezi sita katika chuo kikuu cha Banaras Hindu (BHU) kwa mji wa kaskazini wa Varasanasi, kozi hiyo itaanza mwezi Januari. Na pia kozi hiyo itakua...
  13. FRANCIS DA DON

    Inasikitisha: Badala ya ku-export mbaazi, sasa tuna-export ngono kwenda India

    Imebainika moja ya mazao makubwa yanayokuwa exported toka Tanzania kwenda India ni ngono, hii ni baada ya soko letu la bilioni 500 la mbaazi huko India kuyeyuka. Je, tupo sahihi kuexport bidhaa hii? Video hapo chini ina maelezo ya ziada na ya kina. Ila pia sijafurahia hii tabia ya mabeberu...
  14. beth

    Idadi ya waliokufa nchini India yafikia watu 23

    Maelfu ya watu wamejiunga na wimbi jipya la maandamano dhidi ya sheria mpya ya uraia nchini India huku idadi ya waliokufa katika vurugu hizo za karibu wiki mbili ikifikia watu 23. Idadi ya vifo imepanda siku moja baada ya kuzuka maandmanao ya vurugu kwenye jimbo la Uttar Pradesh ambako watu 15...
  15. Miss Zomboko

    Waandamanaji 100 wakamatwa India wakipinga Ubaguzi kwa Waislam

    Polisi nchini India wamewatia mbaroni zaidi ya watu Mia Moja waliokuwa wakishiriki katika maandamano ya kupinga muswada wa uhamiaji uliopitishwa na Mabunge yote mawili ya nchi hiyo, Muswada ambao wanauona kuwa ni wa kibaguzi. Hasira za Waandamanaji zimeongezeka baada ya mahakama nchini humo...
  16. Analogia Malenga

    Maandamano dhidi ya sheria mpya ya uraia India

    Maelfu ya watu wameteremka majiani katika miji kadhaa ya India , masaa machache tu baada ya dazeni kadhaa za waandamanaji na maafisa wa polisi kujeruhiwa, machafuko yaliporipuka katika viwanja vinavyozunguka vyuo vikuu. Sheria ya uraia iliyoidhinishwa wiki iliyopita inawaruhusu wahamiaji ambao...
  17. Nyendo

    Umoja wa Mataifa wakatishwa tamaa na COP25

    Mazungumzo ya Mabadiliko ya Tabia Nchi ya Madrid (COP25) yamemalizika kwa hali ya kuvunja moyo, baada ya wachafuzi wakubwa wa mazingira kupinga nyongeza ya jitihada za kukabiliana na ongezeko la kiwango cha joto duniani. Waandaaji wa mkutano waliwakusanya washiriki kutoka mataifa 200 hadi zaidi...
  18. Analogia Malenga

    Wanawake wa Afrika wanapelekwa India kwa ajili ya ngono

    BBC Africa Eye imefichua mtandao unawashawishi wanawake wa Kiafrika kwenda India, ambako wanalazimika kufanya ukahaba ili kuwaridhisha wanaume wa Kiafrika wanaoishi New Delhi. Paspoti zao zinachukuliwa na matembezi yao kudhibitiwa hadi watakapolipia gharama kubwa waliyotumia kusafiri kwenda...
  19. Influenza

    Umoja wa Mataifa: Tunahofia sheria mpya ya uraia India, inabagua

    Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva Uswisi msemaji wa ofisi hiyo Jeremy Laurence amesema “sheria hiyo iliyorekebishwa inataka kuongeza kasi ya mchakto wa uraia kwa makundi ya kidini ya awaliowachahe ikiwataja hususan Wahindu tu, Singasinga, Wabudha, Wajamatini, Waparsis na Wakristo...
Back
Top Bottom