iphone

  1. iPhone X yaondolewa kwenye Vifaa vya Apple vitakavyopokea iOS 17

    Kwa mujibu wa Apple imetangaza kuwa mfumo wa uendeshaji wa iOS 17 utapatikana kwenye simu za iPhone XS na kuendelea kumaanisha kwamba usaidizi umeondolewa kwa iPhone 8, iPhone 8 Plus, na iPhone X. Toleo la Beta ya kwanza ya iOS 17 itapatikana kwa wanachama wa Programu ya Apple kwa majaribio...
  2. K

    Nina 1m nahitaji sim kati ya iPhone au Samsung

    Mambo vipi wanajamvi. Naombeni ushauri wenu wataalam wa sim za mkonini. Kwa bajeti hiyo sim ipi itanifaa?
  3. Nina iPhone 5 nashindwa ku-download WhatsApp nk

    Wakuu msaada hapa. Nimepewa simu na rafiki Ang nashindwa kufanya mambo kiwa mepesi simu yenyewe ni hii. Msaada wenu
  4. iPhone 11 Pro vs iPhone 12 plain

    Wakuu mambo vipii Naombeni mnisaidie majibu kwa wale ambao wameshatumia sim hizi zote mbili,nataka nijue kutoka kwenu sim ipi ni bora kati ya iPhone 12 plain na iPhone 11pro, kuanzia kwenye picha ipi inatoa picha Kal kulko mwenzie na ni ipi performance yake ni nzur kwa matumiz ya Mtanzania...
  5. Nauza iphone 7 plain used ,Dodoma

    Habarini za muda huu wana jukwaa, nauza iphone 7 plain kwa bei ambayo ipo in mint(excellent) conditions kabsa na ina sifa zifuatazo: Iphone 7 plain 32 Gb Ram 4 Battery 100% 280k price, fixed...mawasiliano ni haya 0621599120
  6. Phone4Sale Samsung S10+ or iPhone X plain

    Wakuu inakuaajee Nataka nichukue Mali moja kati ya hizi zote naztaka lakini nataka nichukue moja tu naombeni ushauri ipi nipite nayo kati ya Samsung S10 plus au iPhone X plain S10+ ram 8gb internal 128gb bei ni 400,000 used iPhone X plain ram 4gb internal 64gb bei ni 550,000 used NB...
  7. Samsung S10 vs iPhone 7+

    Wakuu Nina jambo Hapa niwaulizeni hivi kati ya Samsung Galaxy S10 na iphone 7+ Ipi ni sim Kali kuanzia storag ,ram ,camera nk Maana naona hiv vitoto vnashobokea Sana iphone Anyway binafsi Samsung nazchukuliaga ni zakibaba Ila iphone ni za vidada Labda kwanzia 11 kwnda juu hzo n zakibabee Oky...
  8. Je TCRA au Mamlaka ya Tanzania wanaweza kusoma meseji za Whatsapp? Au zile za kawaida kwenye iPhone?

    Great Thinkers, Naomba kufahamu, je mamlaka yetu nchini inaweza kusoma jumbe za whatsapp? Na je zinaweza pia soma texts za sms za kawaida kwenye simu za iPhone? Asanteni.
  9. Copy iphone 14 pro max ninayo

    Jana nimeanza kuitumia simu hiyo ila dosari iliyopo haiwezekani kupiga,kupokea simu,sms wala net. Je, kunanamna ya kuondoa hilo tatizo? Ikumbukwe nilinunua nikijua ni kopi
  10. Phone4Sale Original Gold Iphone 7Plus inauzwa

    Original Gold Iphone 7plus inauzwa Storage 128GB Bei 300,000
  11. Dynamic island feature ambayo ipo kwenye iPhone 14 pro sasa inafanya kazi kwenye android yoyote bila kuwa na usumbufu wa ADs

    App inaitwa dynamic spot hii inawafaa wale wanaopenda kulemba mionekano ya simu zao
  12. Inawezekana kuondoa network lock kwenye iphone?

    Habari wadau, kuna simu ya iphone nataka niinunue kwa mtu kwa hela ndogo ipo network locked ila anaitumia kwa gevey sim, hivi gevey sim haina shida? Na je kama sitaki kutumia gevey inawezekana kui unlock? Asanteni sana.
  13. Je, una utaratibu wa kupongeza rafiki zako? Messi amewazawadia timu ya Argentina iphone 14 za dhahabu kila mmoja kwa kutwaa World Cup 2022

    Messi amenunua simu 35 aina ya iPhone14 za dhahabu na kuwazawadia kikosi cha Timu yake ya Taifa ya Argentina kwa kutwaa Ubingwa wa FIFAWorldCup2022 Inaelezwa kuwa Nyota huyo wa PSG ametumia takriban Tsh. Milioni 409.5 kununua simu hizo, huku 1 ikikadiriwa kugharimu zaidi ya Tsh. Milioni 14...
  14. Google imeanza kuweka sehemu ya Magic Eraser kwa watumiaji wa iOS (iPhone)

    Google imeanza kuweka uwezo wa kufuta vitu na watu kwenye picha. Kwa kawaida feature hii inapatikana bure kwa watumiaji wa Google Pixels 6 na Google Pixel 7. Kwa wiki hii Google imeanza kuweka feature hii bure kwa watumiaji wa iOS ambao wanalipia huduma ya Google One. Huduma hii ya Google One...
  15. 5G itaanza kupatikana kwa watumiaji wa iPhone nchini Tanzania 🇹🇿 katika iOS 16.4

    Apple imeongeza 5G support katika maeneo mbalimbali duniani. Tanzania ni moja kati ya maeneo ambayo sasa watumiaji wa iPhone 12 na kuendelea wanaweza kupata mtandao wa 5G. Kwa ripoti nyingi zinaonyesha baadhi ya maeneo ambayo kwa iOS 16.4 yamepata support ya 5G ni Macau na Uturuki. Lakini kwa...
  16. D

    Nauza iPhone XR

    iPhone XR 128gb clean no problems , True Tone na Face ID . Battery 89% charge full day ni wewe . Price : 500k Reasons for sale : upgrade Ila ni simu nzuri Sana Comes with og usb charge Location : tanga Mjini Dar : Monday First come first served . Sina siasa Pics : i will upload. For...
  17. Phone4Sale Nauza iPhone X

    Habarini wakuu,Nauza iPhone X 256 gb No Face ID BH 82 Bei 380,000 Location tabata Cont:0658 130 630
  18. Vioo vya OEM vya iPhone

    Wakuu katika kutafuta kioo cha iPhone xr online nikakutana na hii Aina mpya ya kioo inaitwa OEM Na bei yake imechangamka kidogo kuliko OLED. Naombeni msaada wa aina ya hicho kioo kabla sijanunua.
  19. Kwa hapa Tanzania simu za Iphone ni za wasichana, tena waliotoka familia maskini

    Hi gentlemen! Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa saloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana. Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha...
  20. Msaada: Jinsi gani naweza update iPhone 8G iwe na IOS 16?

    Mimi si mwenyeji wa iPhone lakini imenitokea kuna baadhi ya emoji sizioni, kuuliza nimeambiwa nifanye update. Nachotaka kujua, Process ya updating inatumia GB ngapi? Naweza tumia simu nyingine kuwasha hotspot au lazima iwe WiFi kama hizi za public? Kwa mfano nikienda restaurant, zoezi zima la...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…