Ndugu zangu nimekuja kwa niaba ya ndugu yangu.
Ndugu yangu(rafiki wa dhati kabisa) kakwama, kanikuta nduguye niko dhohoful hali kiuchumi.
Tatizo hili ni kama langu, mnisaidie ndugu yenu.
Tunauza hiyo simu, imenunuliwa mwaka jana tu.
Hata mtu akitaka kwa bondi zipo simu(hii na s9), tv hata...