Habarini wana jamvi naombeni kujua gharama za kutoa gari aina ya Toyota ist badarini baada ya kuwa nimelipa kodi ya TRA, kuna tozo gani nyingine za ziada na bei zake zikoje?
IST,
YOM: 2004
CC 1290
COLOUR:
silver
Engine iko poa
Some small scratches kwenye body hakuna changamoto zaidi.
karibu tumalize biashara: 0683011003
0683011003
Habari wadau wa jukwaa hili adhimu!.
Gari lenye ujazo mdogo aina ya Ist, Passo na Vits zinatafutwa. Moja kati ya aina hizo tatu linatakiwa liwe katika hali nzuri na usajili uwe T... D... Bajeti million tano. Karibuni. 0715354646
Habari wakuu
Sikuizi naona IST na Vitz nyingi Sana sinauzwa mitaani..
Nina idea ya Biashara kidogo
Idea yenyewe ni hivi
Natafuta watu 5-10 , Ambao tutaandikishana mkataba , ambapo baada ya kuuza gari, ulete gari yako tukufanyie kazi kwa muda wa miaka miwili (2).
Kwa miaka 2, kila siku...
Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Godbless Lema. Ambaye kimsingi ameonyesha uoga na kukimbia nchi yake kuogopa makabiriano ya kisiasa ameibuka na kuwananga watu walionunua IST na VITZ huku wamenyamaza na wameshindwa KUANDAMANA kushinikiza Mbowe kuachiwa.
Yeye kama alinunuliwa v8 na kodi zetu atulie. Sababu kabla ya ubunge...
Jipatie hii gari kwa milioni 10 tu
iko vizuri, full ac, new tyres,
mengineyo njoo ukague gari
Toyota ist
Price...10,000,000
Full...A,c
Full...Ducuments
Year....2005
Cc.....1290
Gar nzur san
0683011003
inapatikana Dar
TOYOTA I.S.T INAUZWA
BEI MIL 7.5
FULL AC
MZIKI MNENE
NEW TYRE&RIM SPORT
CC 1290
ENGINE 2NZ
MWAKA 2005
KM 105000
Mahali iliko: BANANA DAR ES SALAAM..
#CALL 0683011003
apartment
bagamoyo
bei
biashara
eneo
fuso
gari
heka
inauzwa
ist
kawawa
kibamba
kibiashara
kilimanjaro
kinauzwa
kiwanja
kiwanja kinauzwa
kuagiza
kuagiza gari
madale
magari
mbezi
mbezi beach
mkopo
n.k
nauza
nyumba
nyumba kali
nyumba ya kupangisha
plot
shamba
subaru
toyota
uwekezaji
viwanja
yanauzwa
zinauzwa
Salaam Wakuu!
Nimemvua mtu IST yenye CC1500, nimempelekea Fundi aiangalie kama kuna shida, kaniambia hakuna shida matatizo ya kawaida. Ila aliyeniuzia akaniambia haina shida labda tu Service.
Sasa Basi Wataalamu naombeni ushauri natakiwa nifanye Service ya Kipi na kipi lengo ni Kutaka...
Mwenye uzoefu na gari tajwa hapo juu, naomba anitajiechangamoto zake. Nataka kununua miongoni mwa gari hizo. Najua humu wapo wazoefu na ambao wamewahitumia miongoni mwa gari hizo.
Nawasilisha
Title: Enrolment Manager
Category (cf Policy 5.101): Administrative Management and Technical Support
Reports to: School Director
Department: Admissions, Marketing and Communications
Start date: 1 August 2021
IST Foundational Documents
IST Mission: Challenging, inspiring and supporting all our...
Nauza IST mpya kabisa haijasajiliwa na ina cc 1490 ya mwaka 2004 kwa bei ya TZS 12,000,000 ikiwa imejumuisha kodi na gharama za kutolea bandarini. Tuwasiliane kwa namba 0736770052.
Nauza IST mpya kabisa haijasajiliwa na ina cc 1490 ya mwaka 2004 kwa bei ya TZS 12,000,000 ikiwa imejumuisha kodi na gharama za kutolea bandarini. Tuwasiliane kwa namba 0736770052.
Brand: Toyota IST
Year of Manufacture: 2005
Engine capacity: cc 1290
Transmission: Automatic
Price: 6M
Location: Dar es salaam
Mwenye gari anahitaji pesa ya haraka na hakuna udalali. Unaweza kuwasiliana kwa namba 0742555000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.