ist

  1. A

    Ushuru wa kutoa gari aina ya IST bandarini ni bei gani?

    Habarini wana jamvi naombeni kujua gharama za kutoa gari aina ya Toyota ist badarini baada ya kuwa nimelipa kodi ya TRA, kuna tozo gani nyingine za ziada na bei zake zikoje?
  2. Ramon Abbas

    Car4Sale Ist no DNW kwa 9.3mil only

    Gari ni mpya haina changamoto yoyote ile kuanzia gear box.. haijawahi kupata ajali location: dar es salaam, call us 0683011003
  3. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota IST, No D kwa Tsh. milioni 9

    IST, YOM: 2004 CC 1290 COLOUR: silver Engine iko poa Some small scratches kwenye body hakuna changamoto zaidi. karibu tumalize biashara: 0683011003 0683011003
  4. Ramon Abbas

    Car4Sale Hii hapa IST namba DLX kwa Milioni 6.5

    Ipo Dar. Kila kitu kipo sawa haina changamoto yoyote. PIGA SIMU SASA: 0683011003 KWENYE COMMENTS
  5. GwaB

    Gari aina ya Passo Vits na Ist, Moja kati ya hizo inatafutwa

    Habari wadau wa jukwaa hili adhimu!. Gari lenye ujazo mdogo aina ya Ist, Passo na Vits zinatafutwa. Moja kati ya aina hizo tatu linatakiwa liwe katika hali nzuri na usajili uwe T... D... Bajeti million tano. Karibuni. 0715354646
  6. No SQL

    Niuzie Vitz au IST kwa 6 million

    Nahitaji gari nzima ya kuzungukia hapa mjini, mwenye nayo anaweza kunisaidia kwa 6 million. Nipo Dar
  7. Marcel_10

    Kwa wauzaji wa IST, Vitz, Noah

    Habari wakuu Sikuizi naona IST na Vitz nyingi Sana sinauzwa mitaani.. Nina idea ya Biashara kidogo Idea yenyewe ni hivi Natafuta watu 5-10 , Ambao tutaandikishana mkataba , ambapo baada ya kuuza gari, ulete gari yako tukufanyie kazi kwa muda wa miaka miwili (2). Kwa miaka 2, kila siku...
  8. RRONDO

    Nawafikishieni Ujumbe Mnaoendesha IST na Vitz

    Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
  9. N

    Lema awananga wanaodhani kuyapatia maisha na kukalia kimya kukamatwa kwa Mbowe

    Godbless Lema. Ambaye kimsingi ameonyesha uoga na kukimbia nchi yake kuogopa makabiriano ya kisiasa ameibuka na kuwananga watu walionunua IST na VITZ huku wamenyamaza na wameshindwa KUANDAMANA kushinikiza Mbowe kuachiwa. Yeye kama alinunuliwa v8 na kodi zetu atulie. Sababu kabla ya ubunge...
  10. Ramon Abbas

    Car4Sale IST no DUD kwa 10 mil only

    Jipatie hii gari kwa milioni 10 tu iko vizuri, full ac, new tyres, mengineyo njoo ukague gari Toyota ist Price...10,000,000 Full...A,c Full...Ducuments Year....2005 Cc.....1290 Gar nzur san 0683011003 inapatikana Dar
  11. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota IST no DDB

    TOYOTA I.S.T INAUZWA BEI MIL 7.5 FULL AC MZIKI MNENE NEW TYRE&RIM SPORT CC 1290 ENGINE 2NZ MWAKA 2005 KM 105000 Mahali iliko: BANANA DAR ES SALAAM.. #CALL 0683011003
  12. Magari Nusubei

    Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  13. D

    Car4Sale IST for sale

    CC 1290 Year 2005 Price 9.8m (mazungumzo yapo) Call/watsap 0715140001
  14. Ndikwega

    Naomba Kujua Service ya IST

    Salaam Wakuu! Nimemvua mtu IST yenye CC1500, nimempelekea Fundi aiangalie kama kuna shida, kaniambia hakuna shida matatizo ya kawaida. Ila aliyeniuzia akaniambia haina shida labda tu Service. Sasa Basi Wataalamu naombeni ushauri natakiwa nifanye Service ya Kipi na kipi lengo ni Kutaka...
  15. ISACOM

    Mwenye uzoefu na gari hizi: Raum New Model, Suzuki swift, Ist. Anitajie changamoto zake

    Mwenye uzoefu na gari tajwa hapo juu, naomba anitajiechangamoto zake. Nataka kununua miongoni mwa gari hizo. Najua humu wapo wazoefu na ambao wamewahitumia miongoni mwa gari hizo. Nawasilisha
  16. D

    Car4Sale Nauza IST yangu

    CC 1290 Year 2005 In Mint condition Full doc. file Bei 9.8m (maongezi yapo) Watsap 0715140001
  17. Jamii Opportunities

    Enrolment Manager at International School of Tanganyika

    Title: Enrolment Manager Category (cf Policy 5.101): Administrative Management and Technical Support Reports to: School Director Department: Admissions, Marketing and Communications Start date: 1 August 2021 IST Foundational Documents IST Mission: Challenging, inspiring and supporting all our...
  18. Merci

    Car4Sale Gari mpya aina ya IST yenye cc 1490 ya mwaka 2004 inauzwa

    Nauza IST mpya kabisa haijasajiliwa na ina cc 1490 ya mwaka 2004 kwa bei ya TZS 12,000,000 ikiwa imejumuisha kodi na gharama za kutolea bandarini. Tuwasiliane kwa namba 0736770052.
  19. Merci

    IST mpya ya 2004, CC 1490 inauzwa TZS 12,000,000.

    Nauza IST mpya kabisa haijasajiliwa na ina cc 1490 ya mwaka 2004 kwa bei ya TZS 12,000,000 ikiwa imejumuisha kodi na gharama za kutolea bandarini. Tuwasiliane kwa namba 0736770052.
  20. EJM_

    Car4Sale Gari aina ya IST inauzwa

    Brand: Toyota IST Year of Manufacture: 2005 Engine capacity: cc 1290 Transmission: Automatic Price: 6M Location: Dar es salaam Mwenye gari anahitaji pesa ya haraka na hakuna udalali. Unaweza kuwasiliana kwa namba 0742555000
Back
Top Bottom