ist

  1. MagariTanzania

    Car4Sale Toyota IST 2004 Model for sale

    1490cc engine capacity Metallic black color TRD sports version Clean piece PRICE IS 13.8 MILLION TSHS PLUS REGISTRATION CALL/WHATSAPP 0784225000
  2. NewGapi

    Suzuki Jimny 1.3L 2013 Vs Toyota IST 2007

    Habari za muda wakuu, Naomba ushauri juu ya haya magari mawili. Lipi ninunue 1. SUZUKI JIMNY 2013 1.3L, manual transmission. Hii gari ilinunuliwa mpya 0 km, hivyo usajili wake ni no. C. Ilikuwa ni ya shirika moja la kimataifa wao huuza gari likifika miaka 7 au km 70,000 mileage. Hivyo nina...
  3. ribussama

    Car4Sale Nauza Gari aina ya IST

    Habari wadau. Nina gari yangu aina ya IST naiuza. Ipo kwenye hari nzuri sana. Niliagiza ins kama week moja tu lakini nataka nibadilidhe gari nyingine. Bei ni milion 12.5 tu
  4. kikoozi

    Gari aina ya IST inawezaje kunirudishia faida

    Habarini za muda huu wakuu, Katika platform niipendano kabisa hapa duniani ya kwanza ni huu mtandao wa nyumbani tanzania JmaiiForum, nimejifunza vitu vingi sana na kujua mambo mengi sana na kupata msaada mwingi sana kutoka kwa wana jamii wenzangu wa humu ndani, kikubwa ni bando tu. Ngoja niende...
  5. kikoozi

    Twende kazi: Ipi gari kali kati ya "Toyota IST" vs "Toyota Alex"

    Wakuu kama unataka kuvuta chuma ambacho kipo vizuri kwenye barabara kati ya toyota ALEX na IST, ipi ya kununua wakuu? Toyota IST Toyota Alex
  6. Down To Earth

    Car4Sale Toyota IST inauzwa kwa bei nafuu

    Toyota ist Price 7ml Full AC Full documents Year made: 2003 Engine volume: cc 1490 Njoo na fundi wako kagua gari Piga simu 0744033555 Dar es salaam
  7. luangalila

    Kwanini Serikali isiige mfumo wa elimu kama IST?

    Hii shule ni Moja kati ya shule bora katika kuaanda watoto level ya primary. A full Graduate wa shule hii humlinganishi na katoto ka shule yeyote ile hapa Tanzania katika communication skills. Nimefikiria na kujiuliza hivi kwanini serikali isijaribu walau kuiga mfumo wa shule walau katika...
  8. Simbo Godwin

    Car4Sale Nauza Toyota IST No. CTC

    Model: Toyota IST Cc: 1490 Year: 2005 Full ac Location: Kinondoni (Dar) Price: 6,000,000 Contact: 0717599884 Gari ni nimeitumia mwenyewe, kwa atakayevutiwa karibu tuzungumze
  9. Bexb

    Nipe IST namba D ya sh 6.5m

    Habari wadau, nahitaji Toyota IST yenye namba D yoyote ile hata iwe DAA iliyopo Dar. Budget yangu ni Milion 6.5 TU!! Hiyo ndiyo hela iliyopo ni vema likazingatiwa. Kama unalo hilo gari nicheki whatsapp kwa namba 0755963775
  10. Mangi wa Rombo

    Car4Sale Toyota IST namba DDE, 2005 Model inauzwa

    Habari wakuu! Nauza gari yangu mwenyewe, Make: TOYOTA, Model: IST, Year: 2005, Transition: Automatic, Engine CC: 1290, Engine type: VVT-i, Milleage: 81,900KM. Sport Rims, New Tires zimefungwa December 2020. Radio, Bluetooth Bei 7,500,000 TZS Bima kubwa hadi October 2021. Gari imetunzwa vizuri...
  11. S

    Car4Sale IST inauzwa bei 6.5M

    Silver Cc 1290 Km 175,000 Mwaka 2005 Posta/kigamboni Haina DOSARI YEYOTE Mazungumzo yapo 0745321705
  12. D

    Toyota IST... ikiwa kwenye silencer, unasikika mlio wa 'kugonga

    Wataalaamu wa magari, Sikiliza audio ya silencer kama nilivyoirekodi kwenye engine ya Toyota IST. Kuna mlio wa 'kugonga' hivi kwenye engine. Asubuhi napowasha gari hamna shida, silencer inakuwa normal and smooth. Lakini jioni au usiku naposimama na kuweka 'P', silencer inakuwa inasikika hivyo...
  13. D

    Toyota IST: Too stiff suspension and bumpy ride. Je kuna softer/ luxurious Springs & Shock-ups for IST?

    Hizi beby walkers ni kavu mno wandugu. Kuna namna yoyote (mechanically) ya kufanya ili kuboresha ride quality kwenye Toyota IST? Kwenye suspension system. Hizi gari ni kavu mno kuendesha kwenye rough road. Their ride is too bumpy and too stiff!!! Je, kuna suspension system ambayo ni softer &...
  14. kayanda01

    Switching from Toyota IST to VW polo/golf... Ushauri wako please

    Kipato cha chini... ila IST nimeweza kuimudu vyema service & maitanance. IST ndo gari yangu ya kwanza kumiliki, ni mwaka mmoja sasa. Napenda speed, and stability matters a lot!! Ni mtu wa long trips mara kwa mara. IST NCP61 cc 1490 kwa town trips ni full enjoyment, ila kwa masafa marefu hizi...
  15. sanalii

    Milioni 22 ninunue gari ninayoipenda au nichukue IST kwanza? Sijawahi kumiliki gari

    Naomba wajuzi mniambie, kuna jamaa wanasema nichukue IST kwa ajiri ya kupata uzoefu wa magari kwanza
  16. Bexb

    Nipeni IST ya 5ml

    Habari wakulungwa, nahitaji IST namba C. Iwe nzima Iwe na documents zote Hela mfuko wa shati Iwe Dar 0755963775 WhatsApp only
  17. J

    Je, Toyota IST itanifaa kwa urefu wangu wa 6. 1 feet?

    Habari za saa hizi members wa forum ya magari. Najua humu kuna wazoefu wa Gari aina ya Ist. Ndio gari yangu ya kwanza nnayotaka kuinunua kwa sababu tatu. I. Utumiaji mdogo wa mafuta (nachukua yenye cylinder ya 1300) II. Nimeambiwa Haichemshi kwa safari za Dar - Moshi. III. Upatikanaji...
  18. E

    Kati ya Toyota Brevis na IST ipi inaweza kuishi miaka mingi?

    Ukiitaja tu Toyota Brevis kila mtu atakwambia hill ni jini. Linakunywa mafuta mengi, vipuri vyake bei juu na havipatikani kwa urahisi. Atakushauri ununue IST au magari mengine madogo. Sasa naomba msaada wenu ipi ni gari ina weza kudumu muda mrefu kama zote zitapata matunzo sawa?
  19. magnifico

    Ramadhan Kabwili: “Simba walinifuata, nitafute kadi ya njano, wanipe IST mpya”

    ”Simba walinifuata, nitafute kadi ya njano, wanipe IST mpya”, hayo ni maneno ya mlinda mlango wa klabu ya Yanga, Ramadhan Kabwili ambapo amesema kuwa uongozi wa Klabu ya Simba umewahi kumlaghai ukimtaka atafute kadi ili asiweze kucheza katika mchezo wa watani wa jadi na kimuahidi akifanya hivyo...
  20. W

    IST ina tatizo la coolant kutorudi kwenye rejeta kutoka kwenye reserve tank

    Habari Wakuu! Naomba msaada wa kiufundi kwa IST kutorejesha coolant kwenye rejeta kutoka kwenye reserve tank ambayo imekuwa ikimwagika baada ya kujaa. Nimejaribu kubadilisha kifuniko cha rejeta lakini tatizo bado linaendelea.
Back
Top Bottom