Sio siri tena kuwa kuna combination ya Zitto na January kwenye wizara ya nishati.
January aliteuliwa kuwa waziri wa nishati, zitto alisema ni teuzi nzuri na sasa tutashuhudia mabadiliko makubwa sana ya nishati nchini ambayo hatukuwahi kuyaona.
January aliunda bodi mpya ambayo wengi waliona...