jicho

Jichō Kachō (次長課長) is a Japanese comedy unit (kombi) consisting of two comedians (お笑い芸人, owarai geinin), Jun'ichi Kōmoto (河本準一) and Satoshi Inoue (井上聡). Sometimes also known as Jikachō (次課長), they are one of the most popular owarai kombi coming from Yoshimoto Kōgyō in Tokyo. Their name literally means "Vice manager, Section manager", and is a reference to the titles of two visitors at the bar in which they were working part-time before they were discovered by Yoshimoto. They were originally a three-man group with the name Jichō Kachō Shachō (次長課長社長), or "Vice Manager, Section Manager, President", but after the third member of the group left, the name was reduced to its current version.
Kōmoto is the boke of the duo, and the much quieter Inoue is the tsukkomi. Both comedians are natives of Okayama. Inoue has a reputation among owarai geinin for being handsome, and he has scored high on Yoshimoto's "handsomest geinin ranking" for the last five years. Kōmoto is most famous for his strange faces and high-pitched character voices, although he is also a very talented singer, and is well respected by other owarai geinin for his skills. He is often heard squealing the line "From me you get no tanmen!" (お前に食わせるタンメンはねぇ!, Omae ni kuwaseru tanmen wa nee!). In March 2003, Kōmoto married Naomi Shigemoto (former Osaka Performance Doll member), and they now have a son.
Kōmoto appeared in the NTV drama, 14-year-old Mother, playing the uncle of the 14-year-old pregnant girl. He is currently active in the idol group Yoshimotozaka46.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Balozi wa Iran Lebanon apoteza jicho moja kwenye mlipuko, jicho lingine lajeruhiwa vibaya, apelekwa Iran Kwa matibabu

    Wadau hamjamboni nyote? Balozi huyo nayeye alikuwa na karedio kamasiliano yaani pager na kilipobipu kwa takribani sekunde 10 akakisogeza usoni Ili asome ujumbe na Mlipuko ukatokea na kuondoka na jicho lake Taarifa kamili hapo chini: Hassan Ammar) Mojtaba Amani, the Iranian ambassador to...
  2. Chief Ortambo Ikumenye

    Jicho la Kifalsafa: Kinachotokea Tanzania ni "Consolidation of powers" and "Judgement Errors"

    Huu ni mtizamo binafsi na hisia za kifalsafa juu ya vitendo vya utekaji na mauaji nchini. Kwa hulka ya mwanadamu pindi anapopata nguvu fulani iwe ya kibiashara, kisiasa, kidini, kimichezo n.k nguvu hiyo huambatana na mambo mengi ya neema kama umaarufu na kujulikana ambavyo havijawahi kutokuacha...
  3. Manyanza

    Jicho la tatu

    Imeandaliwa na kuandikwa na Dokta Dotto Aliko 🗣️Tuna macho mawili ambayo Ni macho ya uongo fake eyes, lakini pia tuna jicho moja ambalo ndiyo jicho la kweli true eyes, Hivyo tuna macho matatu lakini mawili Ni ya uongo na moja Ni la ukweli nalo siyo lingine Ila Ni lile lililopo Kati Kati yaa...
  4. S

    Jicho la tatu: Tundu Lissu kuwa makini, huenda kuna jambo linapangwa dhidi yako na usidhani anakukubali

    Bi. Mkubwa akiwa huko kwao, katumia jina lako kwa namna ambayo inaweza kuonekana ni ama kukutania au kukupa heshima fulani au anaku-admire. Binafsi, nakushauri uwe makini sana huenda hii ni hadaa tu ili watapofanya yao, basi yeye asihusishwe kwasababu ameonekana kukubali kumbe wana agenda...
  5. S

    SERIKALI ITUPIE JICHO WIZARA TATU:-KILIMO, MADINI NA NISHATI ROSTAM AZIZ YUMO.

    Umakini unahitajika wizara Tatu, upigaji wa Rostam Aziz na kutumia picha alizopiga na Rais kutisha wawekezaji wazawa. (1). Wizara ya Kilimo, wizara hii sitashangaa na sikushangaa sakata la sukari na makarate ya kugawa vibali vya kuagiza Sukari na kampuni za simu, stationery nk Waziri wa kilimo...
  6. JanguKamaJangu

    Wakili Komba asema "Kwa jicho la kawaida ushahidi wa video unaonekana unatosha kuwatia hatiani 'Waliotumwa na Afande'

    MTAZAMO WANGU WA KISHERIA BAADA YA KUWEPO MAWAKILI WA UTETEZI WA KESI YA UBAKAJI NA ULAWITI KWA BINTI WA YOMBO DOVYA. ITAKUWA KESI NGUMU KWA JAMHURI KUTHIBITISHA BILA SHAKA YOYOTE ILI WASHITAKIWA WATIWE HATIANI:- 1. Je, binti aliyebakwa na kulawitiwa anawatambua washitakiwa wote wanne...
  7. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Simba SC na wa wana Simba SC wote tafadhali tuwaangalieni kwa Jicho la Umakini sana hawa akina Ommy Dimpozi na Hamisa Mobeto

    Mimi binafsi hata iweje kwa kujijua Kwangu ni mwana Simba SC kamwe siwezi kuwa na Ukaribu wa Mashirikiano ya aina yoyote yale na Mtu wa Yanga SC. Sasa inakuwaje Watu kama akina Ommy Dimpoz na Hamisa Mobeto ambao hadi naambiwa hata huwa na Ukaribu na Watu muhimu tu na wakubwa ndani ya Simba SC...
  8. GENTAMYCINE

    Nimemtizama huyu sijui Lameck Lawi kwa Jicho langu la Kiufundi sijaona na nasikitika kuona Simba SC yangu walimtaka na bado tu wanamtaka

    Nadhani sasa ifike muda Viongozi wa Simba SC muanze Kuutumia sana huu Mtandao wa JamiiForums ambapo wana Simba SC wote wenye Akili Kubwa na tunaoujua Mpira kwa Kuucheza kwa Viwango vyetu na Kuuchambua ili muwe mnachukua na kufanyia Kazi mawazo yetu. Hivi Uongozi wa Simba SC kabisa kabisa huyu...
  9. T

    Jicho la Tatu: Upo uwezekano Rais anashauriwa vibaya

    Sina nia yakubeza au sema vibaya ila kwa sasa ni dhahiri shahiri kiongozi wetu anashauriwa vibaya. Tuanze na sakata la dollars kukosekana jamaa walimvika ubaya alie mwachia kiti manikins ya Mungu wakalipa mafidia na nakuachia uru sects ya fx wajanja wakakomba nakuzipeleka kusiko julikana Leo...
  10. Mhafidhina07

    Kesi za kijinai/madai dhidi ya wanawake ziangaliwe kwa jicho la 3, la sivyo tutahukumu wasio na hatia

    Gender balance Ni mtizamo au mfumo wa kuweka usawa wa kijinsia..kwa sasa dunia ipo katika kuchukua affirmative action kuitetea jinsia kwa kuamini kuleta usawa wa kijinsia lakini inaonekana ni silaha kubwa dhidi ya watu wenye ushawishi wa kifedha,kisera/siasa au kijamii ikiwa wataenda kinyume...
  11. LA7

    Naomba serikali itazame kwa jicho la tatu elimu kuhusu utengenezaji wa Simu

    Kuna vijana wengi wamejiajiri kwenye kazi ya ufundi simu Ila Kati ya 20 waweza pata mmoja tu ndo anaelewa kidogo kuhusu simu walio Baki ni kuchoma maiki tu na kubadili vioo kwani hata kubadili port ya kuchajishia wengi hawajui vizuri jinsi ya kuifanya iwe strong, sio mteja anatumia mwezi tu Ina...
  12. Etugrul Bey

    Jicho langu katika teuzi za Viongozi

    Huko miaka ya nyuma viongozi walikuwa wanachaguliwa kutokana na mafunzo ya uongozi waliyo yapata kutoka katika vyuo husika,,mfano husika ni kile Chuo cha CCM Kivukoni. Huko viongozi walikuwa wanapikwa na kuiva haswa na kuwa tayari kuihudumia jamii,walikuwa wamelelewa katika maadili ya uongozi...
  13. Mkalukungone mwamba

    Jicho langu: Tabora walinyimwa goli halali kama la Aziz Ki

    Jicho langu:Tabora walinyimwa goli halali kama la Aziz Ki Klabu ya Tabora united katika mchezo wa jana walinyimwa goli la halali katika mchezo wao waligi kuu ya NBCPL waliocheza na Simba katika Dimba la Azam Complex Chamazi na Simba kuibuka kwa ushindi wa magoli mawili. Kwa Jicho langu la...
  14. GoldDhahabu

    Mwandishi gani wa habari Tanzania ni wa kariba ya Mohammed Ali wa Jicho Pevu Kenya Rd?

    Kwa sasa ni Mbunge wa Nyali huko Mombasa. Kabla ya kujikuta kwenye siasa, alikuwa ni Mwandishi machachari wa habari za kichunguzi zilizokuwa zikirushwa katika kipindi kilichopata umaarufu mkubwa kilichojulukana kwa jina la JICHO PEVU, na kurushwa na moja ya vituo vya runinga nchini Kenya. Kwa...
  15. H

    Ubaguzi na dharau uko kila sehemu, unahitaji jicho la tatu kuona mambo

    Wengi tunadhani ubaguzi ni wa rangi tu, hapana kuna ubaguzi wa nchi kubaguliwa bila kujali rangi zao. Mimi nataka kuongelea Tanzania tu. Nchi yetu kuna matabaka tofauti, Mswahili, mwaarabu. Indian na mpaka wasomali lakini sote ni wa Tanzania. Kuna jambo mimi muda mrefu limekuwa linanikera sana...
  16. Mpigania uhuru wa pili

    Pre GE2025 Kwa jicho la mbali, Makonda alikuwa anajijenga yeye na sio chama

    Rais Samia amemtua Paul Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha baada ya kudumu kwa kipindi kifupi sana kwenye uenezi na itikadi. Wako waliokuwa wanamaifia Makonda sana ni haki yao ila ukweli ni kwamba vigogo wa CCM na mtu yeyote mwenye upeo mkubwa walishaona Makonda anajijenga yeye kwa kupitia...
  17. James_patrick_

    Hizi ligi za mabasi zisipodhibitiwa zitaendelea kuua ndugu zetu

    Hivi huwa najiuliza mkuu wa latra huwa anapataje usingizi ikiwa kila kukicha ajali za mabasi ya abiria zinazidi kuongezeka? Ameshindwa kutafuta suluhisho kweli? Mabasi yote yafungwe camera ambazo zitakuwa zinafatilia mienendo yote ya madereva waoshindana uku wakiwa wamebeba roho za watu...
  18. D

    DOKEZO Rais Samia tupia jicho Wizara ya Ardhi Kanda ya Dar es Salaam, unahujumiwa

    Kwanza Kabisa nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya ya kuwaletea Maendeleo wananchi wako wewe Binafsi Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan bila kujali ni kwa kiasi gani unaangushwa na baadhi ya wasaidizi wako. Sasa sikia haya na uyafanyie kazi. Miezi kadhaa iliyopita Waziri wa Ardhi Nyumba na...
  19. S

    Pre GE2025 Tafakuri ya kauli ya CDF kuhusu mkimbizi kupewa uteuzi

    Kwanini CDF atoe ushauri kuhusu suala hili kwa mhe rais hadaharani? Kuna mtu anatafutwa kisiasa? Ndiyo! Kuna mfukunyuku amenipa hint kwamba yule mtu wa watu ambaye mara nyingi hupata ajali za kiafya ndiye target ktk hili. Sababu kubwa ni kwamba mama mwenye nyumba anamhofia sana ktk mbio za...
  20. Dr Matola PhD

    Hivi ni kweli wataalam wa Tiba Asili nao wameshindwa kupata Tiba ya mtoto wa jicho?

    Hospital hakuna Tiba ya cataract zaidi ya upasuwaji je wataalam wa miti shamba nao ugonjwa huu umewashinda?
Back
Top Bottom