Hello ,
Leo tuongelee mbinu za kushawishi watu.
Hizi nlizisomaga kwny kitabu fulan miaka imepita..Lakini zimenisaidia sana kwa kujua au kutokujua.
Nakuomba nishee na wewe pia.
Ushawishi huu unaweza kuutumia popote iwe ni mahusiano ya kawaida, mapenzi, kazini, biashara, urafiki nk. Yani...