jukwaa

Jukwaa, also known as Dwokwaa, is a town in the Central Region of Ghana. It is the traditional capital of the people of Denkyira and is located in the Twifo-Ati Mokwa District in the Central Region. The Jukwa Senior High School is found in this town.

View More On Wikipedia.org
  1. SOCIOLOGISTTZ

    Jukwaa la Wakubwa liko wapi?

    Nimekaa muda bila kuingia huku JF, Nauliza lile jukwaa LA Wakubwa liko wapi??
  2. Erythrocyte

    Jukwaa la Katiba lalaani kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA huko Mwanza

    Huu hapa ndio ujumbe wao
  3. osmaney

    Tangu Ujiunge JamiiForums ni Jukwaa Gani Mpaka Leo Hujawai Kuingia?

    Habari wanaJf.. Poleni na harakati za kutafuta maisha na hongereni sana kwa utafutaji. MUNGU azidi kubariki juhudi zenu mnazoonesha. Kama mada inavyojieleza pale juu, naomba nisizunguke saana. nisije nikawachosha. Unataja jukwaa na sababu zipi zinakufanya usiingie. karibuni sana[emoji116]
  4. J

    Jukwaa la Wahariri ni sawa na Bunge au Mahakama?

    Kitendo cha Balile kulifananisha Jukwaa la Wahariri na Bunge au Mahakama linafikirisha sana. Yaani kweli Bunge tukufu ndio la kufananishwa na Jukwaa la Wahariri? Yaani kwa sababu bunge linapewa fedha na serikali za kujiendesha? Kwamba kwa sababu bunge halina vyanzo vyake vya mapato basi nao...
  5. luangalila

    Jukwaa la Wahariri Tanzania linajadili Budget 2021/2022

    Wadau ni takribani miaka sita sikusikia hili jukwaa likitia neno u kujadili ISSUES ndani ya TZ, ila leo naona ITV wamewapa nafasi jukwaa hili katika kujadili bajeti ya Serikali ya Awamu ya 6. Embu tupieni jicho muwaone akina Majura, Meena, n.k
  6. B

    Rais Samia aliposema atateua vijana naona amewaibua vijana wa CCM kila kona wanashambulia jukwaa waonekane

    Tumejenga Taifa la watu wa ajabu sana. Ni siku tatu toka vijana waahidiwe ajira za DC, DAS na DED zilizotangazwa na Mhe. Rais. Baada tu ya tangazo lile vijana wa chama Cha mapinduzi wameibuka kila Kona ya nchi kutoa matamko na kukemea baadhi ya vitu Jambo ambalo awali kabla ya kauli ya Rais...
  7. Lolen 2

    Hodi wana jukwaa

    Hodi Wana JamiiForums
  8. J

    Eid Mubarak Jukwaa la Siasa!

    Nawatakia Sikukuu ya Eid El Fitr yenye baraka na furaha wanajukwaa wote wa hapa Siasani. Eid Mubarak!
  9. Sam Gidori

    Trump afungua jukwaa lake la mawasiliano

    Aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump ameanzisha tovuti yake ya mawasiliano kwa lengo la kuchapisha taarifa “moja kwa moja kutoka mezani kwake.” Trump, ambaye alifungiwa katika mitandao ya kijamii kwa kudaiwa kuchochea vurugu katika Jengo la Bunge la Marekani Januari 6 mwaka huu, anatumia...
  10. Invisible

    TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

    Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF. Tunafahamu kuna ambao...
Back
Top Bottom