jukwaa

Jukwaa, also known as Dwokwaa, is a town in the Central Region of Ghana. It is the traditional capital of the people of Denkyira and is located in the Twifo-Ati Mokwa District in the Central Region. The Jukwa Senior High School is found in this town.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Nikifanya kazi za kuzoa taka halmashauri sitapata hasara

    Kuna hizi kazi za tenda wanatangaza sana halmashauri, ya kufanya usafi na kuzoa taka ngumu na kwenda kutupa dampo. Kazi hii kiuhalisia sio ngumu lakini ugumu unakuja kwenye malipo yaani wanataka pia ukusanye ushuru wa taka na 30% ulipe halmashauri inayobaki ya kwako, issue ngumu hapa ni kudeli...
  2. abdulazizi4172

    Tuliokuwa na ndoto za Udaktari tukawa Walimu, tukutane hapa

    Wale PCB's waliokuwa na ndoto za MD halafu tukajikuta ni walimu tukutane hapa kujadili kilichotufelisha wenzetu wajifunze
  3. jebs2002

    Tufahamishane maneno ya lugha za kigeni yanayotumika katika lugha ya Kiswahili

    Ebu tuyaweke maneno mblimbali humu tunayoyajuwa na yanatumika kwenye Kiswahili. Mfano Rais la kiarabu Shukrani tena kiarabu Tuendelee...
  4. M

    Polepole washamjulia kelele zote ni njaa! Wakati wa jukwaa la Katiba akatupwa kwenye Bunge la Katiba, na Wakati wa kelele za "wahuni" katupwa Ubalozi

    Inaelekea komredi Polepole Washamjulia!! Akiwa na njaa hupiga Sana makelele ya "uzalendo" kisa ni kuwatikisa wakubwa wamkumbuke. Wanaokumbuka makelele ya Polepole kwenye vuguvugu la kudai katiba mpya akiwa moto wa kuotea mbali enzi za jukwaa la katiba. Mzee wa msoga kamchekiii kaona hamna...
  5. Mia saba

    Ninaomba msaada wa kimawazo wa kozi bora ya sayansi

    Habar yako usomaye Uzi huu matumaini uko sawa. Nirejee kwenye Uzi Niko na mdogo wangu wa kike Yuko good mno kiakili binafsi namkubali Sasa alifaulu form 6 pcb 2021 kwa 2.10 Sasa lengo lake lilikuwa MD Ila ikigoma sababu ya cutpoints kusababishwa hata kozi baadhi za afya alizoomba...
  6. Ofisho mlinzi

    Ili niweze kuonesha michezo inahitajika mtaji wa Tsh ngapi?

    Naona ni fursa ya kujiajiri kupitia kutoa huduma ya kuonyesha mpira, masumbwi, tamthilia pamoja na michezo mingine pia hata matukio mbalimbali, Je mchanganuo wa mtaji wake upoje?
  7. Ofisho mlinzi

    Naomba kujua mwongozo wa uvunaji maliasili

    Naomba kujua mwongozo wa uvunaji mali asili miti katika shamba ninalomiki kisheria (inapokua imepoteza sifa za utoaji mazao kama miembe na kadhalika)
  8. Akabi kemanya

    Habari wana jukwaa nitangulize shukurani zangu za dhati

    Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mimi kijana wa kitanzania kupitia ukurasa huu nilipata mchumba aitwae _ _ jina naliweka kapuni maana ni maalum kwangu tu, hakika mwanzo sikuamini kama kupitia jukwaa hili unaweza kupta mchumba au marafiki Rakini leo naomba nithibitishe kuwa jukwaa hili...
  9. L

    Michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi ya Beijing yawa jukwaa la kuonyesha uvumbuzi wa teknolojia ya China

    Tovuti ya gazeti la Marekani “Los Angeles Times” tarehe 19 mwezi huu iliripoti kuwa vifaa vya kisasa vya kiteknolojia kwenye Michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi ya Beijing vinawavutia watu wengi duniani, ikiwa ni pamoja na mgahawa unaotoa huduma wenyewe, roboti ya usimamizi kwenye hoteli na...
  10. OKW BOBAN SUNZU

    Hili jukwaa ni lenu wanandugu, msitufiche vitu

    Kwa ufupi sana Humu jukwaani kuna mchanganyiko wa matukio. Kuna matukio ya aibu, ya kutendwa na stori nzuri za kuhamasisha. Shida inakuja kwenye matukio mabaya ima ya aibu au ya kutendwa. Wadau wengi wakiandika matukio haya hujifanya kama ni tukio lisilomuhusu, yaani limemtokea jamaa yake au...
  11. OKW BOBAN SUNZU

    Hili jukwaa ni lenu wanandugu, msitufiche vitu

    Kwa ufupi sana Humu jukwaani kuna mchanganyiko wa matukio. Kuna matukio ya aibu,ya kutendwa na stori nzuri za kuhamasisha. Shida inakuja kwenye matukio mabaya ima ya aibu au ya kutendwa. Wadau wengi wakiandika matukio haya hujifanya kama ni tukio lisilomuhusu,yaani limemtokea jamaa yake au mtu...
  12. Crocodiletooth

    Tuchangamshe jukwaa kidogo,kwa hadithi za kichawi

    Endapo upo ndani ya chumba au nyumba yako,nyakati za usiku ukawa unahisi maluwe luwe as if kuna mtu kaingia ndani but you don't see anything lakini timbwili zinazidi Fanya hivi kesho yake,japo ni hatari sana endapo muhusika atakuwa ni ndg yako - Fagia chumba vizuri sana kila pembe kusanya taka...
  13. Mario Kempes

    Tuma salamu za Mwaka Mpya 2022 kwa members watatu wa jukwaa hili la michezo

    Mimi nawatakia heri ya mwaka mpya members wafuatao 1.Gentamycine 2.Scars 3.Renzo barbera
  14. Idugunde

    Bavicha kwenda uwanja wa Mkapa huku mmevalia rangi nyekundu ni wazi kuwa mliwabagua Yanga, kwa mantiki hii mnadhihirisha CHADEMA ni wabaguzi

    Kwa nini msivae rangi nyeupe? Hii ni wazi kuwa hata kura za wanaYanga hamzitaki huko mbeleni.
  15. Mtoto wa nzi

    Nafasi za ajira za mkataba Halmashauri ya wilaya ya Kwimba

    Wataalamu wanahitajika ..ni vita mwenye uwezo pambaneni ...
  16. Mchochezi

    Nani amelitendea haki Jukwaa la Michezo kwa mwaka 2021?

    Leo ni Desemba Mosi, tumeingia mwezi wa mwisho kwa mwaka huu! Ni member gani amenogesha zaidi jukwaa hili kwa mwaka huu? Karibuni
  17. G

    Jukwaa la walimu wanaofanya kwazi mkoa wa kilimanjaro

    habari, nimewaza nikaona uhitaji mkubwa wa walimu wa nje ya mkoa wa kilimanjaro wanaotaka wa kubadilishana nao ndani ya mkoa wa kilimanjaro, na waliopo ndani ya mkoa wa kilimanjaro wanataka kutoka nje ya mkoa wa kilimanjaro. . Kama wewe ni mwalimu au unaukaribu na mwalimu aliepo mkoani...
  18. P

    Nafurahi Sana kuwa miongoni mwa wanafamilia wa hili jukwaa!

    Wasalaam wanajukwaa! Nimekuwa msomaji mkubwa katika hili jukwaa, Ila nimeona ni vema nikawa Mwanafamilia mwenzenu Rasmi. Naombeni ushirikiano. Natanguliza shukurani!!
  19. Suley2019

    Rais Samia awa mgeni rasmi katika Mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO) Dodoma

    Rais Samia: Nakushukuru Waziri wa Maendeleo ya Afya, Jinsia, Wazee na Watoto pamoja na Uongozi wa baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali kwa kunialika kwenye mkutano huu wa mwaka wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali nataka nikiri kuwa nimefurahi sana kushiriki katika mkutano huu. Rais Samia...
  20. Sol de Mayo

    Uyanga na Usimba umepoteza ladha ya hili jukwaa

    Habarini Wadau! Hili jukwaa limevamiwa, uyanga na usimba umetawala na kupoteza ladha ya jukwaa la sport. Kila siku yanga na simba, mara oh Manara, gsm, mo n.k. Ukiingia tu jukwaa la (Sport) lazima ukutane na matapishi ya UYA na USI, mwanzo mwisho, ni nadra muno kukutana na International sports...
Back
Top Bottom