kamala harris

Kamala Devi Harris ( (listen) KAH-mə-lə DAY-vee; born October 20, 1964) is an American politician and attorney who is the 49th and current vice president of the United States. She is the first female vice president and the highest-ranking female official in U.S. history, as well as the first African American and first Asian American vice president.A member of the Democratic Party, she served as a United States senator from California from 2017 to 2021, and as the attorney general of California from 2011 to 2017. Harris became vice president upon inauguration in January 2021 alongside President Joe Biden, having defeated the incumbent president, Donald Trump, and vice president, Mike Pence, in the 2020 election.
Born in Oakland, California, Harris graduated from Howard University and the University of California, Hastings College of the Law. She began her career in the Alameda County District Attorney's Office, before being recruited to the San Francisco District Attorney's Office and later the City Attorney of San Francisco's office. In 2003, she was elected district attorney of San Francisco. She was elected Attorney General of California in 2010 and re-elected in 2014. Harris served as the junior United States senator from California from 2017 to 2021. Harris defeated Loretta Sanchez in the 2016 Senate election to become the second African American woman and the first South Asian American to serve in the United States Senate. As a senator, she advocated for healthcare reform, federal de-scheduling of cannabis, a path to citizenship for undocumented immigrants, the DREAM Act, a ban on assault weapons, and progressive tax reform. She gained a national profile for her pointed questioning of Trump administration officials during Senate hearings, including Trump's second Supreme Court nominee Brett Kavanaugh, who was accused of sexual assault.Harris sought the 2020 Democratic presidential nomination, but withdrew from the race prior to the primaries. Biden selected her as his running mate in August 2020, and their ticket went on to win the general election in November. She assumed office as vice president of the United States on January 20, 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. Simao Latino

    Polisi Tanzania hawajui "Modern Policing??" Hawakuomba radhi ujio wa Kamala Harris. Hawajaomba radhi ujio wa Marais wa Afrika...

    Eti wakuu, alipokuja makamu wa Rais wa Marekani si mnakumbuka jinsi barabara zilivyofungwa na watanzania kupata bughudha ya usafiri pamoja na adha nyingine. Nilitegemea Jeshi la Polisi wangetoa statement ya kuwaomba radhi watanzania kwa usumbufu wowote uliojitokeza, ila ikawa kimyaaaaa. Juzi...
  2. econonist

    Kamala aacha Deni la bilioni 5 Tshs kwenye Kampeni ya urais

    Pamoja na kutumia matrilioni ya fedha kwenye kampeni zake, mgombea wa urais Kamala Harris ameacha Deni la Tshs Bilioni 5. Kiasi kikubwa kilikopwa kwaajili ya kulipia watu maarufu waweze kumpigia kampeni Kamala na kuvutia mashabiki wao wamchague Kamala. Mfano, Oprah Winfrey, Eminem, Usher, Taylor...
  3. G

    Marekani kuna wizi wa kura, vitambulisho haviruhusiwi kupiga kura kwenye majimbo ya Democrats, Ni Majimbo pekee aliyoshindwa Trump.

    hadi Marekani wanaojinadi ni wakuu wa Demokrasia haya mambo yapo Majimbo mekundu alikoshinda Trump ID zinahitajika, Majimbo ya Blue alikoshinda Kamala ID hazihitajiki, kama zinahitajika zisiwe na picha NON PHOTO ID - Mpiga kura anahitaji nyaraka yoyote isiyo na picha kuthibitisha utambulisho...
  4. Richard

    Uchambuzi: Uchaguzi wa Marekani, Kamala Harris alikuwa kama yuko kwenye semina lakini Donald Trump alikuwa kama yuko kiwandani akipiga kazi

    Uchaguzi wa Marekani umetoa majibu kwamba raisi ajaye ni Donald Trump akiwa raisi wa 47 wa nchi hiyo lakini pia akirudi kutawala taifa hilo kubwa duniani kwa ushindi wa kishindo. Donald Trump alikuwa raisi wa Marekani kwa muhula mmoja toka mwaka 2016 hadi mwaka 2020 aliposhindwa na raisi Joe...
  5. ChoiceVariable

    Obama anajaribu kumjenga kisiasa mkewe ili aje Kugombea Urais Baada ya Trump. Je, naye atapitia tanuru la akina Hilary na Kamala?

    My Take: Democrats wanajenga Majina ya watu binafsi badala ya chama. 👇👇 ====== Over the last few weeks and through Election Day, millions of Americans cast their votes – not just for president, but for leaders at every level. Now the results are in, and we want to congratulate President Trump...
  6. B

    Kamala Harris akiangukia pua, waliopanga kumtia adabu waangusha tafrija!

    Hii inaitwa kazi tuliyojituma tumeimaliza: Kwamba hakusikiliza: Ama hakika mission accomplished somo bayana kwa wasaka kura kokote: "Mwenye nchi, mwananchi!"
  7. Waufukweni

    Kamala Harris ampigia simu Rais Trump kumpongeza na kukubali matokeo ya uchaguzi

    Makamu wa Rais wa Marekani ambaye alikuwa Mgombea Urais wa Marekani 2024 aliyeshindwa dhidi ya Rais Mteule Donald Trump, amempigia simu Trump na kumpongeza kwa ushindi kitendo kinachoashiria amekubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi. Pia, Soma: • Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024...
  8. Ileje

    Pamoja na Kamala Harris kutumia wasanii wakubwa wote wa Marekani bado ameangukia pua!

    Hili ni funzo kwa CCM kuwa pamoja na kuwarubuni wasanii wote kuwa machawa kipigo kipo pale pale! Mara festival ya mama, mara marathon ya mama, mara madaktari wa mama nk nk! Wananchi wamemchoka na hawamtaki!
  9. Damaso

    Kamala hatokwenda kwenye mkutano wake Chuo Kikuu cha Howard

    Tarehe 30 Oktoba 2024 kituo cha habari cha NPR, kiliweka wazi kuwa Harris atatumia usiku wa uchaguzi katika Chuo Kikuu cha Howard, HBCU ambayo ni mahali palipo na mchango mkubwa katika kumtengeneza kuwa kiongozi. Makamu wa Rais Harris atatumia usiku wa uchaguzi katika chuo kikuu cha Howard...
  10. jingalao

    Je, unadhani Vyombo vya Habari Tanzania vimeshanunuliwa kumpigia chapuo Kamala Harris?

    Kwa uzoefu wangu mdogo vyombo vya habari havitoi habari zao hivi hivi tu bali hupookea fedha ili kuirusha habari flani. Katika muda wa saa 48 zilizopita uchambuzi wangu unaonesha kuwa kuna ishara kuwa baadhi ya vyombo vya habari vikubwa hapa nchini vimeanza kutuweka tayari kwa muelekeo wa...
  11. Zanzibar-ASP

    Wanawake, waarabu, waislamu na wahamiaji wanaelekea kumpa Kamala Harris urais wa USA!

    Amini au usiamini, kuna kila dalili kuwa huenda makundi ya wanawake, waarabu, waislamu na wahamiaji wanaelekea kumpa Kamala Harris urais wa USA kirahisi kabisa. H Haya ndio maoni ya wachambuzi wengi wa siasa za USA katika muda wa mwisho kabisa kuelekea kupigwa kwa kura za mwisho siku ya kesho...
  12. B

    Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!

    Kwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka. Ndiyo hivyo tena. Majuto ni mjukuu.
  13. Yoda

    Tulidanganywa sana kuhusu vidole viwili vilivyokunjuliwa hewani kuwa ni alama ya Shetani-Freemason!

    Tukiwa wadogo kulikuwa na watu fulani mjini kazi yao wanatembea na picha za watu maarafu kama Michael Jackson, Bill Clinton, n.k wakiwa wamepunga mkono wenye vidole viwili vilivyonyooshwa ambayo ni lugha ya alama(sign language) ya Marekani ya "i love you"/ nawapenda/nakupenda wao wanawafundisha...
  14. Allen Kilewella

    Uchaguzi wa Marekani ndiyo huamua hatima ya Dunia

    Zikiwa zimebakia siku mbili ili uchaguzi wa Marekani ufanyike, Dunia nzima imeshika pumzi ikitafakari nini kitatokea Marekani. Dunia nzima imegawanyika makundi mawili. Kundi la kwanza ni lile linalotaka Donald Trump ashinde na kundi jingine linalotamani Kamala Harris ashinde. Pande zote mbili...
  15. G

    Kamala Harris ndiye Rais wa Marekani 2024. Mashine za kura zimedukuliwa, Maharamia watapiga kura

    Rais anachaguliwa kwenye kura na kwa hali ilivyo computer zinazotumika kupiha kura zimeonyesha kuwa na hirilafu inayompa kura nyingi zaidi Kamala, uwezekano mkubwa zaidi Kamala Harris awe rais wa 47 wa Marekani. Ikumbukwe hata uchaguzi wa 2020 kuna hitilafu zilitokea kwenye computer za kupiga...
  16. G

    Nimefurahishwa na takwimu za Betting kuhusu Donald Trump, angalau akemee vitendo vya ajabu ajabu

    Ni mwanaume Ni mwanaume mwenye msimamo Najua ipo siku femest inaweza kutawala Ila itupe muda kidogo kwakeli , Maana femist ndo wachochezi wakubwa wa ndoa za jinsia moja wanaamini mwanamke anaweza kujitosheleza wenyewe Anaiunga mkono Israel waziwazi Hadi kuhamisha balozi za us Jerusalem mji wa...
  17. Lycaon pictus

    Fun Fact: Kamala Harris ndiye atayepokea matokeo ya uchaguzi kutoka kwa electors na kuyawasilisha bungeni yakathibitishwe

    Electors kutoka majimbo yote hupeleka matokeo yao kwa Rais wa bunge la Senate. Na Rais huyu ni Makamu wa Rais wa Marekani. Kama mnakumbuka January 6, 2021. Waandamaji walikuwa wanapiga kelele anyongwe Mike Pence! Huyu alikuwa Makamu wa Rais wa Rais Donald Trump na alikataa kufanya figisu...
  18. The introvert

    Mchezo ya kubet imefika kuweka odisi haki kwa Kamala Harris vs Donald Trump

    Wale wajuzi wa siasa mtusaidie hapo nani anauwezekano wa kushinda watu waweke millions 😁😁😁
  19. Mindyou

    Hii clip ya Kamala Harris akiumbuliwa na UNIVISION imenifikirisha sana. Mtu kama huyu anawezaje kuwa World Leader?

    Wakuu, Kuna hii clip ya Kamala Harris inatembea sana huko kwenye mtandao wa X na Republicans wanaishare kwenye akaunti zao. Jana Harris alikuwa anafanya Town Hall. Town Hall ni kipindi cha maswali na majibu ambapo wananchi wanapata nafasi ya kumuuliza maswali mgombea au kiongozi wao maswali...
  20. Eli Cohen

    Siasa za Marekani: Kitabu cha mafanikio ya Kamala Harris ambacho kurasa zake hazijaandikwa chochote

    Kumaanisha kuwa hakuna chochote cha maana alichofanya hahaha Cheki video:
Back
Top Bottom