kamala harris

Kamala Devi Harris ( (listen) KAH-mə-lə DAY-vee; born October 20, 1964) is an American politician and attorney who is the 49th and current vice president of the United States. She is the first female vice president and the highest-ranking female official in U.S. history, as well as the first African American and first Asian American vice president.A member of the Democratic Party, she served as a United States senator from California from 2017 to 2021, and as the attorney general of California from 2011 to 2017. Harris became vice president upon inauguration in January 2021 alongside President Joe Biden, having defeated the incumbent president, Donald Trump, and vice president, Mike Pence, in the 2020 election.
Born in Oakland, California, Harris graduated from Howard University and the University of California, Hastings College of the Law. She began her career in the Alameda County District Attorney's Office, before being recruited to the San Francisco District Attorney's Office and later the City Attorney of San Francisco's office. In 2003, she was elected district attorney of San Francisco. She was elected Attorney General of California in 2010 and re-elected in 2014. Harris served as the junior United States senator from California from 2017 to 2021. Harris defeated Loretta Sanchez in the 2016 Senate election to become the second African American woman and the first South Asian American to serve in the United States Senate. As a senator, she advocated for healthcare reform, federal de-scheduling of cannabis, a path to citizenship for undocumented immigrants, the DREAM Act, a ban on assault weapons, and progressive tax reform. She gained a national profile for her pointed questioning of Trump administration officials during Senate hearings, including Trump's second Supreme Court nominee Brett Kavanaugh, who was accused of sexual assault.Harris sought the 2020 Democratic presidential nomination, but withdrew from the race prior to the primaries. Biden selected her as his running mate in August 2020, and their ticket went on to win the general election in November. She assumed office as vice president of the United States on January 20, 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Kamala Harris aumbuka kwa kudanganya ni Mmarekani mweusi, wamarekani weusi wanamkataa na kuhamisha focus kwa Trump

    Kamala amekuwa akitaka kutumia tabaka la ngozi nyeusi kum boost kisiasa lakini wamarekani weusi wamestukia na kumkataa, ni Tofauri ya Obama alikuwa tayari ana uwezo mkubwa sana wa ku debate, very charismatic, connected, n.k. Kamala amekuwa akiegemea zaidi kutumia ngozi, mqjuzi kwenye moja ya...
  2. J

    Kamala Harris kuchaguliwa Rais wa 47 wa America, ni ukweli usiopingika kwa sasa

    Wamarekani walishuhudia kasi aliyokuwa nayo Trump ya kushinda Urais, wakati mgombea wa Democrat alipokuwa Joseph Robinette Biden Jr. Kuingia kwa Kamala Harris kumebadili kabisa mwelekeo; hasa ukizingatia kuwa Trump alikuwa anakazia udhaifu binafsi wa Biden kutokana na umri, na akajisahau...
  3. J

    President Kamala Harris is a vert real possibility

    Following President JoeBiden dropping out of the presidential race and Kamala Harris replacing him, we have seen opinion polls numbers pointing in favor of the democrats. My take is that this woman will emerge winner in November. I say this basing on the new momentum she's injected in her party...
  4. imhotep

    Tim Walz Gavana wa Minesota ateuliwa kuwa Mgombea Mwenza wa Kamala Harris

    Tim Wallz ameteuliwa kuwa mgombea mwenza na Kamala Harris. Safari hii naona Progressives wameangaliwa😁 --- Vice President Kamala Harris has chosen Minnesota Gov. Tim Walz to serve as her running mate in the 2024 presidential race—as Harris tries to gain ground on former President Donald Trump...
  5. Travelogue_tz

    Like Hillary Clinton, Like Kamala Harris: Opinion Polls are Unrealistic

    Like Hillary Clinton, Like Kamala Harris: Opinion Polls are Unrealistic In American politics, few tools are as widely discussed and scrutinized as opinion polls. These surveys, intended to gauge public sentiment and predict election outcomes, often become central narratives in political...
  6. Zanzibar-ASP

    Kwa sasa kuna kila dalili Kamala Harris huenda atamshinda Trump kirahisi kabisa!

    Kinyang'anyiro cha mbio za urais huko Marekani kimeshika kasi, na upepo wa kisiasa ukibadilika karibu kila wiki. Na sasa habari kubwa ni kuhusu Kamala Harris kuanza kuuvuta upepo wa kisiasa kuibeba Democrat. Tangu mwanzoni Kamala Harris hakupewa nafasi yoyote ya kuwa mbadala wa Biden. Biden...
  7. D

    Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

    Live Updates ya majibu ya kura kati ya Trump na Kamala Rasmi Fox News yatangaza kuwa Donald Trump ameshinda Urais wa Marekani dhidi ya Kamala Harris Kulingana na kituo cha habari NBC, Donald Trump ameshinda jimbo la Pennyslavania, jimbo ambalo kwenye chaguzi nyingi huamua nani atakuwa Rais...
  8. JanguKamaJangu

    Harris anamwambia Netanyahu 'ni wakati' wa kumaliza vita huko Gaza

    Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris - ambaye anatarajiwa kuwa mteule wa chama cha Democratic katika uchaguzi wa rais wa Novemba - amefanya kile alichokiita "mazungumzo ya wazi na yenye kujenga" na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. Akiwa na sauti kali zaidi kuliko Rais Joe Biden, Bi...
  9. ward41

    Kamala Harris njia nyeupe

    Mdogomdogo gap linapunguwa.
  10. jmushi1

    Kamala Harris: “Mimi ni mwanasheria, Trump ni muhalifu aliyekutwa na hatia mahakamani”

    Mambo yameshaanza kupamba moto kwenye mpambano mpya wa Trump vs Harris. Ambaye ameanza kuongelea utofauti mkubwa kati yao…amesema maneno hayo hapo chini… Kama wengi wenu mnajua, kabla sijachaguliwa kama makamu wa rais, kabla sijachaguliwa kama seneta wa Marekani, nilikuwa mwanasheria mkuu...
  11. ward41

    Trump hashindi, kigezo ni kilekile uzee

    Uchaguzi wa USA haujawahi kuwa mwepesi. Republican na Democrat kwenye siasa za Marekani ni kama dini. Wanamchi wa Marekani hata kama utasimamisha jiwe kwenye hivyo vyama bado watalipigia kura. Raisi Biden pamoja na udhaifu wa kiafya alizidiwa na Trump 2 % tu. Bado karibia nusa ya raia walikuwa...
  12. ChoiceVariable

    Trump: Kwa Kamala Tunashinda Asubuhi na Mapema

    Trump asijichetue kudhani kwamba Biden ndio anachagua mgombea Urais Bali amefanya pendekezo lake tu. My Take: Wagombea watapigiwa kura na kama zisipotosha Kwa Kamala basi Kuna huyu mwamba hapa ndio favorite zaidi...
  13. Replica

    Joe Biden amuunga mkono Kamala Harris kuwania Urais, Marekani kupata Rais wa kwanza mwanamke?

    Hesabu za kisiasa zimechezwa na Rais aliyetakiwa kutetea kiti chake amejiengua na badala yake amemuunga mkono makamu wake, Kamala Harris kuchukua nafasi yake ya kuwania kiti cha Urais kupitia chama cha Democrats! Atatoboa kwenye chama? Atauweza mfupa uliomshinda Hillary Clinton? Pia, soma=>...
  14. BARD AI

    Joe Biden atangaza Rasmi kugombea Urais 2024, Kamala Harris kuwa Mgombea Mwenza

    Rais huyo wa Marekani mwenye miaka 80 ametangaza nia yake leo Aprili 25, 2023 licha ya utafiti ulifanywa na Kituo cha Runinga cha NBC kuonesha 70% ya Wananchi hawataki Biden agombee tena Urais. Biden ambaye ni Rais Mzee zaidi katika Historia ya Taifa hilo, anatarajia kukutana na upinzani mkali...
  15. Boss la DP World

    Kilimanjaro: Asasi inayohamasisha Ushoga na Usagai yafutwa

    Serikali wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro, imesitisha shughuli zinazofanywa na shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na vijana la Kilimanjaro Youth Network baada ya kubainika kufundisha na kufungisha vijana ndoa za mapenzi ya jinsia moja tofauti na usajili wa shirika hilo. Chanzo...
  16. B

    Dr. Dennis Kabbiazi Muchunguzi: Vice President Kamala Harris strengthen U.S. ties with Tanzania

    29 March 2023 Dar es Salaam, Tanzania Dr. Dennis A.K Muchunguzi, we are pleased that the Vice President of the United States has chosen to visit Tanzania....
  17. Ojuolegbha

    Mwenza wa Kamala Harris, Bw. Douglas Emhoff ziarani Kituo cha Michezo cha Jakaya Kikwete Youth Park, Dar

    Mwenza wa Makamu wa Rais wa Marekani Mhe. Kamala Harris Bw. Douglas Emhoff akicheza mpira wa Kikapu pamoja na kupiga Mpira wa Tuta (Penalty) mara baada ya kufanya ziara katika Kituo cha Michezo cha Jakaya Kikwete Youth Park jijini Dar es Salaam Dar es Salaam leo Machi 30, 2023. Waziri wa...
  18. HIMARS

    Foleni leo hatari Posta na maeneo ya karibu kuelekea Ikulu jijini Dar es Salaam

    Jamani mnaokuja mjini jipangeni haswa, barabara zimefungwa fungwa haswa zielekeazo Posta hadi Ikulu
  19. John Haramba

    Uchambuzi: Ziara ya Makamu Rais wa Marekani, Kamala Harris ina faida gani kwa Tanzania?

    Tanzania ina ugeni wa Makamu Rais wa Marekani, Kamala Harris ambaye amefika akiwa katika ziara yake ya Nchi kadhaa Barani Afrika, ambapo pia ratiba yake ni kupita yatika mataifa ya Ghana na Zambia. Kitendo cha kioongozi huyo ambaye taifa lake lina nguvu kubwa Duniani kuichagua Tanzania kuwa...
Back
Top Bottom